Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Wagiriki na waitaliano ni waarabu..?,msinyioshee mtu kidole japo sikubaliani na ushenzi wa huyo hayawani
 
Jamaa anaomba mzigo DM , huu Moyo unadanganya sana halafu yawezekana jamaa yupo Kigoma anayeambiwa aende DM yupo Bagamoyo. Wanaume wa siku hizi 😂 😂 😂 😂
🤣🤣🤣🤣
 

Pole hakukuelewa, lakini Mimi nimekuelewa...
Mungu alivyoona maovu yamezidi kuongezeka........
 
Nenda twitter uone mpaka Roma mromani ameweka...

Aibu kubwa kwa taifa
 
Inasikitisha sana, hayo ni magonjwa ya akili; kwa picha uliyo iweka kwenye ID yako, inashabiiana na hiyo tabia; ikitafsiri wewe unaweza kuwa ni mmoja wao.

Nini kifanyike; tutumie sheria za Afghanistan kutokomeza huu uchafu.
 
Wafunge mitandao wanyimwe mikopo..?

Namba 1 asipotoa tamko la kukemea nitahuzinika sana
 
Watu wa humu hasa watetea ufilauni huwa wakiona wameishiwa hoja wanakuja na uwongo kujifanya wanakujua.
 
Anahitaji msaada mkubwa vipi wakati wao awamu hii wametaka wajulikane kama wapo na wana haki zao!

Huoni humu hadi mods wanawaacha wanaandika ujinga ujinga wao hawapigwi BAN wala kuonywa ila tunaonywa sisi tunaojaribu kuwakataa?
Unataka mchaga akachome mkaa...?, Ujue kuna watu wana monitor

Ingekua la wale wajinga wangekula ban kitaaambo
 
Ila haya mapenzi ya Kinyume cha Maumbile yana roho yenye nguvu za Kishetani sana nime nukuu
Mwanzo 19: 1-38 😕😕😕😕

wanaume wote wa mji wa Sodoma, vijana kwa wazee, bila kubaki hata mmoja, wakaizingira nyumba ya Loti. Wakamwita Loti na kumwuliza, “Wako wapi wale wanaume waliokuja kwako? Watoe nje. Tunataka kulala nao.” Loti akatoka nje, akafunga mlango nyuma yake, akawaambia, “Ndugu zangu, nawasihi msitende uovu huo. Tazama, ninao binti wawili ambao bado hawajalala na mwanamume. Mniruhusu niwapeni hao wasichana muwatendee kama mpendavyo. Lakini msiwatende lolote wanaume hawa kwa sababu ni wageni wangu.” Lakini wao wakasema, “Tupishe! Wewe ulikuja huku ukiwa mgeni na sasa wajifanya hakimu! Basi, tutakutenda mabaya zaidi ya hao wageni wako.” Hapo wakamsukuma Loti nyuma hata karibu wauvunje mlango wake. Lakini wale wageni wakanyosha mikono yao, wakamvuta Loti ndani ya nyumba na kuufunga mlango. Kisha wakawapiga kwa kuwapofusha macho wanaume wote waliokuwapo mlangoni, wakubwa kwa wadogo, hata wakataabika kuutafuta ule mlango, wasiupate. Wale watu wawili wakamwambia Loti, “Je, una mtu mwingine hapa, pengine wana, mabinti, wachumba wa binti zako au watu wengine wa jamaa yako wanaoishi mjini humu? Watoe mahali hapa haraka, kwa maana kilio kilichomfikia Mwenyezi-Mungu dhidi ya wakazi wa hapa ni kikubwa mno, naye ametutuma tuje kuwaangamiza.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…