Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Hao wanaopenda kufanya kinyume na maumbile kwa wanawake wao ndo mwisho hufanya hivi vitendo.
 
Jamii yetu imejaa mahakimu na ma judge wa kila jambo. haya mambo ya kuwahukumu watu kwa kuona ka video kwenye mitandao ni mabaya na yana haribu maisha ya watu
no one is perfect .
tusihukumiane. inakusaidia nn kuweka picha ya marehemu kwenye mitandao ya kijamii?
ina tusaidia nn kuwaita watu mashoga ili hali ushoga upo kwenye jamii yetu?
 
We utakuwa nawe shoga. Nani kampost marehemu kwahiyo tumemuhukum kwa kipi. Upuuzi noo
 
Mbona kwenye Qur'an na Biblia ushoga umeandikwa?
Zile habari za Sodoma na Gomora zilitoka Ulaya na Amerika kweli [emoji848]
Kuna mjinga mmoja huko juu amedai michezo hiyo imeanzia pwani sasa sijui hao watu wa pwani ndio waliandika biblia na kuran!
 
wanaume wanaopumuliana Allah Anasema wakitubu waacheni yeye ni mwingi wa huruma na anasamehe!
[emoji1427][emoji1427]
وَاللَّذَانِ يَأْتِيَانِهَا مِنكُمْ فَآذُوهُمَا ۖ فَإِن تَابَا وَأَصْلَحَا فَأَعْرِضُوا عَنْهُمَا ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ تَوَّابًا رَّحِيمًا

(AN-NISAAI - 16)
Na wawili kati yenu wafanyao hayo waadhibuni. Na wakitubia wakatengenea basi waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kupokea toba, Mwenye kurehemu.
[emoji2956][emoji2956][emoji2956]

Ilaha wanawake wanaosagana!
[emoji116][emoji116]
وَاللَّاتِي يَأْتِينَ الْفَاحِشَةَ مِن نِّسَائِكُمْ فَاسْتَشْهِدُوا عَلَيْهِنَّ أَرْبَعَةً مِّنكُمْ ۖ فَإِن شَهِدُوا فَأَمْسِكُوهُنَّ فِي الْبُيُوتِ حَتَّىٰ يَتَوَفَّاهُنَّ الْمَوْتُ أَوْ يَجْعَلَ اللَّهُ لَهُنَّ سَبِيلًا

(AN-NISAAI - 15)
Na ambao wanafanya uchafu miongoni mwa wanawake wenu, washuhudizieni watu wane katika nyinyi. Watakapo shuhudia, basi wazuieni majumbani mpaka wafishwe na mauti au Mwenyezi Mungu awatolee njia nyengine.

Duuh![emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji56]
 
Hawa mahakimuu unakuta na wao wanafokolewa pia.

Self projection
 
Mimi mpaka nimuhoji ila kuweka hitimisho hapana ni mwanadamu lazima akosee so ni maisha hujui kama nimakusudi au kadhamiria hujui lolote ila mie naona nimakusudi wamemlawiti mwenzao Kwa sababu fulani ila yote life
 
Nipe namba ya huyo dogo.
 
wanaume wanaopumuliana Allah Anasema wakitubu waacheni yeye ni mwingi wa huruma na anasamehe...

Mungu wetu ni Mungu wa msamaha. Kazi yetu ni kufanya toba ya kweli na kuacha kabisaa
 
Daaaah.. Nahisi yule jamaa basha wa afande "mume" wake kaamua kuleta mambo yao ya hovyo hadharani..
Ni dhahiri kwa sababu yeye haonekani vizuri...
MKuu watu wenye pua kubwa wanahusika?🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…