Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

Hatukatai kumwaga maji kutoka kwenye bwawa, bali tunasema wananchi wahamishwe kutoka eneo hatarishi. Shirikisha kichwa chako kabla hujaanza kuandika
Hakuna eneo hatarishi mkuu, kuna watu walioenda shule wametafiti na kujenga lile bwawa.

Na walijiongeza kwamba mafuriko huwa yanatokea, ndio maana kuna milango 9 jiulize kwanini isiwe milango 30 au 5 au 1 .

Wale waarabu waliojenga kwao walijenga bwawa lenye kina cha pili kwa urefu duniani. Miaka kibao iliyopita.

Nyie watalaam wa matusi na wanasiasa ndio mmegeuka ma injinia wa kukejeli elimu za watu.
JPM alitoa tenda ya kimataifa na walioshinda tenda walikutana na watalaam wa hapa na baadhi ya takwimu zinazotumika kufanyia kazi ni pamoja na takwimu za mvua na za mto za muda mrefu na hii sio El nino ya kwanza kutokea hapa nchini.
 
View attachment 2957904


-- Bwawa limeelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje kuta zake ni maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa

-- Wananchi wameanza kuambiwa kuhama sababu maafa yanayokuja ni makubwa

-- UNESCO waonya kuhusu mafuriko kusabibishwa na bwawa, Mwalimu Nyerere aliambiwa kuhusu hii hali, Mwalimu akaona hapana tuachane na hili bwawa

-- Hili Bwawa linachangamoto moja, linamwaga maji wakati maji yanaelekea kwenye maeneo yenye shughuli za utalii, makazi ya watu na maeneo ya kilimo

-- Changamoto hizo zilionekana mwaka 1970 wakati huo kulikuwa na population ndogo rufiji

-- Kwa sasa serikali ina changamoto ya kulinda usalama wa bwawa kutovunjwa na maji, lakini pia kuzuia maji na kuyaachia kwa kasi pia, kwenye hii operation kama bwawa litavunjika litasomba rufiji yote na chochote mbele yake, Njia salama ni kuachia haya maji kama wanavyofanya sasa, lakini shida ni kwamba hawataki kuwaambia wananchi ukweli, wanatakiwa kuhamisha wananchi na kuwalipa usumbufu, kwa maji yanayokwenda kuingia kwenye bwawa ili bila kuyaachia kwa kasi bwawa zitavunjia

-- Makadirio ya kuachia maji ili bwawa liwe salama ni 700,000 lita kila sekunde , kwa maana nyingine ni kuachia maji ya kujaza uwanja wa mpira wa mkapa ndani sekunde 2 au chini ya hapo

Haya maji yanakwenda kusomba watu, serikali iwe wazi, maana kuna tahadhari ya mvua kunyesha,

-- Haya maji yakiachiwa yataijaza wilaya ya rufiji kwa kimo cha 1.8 mita , wilaya yote ya rufiji

-- Mbili haya maji yaliyoachiwa na yanayoenda kuachiwa sio ya kuzalisha umeme, ni kwamba maji yameingia kwa wingi kwenye bwawa na bwawa alina uwezo wa kuimiri hivyo wanayafungulia ili kingo vya bwawa zisije vunjwa, na wanaelekea kuachia maji mengi zaidi ili kuokoa bwawa sio kuzalisha umeme hapana ni kuokoa bwawa maana waliaenda kujenga bwawa kwenye eneo lenye mto mzito bila kuzingatia athari za mazingira, kujenga bwawa kwenye mto kama rufiji iliitaji tekinologia kubwa sana na pia fedha nyingi sana zilitakiwa kutumika kutokana na hali ya kijiography ya mto, kwa maana nyingine huu mradi ulikuwa ni hatari , mvua zikipiga basi lazima maji yaachiwe vya kutosha.

Kwa sasa wamefungua milango 4 tu na bwawa lina milango 9 na katika hiyo 4 ambayo ni chini ya nusu tayari rufiji imezama, sasa sijui wakifungua full scale itakuwaje yaani 9 ili kuokoa bwawa, na swali kubwa ni je ili bwawa liko salama? tutadumu na ili bwawa kwa muda gani kama haya maji yakijaa yanakuwa mengi kiasi kikubwa hivi ?

