FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hebu angalia hizi slide mbili za video zilizotengenezwa na akili mnemba ndani ya dakika chache tu.., fully rendered. Kwa sasa wasanii na maprodyuza wa muziki ndio wanaipata pata.., ila huko tuendako, hata wahandisi na wabunifu majengo lazima tutakwenda na maji.
Hata madaktari (Medical) wajiandae, kuna maariboti yanafungiwa akili mnemba hao watakuwa balaa, yaani likikuangalia tu na jkataja dalili, anafunguka kila kitu…, hata sikui itakuwaje sasa aisee..
View: https://www.instagram.com/p/C9lw46LIomN/?igsh=MXdkNzM4aDE5NjV5Ng==
==========================
Akili Mnemba kukabidhiwa kiti cha Urais.
Akili Mnemba itakuwa installed na software ya katiba, na wote tutakagua kuhakikisha algorithm hairuhusu uvunjwaji wa katiba kabla mnemba hajaapishwa. Mnemba ataunganishwa moja kwa moja na ‘Gepg‘ (Government electonic payment gateway’, na hakuna hata transaction moja itakayofanyika bila yeye kujua na kuruhusu, na pesa za cash zote zitaondolewa, kila mtu atafanya malipo kwa namba yake ya NIDA iliyochapwa kwenye chipset itakayowekwa mkononi, hivyo hapatakuwa kabisa na ukwepaji kodi!
Mnemba anaweza hata akakutumia taarifa ‘telepathically’ kwa kutumia teknolojia mpya ya ‘Neuralink’ hata kama upo ndotoni..
Mnemba atakuwa connected na account zote za Bank za kila raia, hata zile za nje ya nchi, ufisadi utakuwa ‘impossible’…, kodi itakatwa na kulipwa automatically, maendeleo yatakuja kwa kasi ya 5G.., na wote tutaanza kuona kama tuko peponi..
Raia akivunja kanuni zilizowekwa kama miongozo ya Mnemba kwenye Algorithm, Mnemba anaweza akaishikilia NIDA ya raia huyo isiweze kununua wala kuuza chochote hadi pale raia huyo atakapofanya yale ambayo Mnemba anayataka na itakuwa ni kama amri, atakaebisha atakufa njaa huku anapesa kwenye bank.., hi itakuwa ni utii wa sheria bila shurti at its Finest. Yajayo yanasisimua sana..
=========================
11/09/2024
View: https://www.instagram.com/reel/C_xPf3usEwA/?igsh=MXh2ejhnd2Zic2hzYg==
Hata madaktari (Medical) wajiandae, kuna maariboti yanafungiwa akili mnemba hao watakuwa balaa, yaani likikuangalia tu na jkataja dalili, anafunguka kila kitu…, hata sikui itakuwaje sasa aisee..
View: https://www.instagram.com/p/C9lw46LIomN/?igsh=MXdkNzM4aDE5NjV5Ng==
==========================
Akili Mnemba kukabidhiwa kiti cha Urais.
Akili Mnemba itakuwa installed na software ya katiba, na wote tutakagua kuhakikisha algorithm hairuhusu uvunjwaji wa katiba kabla mnemba hajaapishwa. Mnemba ataunganishwa moja kwa moja na ‘Gepg‘ (Government electonic payment gateway’, na hakuna hata transaction moja itakayofanyika bila yeye kujua na kuruhusu, na pesa za cash zote zitaondolewa, kila mtu atafanya malipo kwa namba yake ya NIDA iliyochapwa kwenye chipset itakayowekwa mkononi, hivyo hapatakuwa kabisa na ukwepaji kodi!
Mnemba anaweza hata akakutumia taarifa ‘telepathically’ kwa kutumia teknolojia mpya ya ‘Neuralink’ hata kama upo ndotoni..
Mnemba atakuwa connected na account zote za Bank za kila raia, hata zile za nje ya nchi, ufisadi utakuwa ‘impossible’…, kodi itakatwa na kulipwa automatically, maendeleo yatakuja kwa kasi ya 5G.., na wote tutaanza kuona kama tuko peponi..
Raia akivunja kanuni zilizowekwa kama miongozo ya Mnemba kwenye Algorithm, Mnemba anaweza akaishikilia NIDA ya raia huyo isiweze kununua wala kuuza chochote hadi pale raia huyo atakapofanya yale ambayo Mnemba anayataka na itakuwa ni kama amri, atakaebisha atakufa njaa huku anapesa kwenye bank.., hi itakuwa ni utii wa sheria bila shurti at its Finest. Yajayo yanasisimua sana..
=========================
11/09/2024
View: https://www.instagram.com/reel/C_xPf3usEwA/?igsh=MXh2ejhnd2Zic2hzYg==