Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,754
- 4,746
Uhuru wa maoni. Alichokifanya mchina ni kibaya alichokifanywa mwafrika ni retaliation and selfdefence ambayo iko justifiable. In fact Management ya hiyo kampuni imeombari kwa kitendo hicho na kumfuta kazi huyo mchina. Kuheshimu kazi ni kuzuri, kuheshimiana ni kuzuri zaidi.Mnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.
Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya.kwani angempotezea angekufa?