Mungu ilinde rufiji, Mungu walinde Watanzania
EIA iliyoelezwa na wale waliopiga kelele ilikuwa ni athari za kutaka miti na uoto kwa asilimia 1% ya Mbuga ambapo miti ilipatwa kwa eneo la ukubwa wa DSM.

Miongoni mwa waliopinga huu mradi ni pamoja na Kipara ambaye akaja kuapishwa kwa mfumo wa kufutana machozi. Na huyo ambaye anautamani sana ukuu wa nchi hii hakuona kama ni busara kusimamia huu mradi kwa ufanisi na alichokifanya huko hakina tofauti na alichokifanya kwenye miundombinu ya TANESCO. Unapofikia mahala mtu halali akafanya mambo haramu halafu anaendelea kulindwa na kuheshimishwa maana yake ni kwamba serikali inawafitini wananchi.

Kipara na mabeans wawekwe chini ya uangalizi kwa haya matokeo waliyoyatengeneza. Waliingia kuharibu ndo maana wakaondolewa baada ya kugundulika uhuni wao. Huwezi ukafanya vizuri kisha ukaondolewa eneo hilo.

Waendelee kulindana lakini ikumbukwe KARMA haina rufaa
 
Mimi ninachojua historia ya Maafuriko ya Mto Rufiji hayajaanza Leo,Ni kitu kimeanza tokea Mwaka 1968, Na Bwawa limepunguza kasi ya Maafiriko Kwa wananchi though Ni dogo, Kinachohitajika hapo Ni kuhamisha wananchi wote kutoka kwenye Hilo Eneo hatarishi wapewe Eneo Jingine Na Hilo Eneo la Bwawa la Mwalimu Nyerere litanuliwe Zaidi,Na ikiwezekana Eneo lote la Rufiji litengenezwe kuwa Benki ya Maji,Kwa sababu haiwezekani kushindana Na mkondo Wa Maji hata siku moja
Ukweli ni kwamba serikali ilihamisha watu wote waliokuwa wanaishi kwenye maeneo yenye mafuriko (REJEA OPERATION VIJIJI MWAKA 1974 WALILETWA KTK ENEO SALAMA ) BAADA YA HAPO WATU WALIANZA KURUDI KTK MAENEO HAYO KINYEMELA NDIO WALIOATHIRIWA SANA NA MAFURIKO HAYO SIO KAMA ENEO LOTE LA WILAYA h YA RUFIJI MAJI YANAFIKA. KUNA SEHEM NIMESOMA MDAU MMOJA ANATAJA SHULE YA SEKONDARI MKONGO NA UTETE ZIFUNGWE NILISHANGAA SANA SHULE YA MKONGO MAFURIKO YA KUFIKA PALE TUTAITA SIO MAFURIKO TENA NI GHARIKA
 
View attachment 2957904


-- Bwawa limeelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje kuta zake ni maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa

-- Wananchi wameanza kuambiwa kuhama sababu maafa yanayokuja ni makubwa

-- UNESCO waonya kuhusu mafuriko kusabibishwa na bwawa, Mwalimu Nyerere aliambiwa kuhusu hii hali, Mwalimu akaona hapana tuachane na hili bwawa

-- Hili Bwawa linachangamoto moja, linamwaga maji wakati maji yanaelekea kwenye maeneo yenye shughuli za utalii, makazi ya watu na maeneo ya kilimo

-- Changamoto hizo zilionekana mwaka 1970 wakati huo kulikuwa na population ndogo rufiji

-- Kwa sasa serikali ina changamoto ya kulinda usalama wa bwawa kutovunjwa na maji, lakini pia kuzuia maji na kuyaachia kwa kasi pia, kwenye hii operation kama bwawa litavunjika litasomba rufiji yote na chochote mbele yake, Njia salama ni kuachia haya maji kama wanavyofanya sasa, lakini shida ni kwamba hawataki kuwaambia wananchi ukweli, wanatakiwa kuhamisha wananchi na kuwalipa usumbufu, kwa maji yanayokwenda kuingia kwenye bwawa ili bila kuyaachia kwa kasi bwawa zitavunjia

