Gekoli[emoji735]He is on gekoli [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya.kwani angempotezea angekufa?
Mnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.
Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya.kwani angempotezea angekufa?
Huyo ambae ana record naona anaongea accent yake kama Mkenya au nimekosea?Kwa namna hii video imetrend, huyo dogo lazima atapata msaada, yaani ipo kote, mamilioni ya watu wenye hasira na Wachina wanaitazama.
Watu wakipigwa na wageni wanalalamika, lakini sisi twafurahia mgeni kupigwa...
Some people should be gunned down kama huyo mchina..Ni kwamba tu itβs illegal to kill. π€£π€£
Huyo ambae ana record naona anaongea accent yake kama Mkenya au nimekosea?
Labda ghana , wanaijeria ni nzito.Hiyo lafudhi ni Kinajeria au Ghana....
Huon alivyoingilia mkutano kuanza kubull aroundWatu wakipigwa na wageni wanalalamika, lakini sisi twafurahia mgeni kupigwa...
Itakuwa aliogopa kesi Swahiba. π Mana mchina angeweza kudanji pale. π π πIle kick ndio nimeipenda,alipokosea pale wakati mvimba macho anadondoka ilibidi amkite kabisa pambavu
Fimbo ya Kumfuu sio hahahahhahahahahaMchina alikimbilia fimbo ya Ku mfu.
... sana; hawa ndio mashujaa wa jamii zao. By the way, hivi Kibanga kutoka kijiji cha Wino kule Songea hana japo kamnara ka kumbukumbu? Vinginevyo, kama nchi hatendewi haki. Kumpiga mkoloni hadharani tena kipindi kile sio mchezo; ni zaidi ya shujaa. Rejea, "Kibanga Apiga Mkoloni".Huyu tumjengee sanamu, amefanya jambo la kishujaa la mfano wa kuigwa