Video: Boss mchina apokea mkong'oto kutoka kwa mfanyakazi mwafrika

Video: Boss mchina apokea mkong'oto kutoka kwa mfanyakazi mwafrika

Mnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.

Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya.kwani angempotezea angekufa?
Wachina wana mishahara gani mpaka ukubali kudhalilika kindezi kisa kazi?
 
Mr Sheng si angetumia style ya Wing chun, angechukua point zake 3 mapemaaaaa
Huyo mufrika mwenyewe amemstahi tu nayy angetumia style ya bakubaku ndani ya dakika mbili pointi mia mpambano unaisha vijana wanaamulia asije mtu akaekewa maua
 
..
IMG-20210610-WA0007.jpg
 
Na ya waafrika siku wakipigwa ulete mrejesho na tusiseme ubaguzi maana ni haki sawa kwa wote
 
Mnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.

Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya kwani angempotezea angekufa?
Yani mchina ndo kamuanza ,kamfuta ampige kwa hiyo jamaa angeacha apigwe makofi?agano la kale ni Jino kwa jino.usiabudu mtu,ni mambo ya kizamani
 
Nimekumbuka enzi hizo tulivyokuwa tunapigwa na wachina wa CRCG mradi wa mwandiga kila siku tochi la shoti tunawekewewa kwenye naniliu hata hawa watoto sijui niliwapataje
Tukaja kulalamikia kazuramimba tukaitwa wezi wa mafuta na mbongo mwenzetu kwenye mradi wa kidahwe uvinza tulijitoa Muhanga oooh bora nilivyostaaafu kazi za kikandarasi
Maana tungezalisha kizazi cha machotara
 
Mnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.

Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya kwani angempotezea angekufa?
Traitor kabisa hufai..
Nyie ndio mnawapa kichwa wa kufanya huu ujinga kutokana na udhaifu wenu
 
Nimekumbuka enzi hizo tulivyokuwa tunapigwa na wachina wa CRCG mradi wa mwandiga kila siku tochi la shoti tunawekewewa kwenye naniliu hata hawa watoto sijui niliwapataje
Tukaja kulalamikia kazuramimba tukaitwa wezi wa mafuta na mbongo mwenzetu kwenye mradi wa kidahwe uvinza tulijitoa Muhanga oooh bora nilivyostaaafu kazi za kikandarasi
Maana tungezalisha kizazi cha machotara
Kama ulikubali kufanyiwa hivi nchini kwako
Jitundike na kamba hufai kabisa
 
Mnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.

Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya kwani angempotezea angekufa?
Kwa hiyo mchina akuzabe kibao sebuleni kwako ukaushe kama yesu tu kisa Boss.
 
Safi Sana Tena kampapasa tu wangempiga sawasawa mpk akawa mwekundu

Kuna mmoja aliuawa kwa kuleta ngebe zake hivyo hivyo, muendesha kijiko alikuwa mwafrika mchina Yuko chini anafoka ovyo tu jamaa kanyoosha mkono kagonga kichwa na kachimba eneo lake pembeni akamfukia akaendelea na kazi, akajifanya hakumuona kumbe alikusudia kabisa, tangu hapo wachina hawasogei karibu na mashine kubwa zikiwa kazini,
 
Back
Top Bottom