Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

Video Clip: Jerry Silaa adai kuna Jaji anamlinda tapeli wa viwanja

Angalia upande mwingine.

What if judge mkuu anatenda kwa remote? Maybe anasubiri directions afanye nini na hapa kaambiwa, “sshs, keep quite, it will pass”, na yule yule aliemuweka hapo?

Maana Kama “kawekwa, ni lazima afate directives.

Na hata huyo atakaewekwa atafanya maajabu yapi tofauti na “mamlaka iliyomuweka?

Uwajibikaji Tanzania, is a long lost dream. Very unfortunate.
Kama mteuzi ana maslahi na kila mtu basi nchi itakuwa sawa na banana republic (tusiwafikirie watu dhambi bila ya ushahidi).

Anyway baada ya kusikiliza pande mbili za malalamiko kwenye ili sakata. Binafsi naona shida ni za pande mbili, kuna issue ya ignorance upande wa familia ya Mwinyimvua na tamaa kwa upande Matunda,

Ukishaingia mkataba wa kibiashara na mtu, halafu baadae kuamua kufanya ‘anticipatory breach’, mwenye nguvu ya maamuzi kwenye ‘repudiation’ ni aliekosewa kimkataba sio wewe unaetaka kuvunja mkataba.

Kwa hivyo bwana Matunda ndio mwenye haki ya kuamua kiwango cha damages anazotaka kuweka mambo sawa sio hiyo familia ya Mwinyimvua.

Bwana Matunda anataka tsh 2.3 billion, ndio inaweza kuwa juu, lakini hiyo familia inatakiwa kwenda mahakamani iwapo awakubaliani na hayo malipo kwakuwa yapo juu lakini sio kumpangia mtu achukue kiasi gani wao wenyewe.

Mahakama ndio inaweza kumtaka bwana Matunda atoe justification ya hiko kiwango chake cha fidia anachotaka kutokana na alipofikia kwenye uwekezaji jumlisha na potential loss of income ya miaka kadhaa kama uwekezaji ungefanyika.

Kwenye hii issue sioni utapeli bali watu walioingia kwenye mkataba wa kibiashara na bepari na upande wao ni ignorance.

Kisheria wangeweza kumbadilishia kibao cha ucheleweshaji wa kufanya uwekezaji kama kigezo cha kutaka kuchukua eneo ili breach iwe yake, badala yao kujipa anticipatory breach kisa tamaa zao za mirathi na kuuza.

Nadhani serikali inatakiwa kumsikiliza bwana Matunda ana legal justification on his position, kwenye ili kama vile waziri kakurupuka apunguze emotions kwenye maamuzi yake na waajiri wanasheria wazuri wa mikataba ya biashara huko wizarani kwa sababu ukimsikiliza Mabula akiwa waziri na bwana Matunda kuna upishano wa msingi wa mgogoro huko vipi.
 
Anachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda
Mahakama hivi ambazo kila mtu anazisema hazitoi haki. Rostam alizishutumu pia kuwa zinapokea maelekezo. Acha ziingiliwe tu mkuu. Haki inapswa kuonekana imetendeka sio kwa hukumu kutolewa mahakamani.
 
Kama mteuzi ana maslahi na kila mtu basi nchi itakuwa sawa na banana republic (tusiwafikirie watu dhambi bila ya ushahidi).
Issue ingekua rahisi Kama ingekua kufikiri tu lakini uhalisia wa hali ya utendaji kwa wateuliwa karibu wote wa nchi unaonyesha wazi, Interest za mteuaji ndio first priority.

Almost all the time.

Anyway baada ya kusikiliza pande mbili za malalamiko kwenye ili sakata. Binafsi naona shida ni za pande mbili, kuna issue ya ignorance upande wa familia ya Mwinyimvua na tamaa kwa upande Matunda,

Ukishaingia mkataba wa kibiashara na mtu, halafu baadae kuamua kufanya ‘anticipatory breach’, mwenye nguvu ya maamuzi kwenye ‘repudiation’ ni aliekosewa kimkataba sio wewe unaetaka kuvunja mkataba.

