Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Kwa dunia ya sasa kilichobaki ndio hicho. La sivyo tutaangamia

Mtakatifu azidi kujitakasa.

Hofu ya mungu ishafeli,huko zenji wanakojinasibu wao wanaimani kali za kidini ona wanayoyatenda,kimsingi hili janga halikwepeki.
 
Ukipenda kuruka ukuta hata kula samaki pande mbili ni lazima utazaa shoga kwenye kizazi chako. Sababu unakuwa umeufungulia ule mlango wa giza so usishangae usifurahie kutembea gizani,utazaa shoga,huu ni utafiti wa kiroho.
 
Lengo la shetani kupromote ushoga ni kusudi la kupunguza idadi ya wanaume duniani Ili afanikishe ajenda zake.
 
Huyo soldier mwenyewe anatokea upande upi wa muungano? Kama ni visiwani waachiwe wenyewe
Kama anatokea bara je hawezi kututajia washirika wake ili nao wafanyiwe ukaguzi?
 
Siku ukizimwagaaa uniite aseeeeh, sitaki kupitwaa na huo uzi utakao weka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe tena,nitakutag usijali..🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee bestie, sikikujua , ilibidi nirudi kutazama upyaa, kwann umebadili avatar, unachanganyaa bhanaaa wee.


Noumaaaa sanaa.

Ngoja niirudishe ile ndio Avatar yangu pendwa aiseee
 

Kwa Zenji ni kweli hii michezo ipo sana maana nimeishi sana pale maeneo ya Michenzani kwenye yale Maflat , unakuta chumba kimoja watoto miaka 12, 13, 14 wamejifungia chumbani wanacheza Play Station watacheza pale atakayefungwa wataanza kumzomea na kumshika makalio mpaka wanazoea wanaanza kuwekana. Na Wakina Mama kule Zanzibar wanawalea watoto wa kiume kama mayai. 🙁🙁🙁
 
nimeiona hiyo clip
 
Lengo la shetani kupromote ushoga ni kusudi la kupunguza idadi ya wanaume duniani Ili afanikishe ajenda zake.

Acheni kumsingizia shetani kila kitu, yaani jambo baya tu shetani...

Shetani ni wewe mwenyewe unayetenda jambo baya... Na shetani halazimishi mtu kufanya jambo, ni hiari yako ww.. Mtu unafanya ufirauni mwenyewe, alafu unasema shetani, hakuna kitu kama hicho, wala mahakamani huwezi jitetea eti shetani ndio sababu.

Shetani hata yeye kama yupo, anashangaa hawa watu wananisema mambo ya ajabu hadi mwanaume anafirwa huko Zanzibar, alafu eti shetani, mnamsingizia sana hata mambo ambayo hausiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…