Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Kwa dunia ya sasa kilichobaki ndio hicho. La sivyo tutaangamia

Mtakatifu azidi kujitakasa.

Hofu ya mungu ishafeli,huko zenji wanakojinasibu wao wanaimani kali za kidini ona wanayoyatenda,kimsingi hili janga halikwepeki.
 
Ukipenda kuruka ukuta hata kula samaki pande mbili ni lazima utazaa shoga kwenye kizazi chako. Sababu unakuwa umeufungulia ule mlango wa giza so usishangae usifurahie kutembea gizani,utazaa shoga,huu ni utafiti wa kiroho.
 
Lengo la shetani kupromote ushoga ni kusudi la kupunguza idadi ya wanaume duniani Ili afanikishe ajenda zake.
 
Huyu askari kadharirisha jeshi la polisi kiukweli . Serikali inafumbia macho masuala haya why? huyu yuko na familia na watoto . Kuna watu wanasema tunamchafua kwani alikuwa kaelewa kusema labda kabakwa au katekwa amejitakia mwenyewe na unaonekana amejirekodi . Video ya pili anaonekana anapigiwa video call na mwanamke afu yuko anamuonesha sehemu ya makalio huyu mwenyewe.

📌 Wanawake mko na moyo wa huruma lakini huruma yenu ndo inaaribu kizazi hiki mtoto wa kiume kukuwa kama mtoto wa kike.

Eti mtu anamtetea mtu muovu busara gani. Mdada kaniuliza je angekuwa mzazi wako ungepost au? Uenda wangepost wengine... ila acha kuficha uovu wa watu me sikumrekodi alijirekodi mwenyewe.

Taifa liko na Viongozi wa ajabu wenye tamaa na uongozi ila kuongoza hawawezi ......
... mchana mwem.
View attachment 2534416
Huyo soldier mwenyewe anatokea upande upi wa muungano? Kama ni visiwani waachiwe wenyewe
Kama anatokea bara je hawezi kututajia washirika wake ili nao wafanyiwe ukaguzi?
 
Siku ukizimwagaaa uniite aseeeeh, sitaki kupitwaa na huo uzi utakao weka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe tena,nitakutag usijali..🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee bestie, sikikujua , ilibidi nirudi kutazama upyaa, kwann umebadili avatar, unachanganyaa bhanaaa wee.


Noumaaaa sanaa.

Ngoja niirudishe ile ndio Avatar yangu pendwa aiseee
 
Kwa wale tulibahatika kupita pita zenji miaka michache nyuma kwa kazi za research za ngo's fulani fulani, zenji kuna uchafu mkubwa sana hasa kwa watoto wa kiume wanakulana sana, vijana wadogo sana washaliwa, na hii inaanzia kwenye familia maankoli hawa sio watu poa na kesi hazifiki panapostahili kwa sababu mama anamuonea noma kaka ake miaka 30, haya polisi mwenyewe wa kukumata kwa kesi hiyo ndio awe huyu, kuna mmomonyoko mkubwa wa kimaadili kwenye swala hilo huko zenji, mchezo huo pia kwa kiasi kikubwa upo Bagamoyo, Tanga, na cha ajabu hivi sasa Arusha na kioimanjaro umechachamaa, dar upo saana ila wajanja sana kuficha coz wanafanya biashara. Na mikoa tajwa hapo juu inasifa moja kuu ukitoa ushoga,, nadhani manajua vitovu vya utalii wa nchi

Kwa Zenji ni kweli hii michezo ipo sana maana nimeishi sana pale maeneo ya Michenzani kwenye yale Maflat , unakuta chumba kimoja watoto miaka 12, 13, 14 wamejifungia chumbani wanacheza Play Station watacheza pale atakayefungwa wataanza kumzomea na kumshika makalio mpaka wanazoea wanaanza kuwekana. Na Wakina Mama kule Zanzibar wanawalea watoto wa kiume kama mayai. 🙁🙁🙁
 
SAME-SEX MARRIAGE - JUDGMENT OF THE COURT OF HUMAN RIGHTS IN STRASBOURG - FRANCE
Unanimously, the World Court of Human Rights has established, verbatim, that there is no right to same-sex marriage". The 47 judges from the 47 countries of the Council of Europe, which are members of the Plenary Court of Strasbourg (the most important human rights court in the world), published a statement of great relevance which has been surprisingly silenced by the progress of information and its field of influence. In fact, all 47 justices unanimously endorsed the ruling that "there is no right to same-sex marriage. The sentence was based on a myriad of philosophical and anthropological considerations based on the natural order, common sense, scientific reports and, of course, positive law. In the latter case, in particular, the judgment was based on Article 12 of the European Convention on Human Rights. This also equates to treaty resolutions relating to human rights, in particular articles 17 of the P San José Act and 23 of the International Covenant on Civil and Political Rights. In these historic resolutions, the Court decided that the notion of family contemplates not only "the traditional concept of marriage, that is, the union of a man and a woman", but also that they should not be imposed on governments an "obligation to open marriage to persons of the same sex". With regard to the principle of non-discrimination, the Court also added that there is no discrimination, since "states are free to reserve marriage only to heterosexual couples". **** It is important and absolutely necessary to spread this kind of news because governments and supporters of homosexual lobbies do not want people to know about it. Help spread this decision! Obviously, the media is not interested in publicizing this information:


Please Spread [emoji1489]
nimeiona hiyo clip
 
Lengo la shetani kupromote ushoga ni kusudi la kupunguza idadi ya wanaume duniani Ili afanikishe ajenda zake.

Acheni kumsingizia shetani kila kitu, yaani jambo baya tu shetani...

Shetani ni wewe mwenyewe unayetenda jambo baya... Na shetani halazimishi mtu kufanya jambo, ni hiari yako ww.. Mtu unafanya ufirauni mwenyewe, alafu unasema shetani, hakuna kitu kama hicho, wala mahakamani huwezi jitetea eti shetani ndio sababu.

Shetani hata yeye kama yupo, anashangaa hawa watu wananisema mambo ya ajabu hadi mwanaume anafirwa huko Zanzibar, alafu eti shetani, mnamsingizia sana hata mambo ambayo hausiki.
 
Back
Top Bottom