Kwa hivyo bwana Matunda ndio mwenye haki ya kuamua kiwango cha damages anazotaka kuweka mambo sawa sio hiyo familia ya Mwinyimvua.

Bwana Matunda anataka tsh 2.3 billion, ndio inaweza kuwa juu, lakini hiyo familia inatakiwa kwenda mahakamani iwapo awakubaliani na hayo malipo kwakuwa yapo juu lakini sio kumpangia mtu achukue kiasi gani wao wenyewe.

Mahakama ndio inaweza kumtaka bwana Matunda atoe justification ya hiko kiwango chake cha fidia anachotaka kutokana na alipofikia kwenye uwekezaji jumlisha na potential loss of income ya miaka kadhaa kama uwekezaji ungefanyika.

Kwenye hii issue sioni utapeli bali watu walioingia kwenye mkataba wa kibiashara na bepari na upande wao ni ignorance.
Na hapa ndipo wateuliwa wanapatumia as a loophole ya kufanikisha makusudi/malengo yao.

Maana ukiangalia pattern kuanzia kwa Waziri aliepita na huyu wa sasa unaona kabisa kuna watumishi wanachagua pande za kusimama na sio kufuata mlolongo sahihi ili kupata haki isiyo na shaka.

Kisheria wangeweza kumbadilishia kibao cha ucheleweshaji wa kufanya uwekezaji kama kigezo cha kutaka kuchukua eneo ili breach iwe yake, badala yao kujipa anticipatory breach kisa tamaa zao za mirathi na kuuza.

Nadhani serikali inatakiwa kumsikiliza bwana Matunda ana legal justification on his position, kwenye ili kama vile waziri kakurupuka apunguze emotions kwenye maamuzi yake na waajiri wanasheria wazuri wa mikataba ya biashara huko wizarani kwa sababu ukimsikiliza Mabula akiwa waziri na bwana Matunda kuna upishano wa msingi wa mgogoro huko vipi.
Sidhani kwamba Waziri hajui ama amepitiwa katika hili, nachoona ni kiongozi anaefahamu kila hatua anayochukua na anayajua matokeo yake.

Tusubiri tuone.
 
Issue ingekua rahisi Kama ingekua kufikiri tu lakini uhalisia wa hali ya utendaji kwa wateuliwa karibu wote wa nchi unaonyesha wazi, Interest za mteuaji ndio first priority.

Almost all the time.




Na hapa ndipo wateuliwa wanapatumia as a loophole ya kufanikisha makusudi/malengo yao.

Maana ukiangalia pattern kuanzia kwa Waziri aliepita na huyu wa sasa unaona kabisa kuna watumishi wanachagua pande za kusimama na sio kufuata mlolongo sahihi ili kupata haki isiyo na shaka.


Sidhani kwamba Waziri hajui ama amepitiwa katika hili, nachoona ni kiongozi anaefahamu kila hatua anayochukua na anayajua matokeo yake.

Tusubiri tuone.
Mwendelezo wa Jerry Silaa kwenye ili sakata inaonekana ni kutokana na mafaili aliyoachiwa na mtangulizi wake Mabula (she had the same viewpoint kuna utapeli).

Kabla ya Mabula ili sakata lilishafika kwa Lukuvi pia, yeye alikuwa na mtazamo tofauti kutokana na hoja za pande mbili akaona ni swala la commercial contract linalohitaji suluhisho la kimahakama, kuliko maamuzi ya wizara yake (tena kipindi cha Magufuli ambako baraza la ardhi walikuwa waoga kweli na haki ilipatikana sana).

Ukisikiliza hoja za Mabula kuhusu mahakama kuamuru mwekezaji alipwe millioni 260 arudishe hati, ‘promisee’ (Matunda) akwenda kwenye hiyo kesi kwa sababu ilikuwa ya kifamilia zaidi kuhusu mirathi baina yao.

