Sierra leone hiyoSwali zuri! Nilidhani Bongo kwa makondoo kumbe ni nchi watu wanakojitambua. Machina ni mashenzi sana.
sierra leoneSome people should be gunned down kama huyo mchina..Ni kwamba tu itβs illegal to kill. π€£π€£
Nchi gani tukio hili limetokea?
Wachina wana mishahara gani mpaka ukubali kudhalilika kindezi kisa kazi?Mnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.
Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya.kwani angempotezea angekufa?
... huko binadamu wanajitambua! Nadhani walishawahi kuzichapa so they know maana ya neno KUONEWA!Sierra leone hiyo
Huyo mufrika mwenyewe amemstahi tu nayy angetumia style ya bakubaku ndani ya dakika mbili pointi mia mpambano unaisha vijana wanaamulia asije mtu akaekewa mauaMr Sheng si angetumia style ya Wing chun, angechukua point zake 3 mapemaaaaa
mchina koko huyoMchina toleo la mwisho huyo,kumbe si kila mchina anajua Kung Fu
Safi sana tena amemhurumia tu ingekua ni mimi, huyo mchina angekua ICU
Ila Nuzulati unaonekana kisu sana! π€¦π½ββοΈπ€¦π½ββοΈπ€¦π½ββοΈKaenda kuchukua fimbo na bado kapigwa
Yani mchina ndo kamuanza ,kamfuta ampige kwa hiyo jamaa angeacha apigwe makofi?agano la kale ni Jino kwa jino.usiabudu mtu,ni mambo ya kizamaniMnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.
Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya kwani angempotezea angekufa?
AiseeIla Nuzulati unaonekana kisu sana! π€¦π½ββοΈπ€¦π½ββοΈπ€¦π½ββοΈ
Traitor kabisa hufai..Mnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.
Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya kwani angempotezea angekufa?
Me nilijua sijui kisambaa [emoji2][emoji2]Gekoli[emoji735]
Record[emoji736]
Kama ulikubali kufanyiwa hivi nchini kwakoNimekumbuka enzi hizo tulivyokuwa tunapigwa na wachina wa CRCG mradi wa mwandiga kila siku tochi la shoti tunawekewewa kwenye naniliu hata hawa watoto sijui niliwapataje
Tukaja kulalamikia kazuramimba tukaitwa wezi wa mafuta na mbongo mwenzetu kwenye mradi wa kidahwe uvinza tulijitoa Muhanga oooh bora nilivyostaaafu kazi za kikandarasi
Maana tungezalisha kizazi cha machotara
Kwa hiyo mchina akuzabe kibao sebuleni kwako ukaushe kama yesu tu kisa Boss.Mnachangia kishabeki hamjui nini matokeo baada ya hapo, boss ni boss tu akifukuzwa kazi anarudi kijijini na mashabeki wanabaki mjini.
Mwenye akili huwezi shabekia hicho black anachofanya kwani angempotezea angekufa?
Fist of fury "Bruce Lee " revisits.Aisee