Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Tunatofautiana mnoo aiseeHilo swali huwa najiulizaga sana hata mimi asee dah,yaani naweza vunja simu yangu kwa ghadhabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunatofautiana mnoo aiseeHilo swali huwa najiulizaga sana hata mimi asee dah,yaani naweza vunja simu yangu kwa ghadhabu
Jamii yetu imejaa mahakimu na ma judge wa kila jambo. haya mambo ya kuwahukumu watu kwa kuona ka video kwenye mitandao ni mabaya na yana haribu maisha ya watuHuyu askari kadharirisha jeshi la polisi kiukweli . Serikali inafumbia macho masuala haya why? huyu yuko na familia na watoto . Kuna watu wanasema tunamchafua kwani alikuwa kaelewa kusema labda kabakwa au katekwa amejitakia mwenyewe na unaonekana amejirekodi . Video ya pili anaonekana anapigiwa video call na mwanamke afu yuko anamuonesha sehemu ya makalio huyu mwenyewe.
📌 Wanawake mko na moyo wa huruma lakini huruma yenu ndo inaaribu kizazi hiki mtoto wa kiume kukuwa kama mtoto wa kike.
Eti mtu anamtetea mtu muovu busara gani. Mdada kaniuliza je angekuwa mzazi wako ungepost au? Uenda wangepost wengine... ila acha kuficha uovu wa watu me sikumrekodi alijirekodi mwenyewe.
Taifa liko na Viongozi wa ajabu wenye tamaa na uongozi ila kuongoza hawawezi ......
... mchana mwem.
View attachment 2534416
Wanataka na wao waolewe wanaona wanawake mnafaidi sanaNaomba kuwauliza mnajadili nin mpaka leo mada za ushoga mnazipenda sanaa
We utakuwa nawe shoga. Nani kampost marehemu kwahiyo tumemuhukum kwa kipi. Upuuzi nooJamii yetu imejaa mahakimu na ma judge wa kila jambo. haya mambo ya kuwahukumu watu kwa kuona ka video kwenye mitandao ni mabaya na yana haribu maisha ya watu
no one is perfect .
tusihukumiane. inakusaidia nn kuweka picha ya marehemu kwenye mitandao ya kijamii?
ina tusaidia nn kuwaita watu mashoga ili hali ushoga upo kwenye jamii yetu?
Kuna mjinga mmoja huko juu amedai michezo hiyo imeanzia pwani sasa sijui hao watu wa pwani ndio waliandika biblia na kuran!Mbona kwenye Qur'an na Biblia ushoga umeandikwa?
Zile habari za Sodoma na Gomora zilitoka Ulaya na Amerika kweli [emoji848]
Makau makuu,mkoa ule jiwe alionekana last time kabla ya kwenda DarNasikia yupo mmja mkoa mja wa huku bara
wanaume wanaopumuliana Allah Anasema wakitubu waacheni yeye ni mwingi wa huruma na anasamehe!Hemedy ushoga na usagaji ni janga la dunia
Haupo kwa wafanyakazi wa serikali pekee, umeshaingia misikitini, makanisani, mashuleni hata kwa wale wanaotakiwa kututibia mahospitalini upo
Ushoga na usagaji ni roho inayotembea kwa speed mnoo. Usishangae kwenye familia yako ukakuta wapo wanachokoana na kusagana[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Bila kumrudia Mungu katika roho na kweli na kufuata sheria zake tutashindwa
Roho zetu zikimbeba Mungu roho hizi chafu zitaondoka
View attachment 2534841
Yaani sasa hivi ukiitwa baba au mama hata kama watoto wako hawako kwenye haya mambo piga magoti kila siku, ombea uzao wako, ombea watoto wote, ombea wazazi wengine.... Nyie hii kitu ni ngumu[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Ambayo hamjajaliwa watoto ombeeni sana wenza wenu, ombeeni uzao wenu
Wababa wapenda tigo manaogeuza watoto wa wenzangu na kulala na mashoga acheni!!! Hii ni laana mnaiingiza kwenye vizazi vyenu. Yaani mnaanzisha laana ya kuzaa mashoga kwenye koo zenu. Waoneeni huruma wajukuu zenu wa kiume watakavyokuja kuolewa na wanaume wenzao [emoji26]
Na mlivyo wengi sasa[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Hawa mahakimuu unakuta na wao wanafokolewa pia.Jamii yetu imejaa mahakimu na ma judge wa kila jambo. haya mambo ya kuwahukumu watu kwa kuona ka video kwenye mitandao ni mabaya na yana haribu maisha ya watu
no one is perfect .
tusihukumiane. inakusaidia nn kuweka picha ya marehemu kwenye mitandao ya kijamii?
ina tusaidia nn kuwaita watu mashoga ili hali ushoga upo kwenye jamii yetu?
Mnapenda kudhalilisha watuHuyu hapa shabiki wa liverView attachment 2538924
inasikitisha sana. nilimuona mtu kabisa anaionesha picha ya jamaa kwenye kadamnasiHawa mahakimuu unakuta na wao wanafokolewa pia.
Self projection
Nipe namba ya huyo dogo.Kuna askari mmoja alimkamata dogo Wa kitaa Ana vuta mpepe dogo akala pingu akajua tayari kimenuka Yule polisi akmpandisha kwenye piki piki dogo anajua anaenda, utuo Mara wnaenda anakoishi huyo mwela dogo akambiwa na mwela amsaidie kitu kidogo tuu anamwachia dogo akwambia Hana pesa ila anaomba awapigie kwao Yule cops akamjibu sio pesa naomba mboo
NaamUkiwa msafi hua unaruhusiwa kuadhibu Kwa Mujibu Wa Sheria.
Viongozi wengi au Hata wanaotoa hukumu wengi ni wavunja Sheria ndio MAANA hawana uhalali Wa kufutilia mbali maovu na waovu...
wanaume wanaopumuliana Allah Anasema wakitubu waacheni yeye ni mwingi wa huruma na anasamehe...
MKuu watu wenye pua kubwa wanahusika?🤣🤣🤣Daaaah.. Nahisi yule jamaa basha wa afande "mume" wake kaamua kuleta mambo yao ya hovyo hadharani..
Ni dhahiri kwa sababu yeye haonekani vizuri...