Kupata background ya mgogoro sikiliza clip ya Mabula post #35, na clip ya bwana Matunda post #71; hapo utaona mkanganyiko wa tafsiri zao kuhusu kesi. Bwana Matunda makes more sense on his legal argument.

Ni hivi ukisikiliza kwa makini pandę zote mbili hii sio kesi ya utapeli wa ardhi ni ya mkataba wa kibiashara ambapo familia ya Mwinyimvua imeanzisha ‘anticipatory breach’ swala hilo linampa haki za kuamuua repudiation or seeking amount of damages mwekezaji sio familia.

Hayo ya mteuzi sijagusia kwa sababu sioni anaingia vipi kwenye ili sakata. Ata huyo judge alietoa zuio la familia kuuza kiwanja yes kuna conflict of interest kwa sababu allikuwa wakili wa defendant (promisee) in his past career. Lakini maamuzi yake sidhani kama yana bias.

I fully support Jerry Silas kwenye kutetea wanyonge na kupambana na majizi yaliyojaa ardhi; but I am also objective given the facts case by case, not just a blind supporter of our leaders.

Hili ni swala la commercial contract dispute sio la ardhi. Kuwasaidia hiyo familia waangalie mkataba kutafuta angle ya condition breach, lakini kwa waziri kuingilia hii kesi amepotoka inatakiwa iende mahakama ya biashara.
 
Mwendelezo wa Jerry Silaa kwenye ili sakata inaonekana ni kutokana na mafaili aliyoachiwa na mtangulizi wake Mabula (she had the same viewpoint kuna utapeli).
Lakini Waziri kasema kuna forgery iliyofanywa na Bwana Matunda,na ilithibitishwa na forensic ya police! Hili limekaaje!!??
 
Lakini Waziri kasema kuna forgery iliyofanywa na Bwana Matunda,na ilithibitishwa na forensic ya police! Hili limekaaje!!??
Bwana Matunda hana sababu ya ku-forge kitu kutokana na nature ya makabuliano yenyewe na anatambua kiwanja ni mali ya familia ya Mwinyimvua. Ila yeye ana commercial rights ya kukitumia kwa muda waliopangiana.

Issue hipo wazi kuna ‘anticipatory breach’ kwa upande wa familia ya Mwinyimvua. Kwa hatua za bwana Matunda yupo entitled kudai damages ili kuvunja mkataba.

Shida ni familia ya Mwinyimvua wanadhani kwa sababu kiwanja ni chao basi wanahaki ya kuvunja mkataba kwa terms zao za malipo bila ya mwekezaji kuafiki wakati na yeye anakiwango chake, inaweza kuwa ni cha juu sana (mahakama pekee ndio inaweza amua kama kiwango ni justifiable) sio mtu mwingine.

Sidhani kama mawaziri wawili wa mwisho Mabula na Silaa wamekaa chini na bwana Matunda na kusikiliza upande wake au kuliangalia hilo swala kwa msingi wa commercial agreement (na mkataba wa biashara jamaa anao),

Badala ya utemi na kusikiliza vilio vya upande wa mmoja inatakiwa wamsikilize Matunda na jamaa inaonekana sheria ya mikataba ya kibiashara anaijua (kajipanga) sasa sisemi anastahili hayo malipo anayotaka, lakini muamizi wa mwisho ni mahakama.
 
Kama mteuzi ana maslahi na kila mtu basi nchi itakuwa sawa na banana republic (tusiwafikirie watu dhambi bila ya ushahidi).

