Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kaone ulivyo kajinga na katahira.Huyo silaha akili hana povu linamtoka tu hapo hana maajabu yoyote
Kazi ya afisa ardhi wa kata anaitanya waziri
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kwa vile Jerry Slaa ni professional hatafuti fame. Ila Makonda ni mtu mwenye vyeti feki hata D mbili hana. Anatafuta kujijenga na wajinga wanampigia makofi mhalifuMbona Jerry Silaa hawi maarufu kama Makonda??
Wewe sasa huna hata kichwa. Yaani ni kiwiliwili kama kuku aliyekatwa kichwaHuyo silaha akili hana povu linamtoka tu hapo hana maajabu yoyote
Kazi ya afisa ardhi wa kata anaitanya waziri
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Naamini wee hata kama umesoma , ukichokisoma, hujawah kukifanyia kazi, na hata kazi mpaka Leo unajifanya Kwa uzoefu.Makonda mwenye D moja huyu huyu
Tatizo nyota shekhe!Mbona Jerry Silaa hawi maarufu kama Makonda??
Uongozi sio Elimu.Kwa vile Jerry Slaa ni professional hatafuti fame. Ila Makonda ni mtu mwenye vyeti feki hata D mbili hana. Anatafuta kujijenga na wajinga wanampigia makofi mhalifu
Kazin kwako ulipo. .hamna mtu ambaye Kila anayetafuta huduma hutaman apewe huduma hiyo na mtu huyo ???.Mbona Jerry Silaa hawi maarufu kama Makonda??
Sasa atakuwaje maharufu kwa jamii ambayo wengi hamna mashamba wala viwanja..?Mbona Jerry Silaa hawi maarufu kama Makonda??
haya mambo wengine wanaiga tu.View attachment 3001106
Awali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa Mzee "X". Na sasa Jaji "Y" anawaita Mawakili wa Serikali kutaka kuwa CORRUT.
Je huyu Jaji "Y" ni nani? Na Je huyu Tapeli "Z" ndiye Alex Msama au Mushi?
Haya wataalamu wa mambo ya ARDHI tufungulieni codes
Huo mhikili kuna takataka na upuz mwingi tuAnachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda
Watu kama hawa majina yao yawe yanawekwa public ili wakose credibility ndani ya jamii. Si watu wazuri kabisaHuyu Jaji lazima tumjue ili ikifika kesi yako iko mbele yake UNAMKATAA.
Wanaotapeliwa nao wana tamaa kama una shida ya hela uza kiwanja. Unapoweka tamaa ya kutaka mwekezaji uingie ubia lazima uliwe kichwa. Maana utagawa hati sawa na bure kwa kulipwa hela ya mboga. Bora uuze kiwanja kwa hela halisi na thamani yake.Katika kikao cha jana cha Bunge, Mhe. Jerry Silaa, wakati wa kuhitimisha hoja za Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, alizungumzia kesi inayomhusu Mzee Mwinyimvua. Ilidaiwa kuwa hati ya ardhi ya mzee huyu ilitapeliwa na Bw. Venans Saimoni Matunda tangu mwaka 2007. Lakini pia, Mhe. Silaa alifichua kuwa kuna jaji (jina halikutajwa) anasemekana kuhusika na kusimamia kesi hii ambayo awali alikuwa wakili wa mmoja wa wahusika. Kwa upande mwingine, nafikiri Mh. Silaa alikuwa akijenga hoja kuhusu mgongano wa maslahi na uadilifu wa mchakato wa mifumo ya kisheria nchini (especially Mahakama).Lakini si kwamba ni mara ya kwanza Wizara ya Aridhi kuzingumzia kesi hii, hata Mh. Mabula alishawahi kuizungumza na kumtaja hadharani Bw. Matunda kama tapeli sugu. Inakuaje yupo mtahani mpaka leo🤔?
Je, hali hii inaathiri vipi imani ya watanzania katika mfumo wa haki? Je, sheria zetu zinatosha kudhibiti na kuhakikisha uadilifu miongoni mwa watumishi wa mahakama?
Ili kumjua Jaji, lazina tuanze na simulitenias equationAwali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa Mzee "X". Na sasa Jaji "Y" anawaita Mawakili wa Serikali kutaka kuwa CORRUT.
Je huyu Jaji "Y" ni nani? Na Je huyu Tapeli "Z" ndiye Alex Msama au Mushi?
Haya wataalamu wa mambo ya ARDHI tufungulieni codes.
---
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesema kuwa ameandika barua kwenda kwa Waziri wa Katiba na Sheria kufuatia jaji mmoja wa mahakama kukiuka kanuni za taaluma.
Waziri Silaa akihitimisha hoja ya bajeti yake bungeni amesema kuwa mwaka 2015 jaji huyo alikuwa wakili, na akamsaidia tapeli mmoja kuchukua ardhi ya watu.
Amesema warithi wa aliyetapeliwa walipoenda makamani hivi karibuni, wamekuta wakili yule sasa ni jaji, bado akaamua kwa kumnufaisha tapeli.
Amesisitiza kuwa hakuna mtu aliye juu ya sheria, na kwamba jambo hilo amelichukua yeye ili kuhakikisha sheria inachukua mkondo wake na haki inapatikana.
Credit: TBC
Hicho kichaka cha kusema "usiingilie mahakama" ndiyo mnajificha kufanya huo uchafu aliosema SlaaAnachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda