Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Wanaume wengi wameharibika sana na wanachangia ushoga kukua kwa kasi sababu ya kuwafanya mashoga
Ipo hivyo ukiona shoga ujue aliharibiwa na mwanaume na anaendelea kuharibiwa na mwanaume, je hao waharibifu wako wapi??

Kila siku tunasikia kesi Baba kamlawiti mtoto, Mjomba kamlawiti mtoto, dereva kamlawiti mtoto, jirani kamlawiti mtoto, nk je mwisho wa hao Watoto hua ni nini? ni nani ambaye atadili na hiyo Trauma ya Mtoto?

Haya mambo tunayachukulia kwa upande mmoja sana, hakuna mtu aliyetaka kukutana na hao Mashoga wakawaeleza story kamili, ni nani anawatengeneza Mashoga kama sio jamii hii hii inayowatukana sasa hivi.
 
Daaaah.. Nahisi yule jamaa basha wa afande "mume" wake kaamua kuleta mambo yao ya hovyo hadharani..
Ni dhahiri kwa sababu yeye haonekani vizuri..

Ndhani serikali sasa ijikite kuwaadhibu vikali wanao sambaza video za hivi.

Hii video itaonwa na watakatifu waliopo duniani.. Wengi.. Na naamini ndiyo connection inayo spread kwa speed kubwa sasa.

Kwa kifupi wanao umia ni wengi; wanaume, wazanzibar, mapolis, watu wenye pua kubwa, watu wa dini yake, ndugu jamaa na marafiki zake mke wake ila sina uhakika kama kaoa"

Kwa sasa huyu jamaa ana hitaji msaada mkubwa sana wa kisaikolojia.
Keshafukuzwa kazi
 
Ipo hivyo ukiona shoga ujue aliharibiwa na mwanaume na anaendelea kuharibiwa na mwanaume, je hao waharibifu wako wapi??

Kila siku tunasikia kesi Baba kamlawiti mtoto, Mjomba kamlawiti mtoto, dereva kamlawiti mtoto, jirani kamlawiti mtoto, nk je mwisho wa hao Watoto hua ni nini? ni nani ambaye atadili na hiyo Trauma ya Mtoto?

Haya mambo tunayachukulia kwa upande mmoja sana, hakuna mtu aliyetaka kukutana na hao Mashoga wakawaeleza story kamili, ni nani anawatengeneza Mashoga kama sio jamii hii hii inayowatukana sasa hivi.

Nakubali kabisa wanaume wangejiheshim tungekuwa mahali salama wao Ndio waharibifu na wanafanya ushoga unakua kwa kasi walitakiwa waadhibiwe
 
Waafrika tutashinda hii vita kama tukiwa huru lakini kama mambo yenyewe ya kutegemea wahisani ku support budget zetu kazi tunayo. Piga picha siku Rais wa US na PM wa UK wawe mashoga unadhani misaada na mikopo itakuja kwenye masharti gani? Tuombeane sisi na vizazi vyetu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaona mashoga je nani anaowafanya hilo lundu wanasahaulika
Na hapo juu kasema kuna dada kaomba kuchangiwa diapers kwa ajili ya mwanae amelawitiwa hadi kuharibika, miaka 10 ijayo akimuona huyo mtoto shoga atasema auwawe anaharibu maadili ya Mtanzania.
 
Uwe unatumia akili siku zingine sio unaropoka tu kama umekunywa maji ya chooni
Hata unitukane tusi gani sijali, ila na wewe unaonekana ni unafanya huo upuuzi ndo maana unatetea.

Bila kujali nini narudia tena kama ningekuwa kiongozi i mean raisi, mashoga, wasagaji wote ningepiga kiberiti kimya kimya. Mungu mwenyewe alivyochoka akafyekelea mbali hii ndio dawa.
 
Bora hata umle mdada kkuliko kugusa vigimbi hivyo.
Hapo ndo wanaume mnaposhangaza.
Kumla mwanaume iwe Mungu hapendi lkn kwa mwanamke iwe sawa.
Wadada tumekataa mkulane wenyewe tu sasa, na ndicho kinachotokea hali ni mbaya na bado mtakulana sana hadi wabaki wanaume wawili tu Tanzania nzima
 
Niwape warning kwa wale wanaouchafua uislamu kwa kulinganisha na mambo ya ushoga , muislamu ni mtu kama wewe kila unachoweza wewe kufanya na yeye anaweza kukifanya ila uislamu umenyooka na ahuna dosari uislamu unapinga ushoga na mambo yote mabaya na mpaka adhabu mwenyezi mungu alishawai kuzitoa kwa binadamu kwa kufanya matendo kama ayo sasa, mnapousema uislamu kwa matendo ya muislamu mnakuwa mnaukosea sisi waislamu atujawai kuhukumu ukristo kwa matendo ya mkristo .. niishie apo kwa leo....
Tatizo huwezi tenganisha uislamu na mila na desturi za kiarabu. Ni ukweli ulio wazi hadi wafalme wa Saud Arabia mpaka sasa Wana mashoga kama concubine wao na ni jambo la kawaida toka enzi na enzi
 
Mwanangu hali ni mbaya sana hivi hata sisi wananchi tunakuza mambo yenyewe, ikitokea upande wa wakristo, waislamu wanacheka, na ikitokea kwa waislamu wakristo wanacheka bila kujua ni kama wanakuza hilo suala
Mzee hali ni mbaya sana, zunguka usiku kwenye hizi bar na kumbi za starehe mbali mbali, imefikia hatua watoto wa kiume wanadanga, na ni rika la vijana wadogo wadogo sana, yaani tusidanganyane na kufarijiana hali ni mbaya sana
 
Mzee hali ni mbaya sana, zunguka usiku kwenye hizi bar na kumbi za starehe mbali mbali, imefikia hatua watoto wa kiume wanadanga, na ni rika la vijana wadogo wadogo sana, yaani tusidanganyane na kufarijiana hali ni mbaya sana
HatRi sana kama kinondoni, sinza huko na matabata hali si shwari

Sinza kama una familia yako huko hesabu maamivu

Ova
 
We unajitambua au umeandika kwa huruma gani. We utakuwa unasapoti ushoga au we ndo single mother kudekeza vitoto vyenu mwisho kupakatwa na mauncle. Hakuna anayekudharirisha wew mwenyewe ukitenda uovu utaonekana tu. Malipo hapa duniani. Unafichaje maovu
Kuna idadi kubwa sana ya single mothers kwa sasa, na wale watoto malezi wanayolelewa na mama zao ni chanzo kingine cha haya mambo. Angalia vijana wa sasa hivi walivyolegea, yaani ni aibu aisee.. Hivi vitoto vya siku hizi mayai mayai vikina Junia tusiposhtuka mapema sijui tu
 
Back
Top Bottom