-- Makadirio ya kuachia maji ili bwawa liwe salama ni 700,000 lita kila sekunde , kwa maana nyingine ni kuachia maji ya kujaza uwanja wa mpira wa mkapa ndani sekunde 2 au chini ya hapo

Haya maji yanakwenda kusomba watu, serikali iwe wazi, maana kuna tahadhari ya mvua kunyesha,

-- Haya maji yakiachiwa yataijaza wilaya ya rufiji kwa kimo cha 1.8 mita , wilaya yote ya rufiji

-- Mbili haya maji yaliyoachiwa na yanayoenda kuachiwa sio ya kuzalisha umeme, ni kwamba maji yameingia kwa wingi kwenye bwawa na bwawa alina uwezo wa kuimiri hivyo wanayafungulia ili kingo vya bwawa zisije vunjwa, na wanaelekea kuachia maji mengi zaidi ili kuokoa bwawa sio kuzalisha umeme hapana ni kuokoa bwawa maana waliaenda kujenga bwawa kwenye eneo lenye mto mzito bila kuzingatia athari za mazingira, kujenga bwawa kwenye mto kama rufiji iliitaji tekinologia kubwa sana na pia fedha nyingi sana zilitakiwa kutumika kutokana na hali ya kijiography ya mto, kwa maana nyingine huu mradi ulikuwa ni hatari , mvua zikipiga basi lazima maji yaachiwe vya kutosha.

Kwa sasa wamefungua milango 4 tu na bwawa lina milango 9 na katika hiyo 4 ambayo ni chini ya nusu tayari rufiji imezama, sasa sijui wakifungua full scale itakuwaje yaani 9 ili kuokoa bwawa, na swali kubwa ni je ili bwawa liko salama? tutadumu na ili bwawa kwa muda gani kama haya maji yakijaa yanakuwa mengi kiasi kikubwa hivi ?

Mungu ilinde rufiji, Mungu walinde Watanzania
Haya yote ni matokeo ya ubishi wa Jiwe.
Mtu hakuwa anasikiliza washauri wake.

Angekuwepo leo sijui angekuwa anajisikiaje kwajinsi watu wasiyo na hatia wanateseka
 
Hao wanyama wana eneo kubwa tu la kuhamia Selous ni kubwa sana inakutana na Mikumi na inasambaa mikoa ya Lindi, Ruvuma, Morogoro na Pwani
Tuangalie binadamu wenzetu ambao wanapoteza maisha
 
Mleta mada acha kuwachanganya watu kwa hiyo video. Hiyo video ninayo muda mrefu sana mimi na wala siyo ya leo wala jana.ila naona umeamua tu kuja kupigia propaganda hapa jukwaani kwa sababu zako binafsi.
Wewe ni bwege sana,unaleta uchawa wako kwenye mambo muhimu yanayohusu maisha ya binadamu?

Hivi nyinyi viumbe mmeumbwaje?
Mlete Uzi ameeleza vema kabisa juu ya hatari zinazo mkabili binadamu mwenzetu pale Rufiji.
 
Kwanza,
1. wewe ni mvivu wa kufikiri, ni mtumwa wa matatizo, UNESCO ikikufungia bandani unakaa humohumo hadi ufe.
2. Hii clip ipo mtandaoni siku nyingi.
Je haina ukweli kwa yanayotokea hii leo?
Jana tu tayari tumetangaziwa watu 2 wameshapoteza maisha.

Huoni kuwa mleta mada ameuleta kwenye muda muafaka?
 
Nyie Mmmbwa wa Tz hamnaga zuri kwenu, Kila jambo mnalitengenezea ubaya, Me nikazani utashauri hao wananchi wa eneo hilo ndo watafutiwe pa kwenda we unakosoa bwawa ambalo lina umuhimu kwa Taifa!!!
Kwahiyo bwawa lina umuhimu kuliko maelfu ya watanzania wenzetu wanaopoteza maisha?
 