Anyway baada ya kusikiliza pande mbili za malalamiko kwenye ili sakata. Binafsi naona shida ni za pande mbili, kuna issue yana waajiri wanasheria wazuri wa mikataba ya biashara huko wizarani kwa sababu ukimsikiliza Mabula akiwa waziri na bwana Matunda kuna upishano wa msingi wa mgogoro huko vipi.
Kumbuka waziri pia mwanasheria
 
.wamezoea kuchezea mahakqman sasa mwendo wa kulipuana mkuuu unajua ghara.ma za kufika mahakama kuu ama rufaniii???Mungu akiamua kusimama anatumia...hata viongozi mkuuu tukia Singapore iwaaingieee kuna mtu katumiwa barua ya kujieleza mkuu uwe mpoleee tu

M.mahakaman sifiki yaaan nakuavha unajenga nakujakubokoa ukanishtakii mahakaman mm

Sasa utafanyeje usipofuata utaratibu wa kisheria kupinga hukumu ya mahakama ya chini?

Kumbuka kuwa mimi sisemi kuwa hukumu hiyo ni ya haki au la. Lakini ndo hivyo tena, mahakama imeshatoa uamuzi? Utapambana nje ya utaratibu wa kimahakama na kisheria kwa ishu ambayo imeshaamuriwa kisheria ?

Ni wazi kuwa haiwezekani bila kujali hukumu hiyo ni ya haki (halali) au imependelea upande mmoja..

Hata huyo Waziri hana uwezo wa kutengua maamuzi ya mahakama isipokuwa mahakama yenyewe ifanye hivyo!!

Anachoweza kufanya kiongozi yeyote iwe Rais ama Waziri fulani ni kushauri nini cha kufanya lakini si kutengua hukumu ya mahakama iwe mbaya upande huu au nzuri upande ule..!
 
Sasa utafanyeje usipofuata utaratibu wa kisheria kupinga hukumu ya mahakama ya chini?

Kumbuka kuwa mimi sisemi kuwa hukumu hiyo ni ya haki au la. Lakini ndo hivyo tena, mahakama imeshatoa uamuzi? Utapambana nje ya utaratibu wa kimahakama na kisheria kwa ishu ambayo imeshaamuriwa kisheria ?

Ni wazi kuwa haiwezekani bila kujali hukumu hiyo ni ya haki (halali) au imependelea upande mmoja..

Hata huyo Waziri hana uwezo wa kutengua maamuzi ya mahakama isipokuwa mahakama yenyewe ifanye hivyo!!

Anachoweza kufanya kiongozi yeyote iwe Rais ama Waziri fulani ni kushauri nini cha kufanya lakini si kutengua hukumu ya mahakama iwe mbaya upande huu au nzuri upande ule..!
Mkuu waziri ana mamlaka makubwa tu hasa upande wa hati oooh
 
Walitakaa kuntapeli jamaa akajenga nikaenda vunjilia mbali kwenda ardhi nkakuta bado jina langu sema kunajaamaa wakataka nipeleke hati ati kuna mtu kasema kanunua hapo nkawambia mwambien awaletee hio hati..nkaandika barua ardhi na manispaa uongozi wa juu dili ikafa jamaa akantafuta tukaelewana akanunua d place...

Hawamapakaaaa mahakaman wanawatuwaoo tokaenzihizooo
 
Huyu jajiii sioo pekee yakerr wana grp laa kusapoti matapelii jaji mkuuu aingilie kati ambane huyu atajeewenziee elsee wanauaa wazazi wetu hawa wasio na fedha za kupambana naoo

Mahakaman n hela nduuguu oooh wakili n helaa
 
Anachofanya Silaa ni kujaribu kuingilia muhimili wa mahakama, Jambo ambalo siyo Sawa na haileti picha nzuri, aache watu waende mahakamani kujitetea au kujibu mashtaka waliyoshtakiwa nayo, atakayeibuka mshindi basi ndio ameshinda
hivi nani aliyewaroga watanzania kila kitu muhimili baba yako akizulumiwa na mahakama utasema isiingilie muhimili, mahakama ipo chini ya rais na wakati wowote inaingiliwa na Rais
 
Back
Top Bottom