Nafikiri umetukana bila kusoma ushauri. Heading tu inaitaka Serikali iwahamishe watu wa hapo. Imagine wangekuwa ndugu zako, je ungeandika ushuzi kama huo?
Hajitambui huyo kisa anaitetea ccm
 
Wewe unataka niende YouTube nikatafute shida za watu wa Rufiji. Kwani hapa DC wa Rufiji anasemaje?
View attachment 2957935

"Mkuu wa wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani Meja Edward Gowele leo, Jumapili Aprili 07.2024 ametoa rai kwa wakazi walioko karibu na Bwawa la kufua umeme la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) na maeneo hatarishi kuhama kwenye maeneo hayo sambamba na kuepuka kusogeelea maeneo ya maji

Meja Gowele ametoa tahadhari hiyo kufuatia Bwawa hilo kuzidiwa hivyo kulazimika kufungua milango minne (4), na kwamba maji yanayotoka ni mita za ujazo 7,500 kwa sekunde ambayo ni sawa na lita 7,500,000 kwa sekunde, ambapo kiuhalisia maji hayo ni mengi zaidi ya mwaka 2020"
Mkuu tumekuelewa sana wachana na hao wafia chama cha kijani
 
Mleta mada umesahau kuweka source yako ya Twitter ‘change Tanzania’ kutumia maandiko ya mtu neno kwa neno ni plagiarism. Hiyo post ishajadiliwa jana.

Yeye anadhani ukuta wa dam unaojengwa kwa miaka miwili ni sawa na ule wa nyumbani kwake unabomoka kirahisi rahisi tu.
Kama unataka kutuaminisha kuwa hizo kuta haziwezi kubomoka kisa zimejengwa kwa muda wa miaka 2 nikwanini wanafungulia hayo maji?
 
Kwahiyo bwawa lina umuhimu kuliko maelfu ya watanzania wenzetu wanaopoteza maisha?
Kenge nyie,,juzi mlikiwa mnlia umeme mkawa mnaahidiwa kuwa bwawa Hilo ndo marobaina..mkakesha mkikenua meno humu kwba mama kaupiga mwingi sasa mnageuka kitu Gani au mnagilimbwa
 
Tangu lini mwananchi alithaminiwa?
Huko Lindi mwananchi akiuwawa na tembo serikali inatoa pole ya laki 5 ila mwananchi akimuua tembo serikali inamfunga miaka 50 na fidia milioni 50. Unfortunately askari wa TAWA wanakuua kabisa
Aibu sana
 
Mimi ninachojua historia ya Maafuriko ya Mto Rufiji hayajaanza Leo,Ni kitu kimeanza tokea Mwaka 1968, Na Bwawa limepunguza kasi ya Maafiriko Kwa wananchi though Ni dogo, Kinachohitajika hapo Ni kuhamisha wananchi wote kutoka kwenye Hilo Eneo hatarishi wapewe Eneo Jingine Na Hilo Eneo la Bwawa la Mwalimu Nyerere litanuliwe Zaidi,Na ikiwezekana Eneo lote la Rufiji litengenezwe kuwa Benki ya Maji,Kwa sababu haiwezekani kushindana Na mkondo Wa Maji hata siku moja
Hapa, umeongea! Hii 'point' ni nzuri sana ! [emoji120][emoji1666][emoji2936]
 
Hapo ndipo sasa kuhusisha wataalamu wa elimu ya mazingira kunapoonyesha umuhimu. Dikteta alisema mambo ya Environmental Impact Assessment yanachelewesha miradi!! Na nyinyi mkamshangilia
Acha chuki,at the beginning hata nchi zilizoendelea hivi vitu vinatokea,ni swala la kuweka mambo vizuri na baada ya muda kila kitu kitakua sawa.Hivi umeshajiuliza,leo hii uchumi wa nchi ulipofikia kusingekuwa na hili bwawa hali ingekuaje,waasisi waliona mbali sio unabeza kila kitu.Soma hii-(In total, China's domestic dams are reported to have displaced 23 million people as well as significantly affected water availability and environmental quality (International Rivers, 2012).
 
Back
Top Bottom