Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

Video Clip: Rufiji litangazwe kuwa ni eneo la hatari na Serikali iwahamishe wananchi mara moja

W

Wewe acha kampeni za kuwaletea raia taharuki.

Hayo maji yanayoruka siyo yameachiliwa bali yamebanwa mahususi katika operesheni za kawaida kabisa za kuzalisha umeme.

Ili mitambo ifanye kazi ya kuzalisha umeme lazima ipate kani itokanayo na maji yanayopita kwa kasi.

Sasa wewe endelea kupotosha mburura wenzako na kuna kitu kipo nyuma ya pazia unakitafuta ama unakifanyia kazi.
Wewe ndiye mburura japo hujijui. Wala hujui nini kinaendela huko Rufiji
 
Tuombe sana yaliyotokea kule Libya mwaka jana kwa mji mzima kufutika baada ya bwawa kupasuka yasijirudie tena! That was a very bad experience!
Aisee inatisha kweli
 
Je haina ukweli kwa yanayotokea hii leo?
Jana tu tayari tumetangaziwa watu 2 wameshapoteza maisha.

Huoni kuwa mleta mada ameuleta kwenye muda muafaka?
Huyu masopakyindi ni Zerobrain kabisa, nashukuru umemuona pia
 
EIA iliyoelezwa na wale waliopiga kelele ilikuwa ni athari za kutaka miti na uoto kwa asilimia 1% ya Mbuga ambapo miti ilipatwa kwa eneo la ukubwa wa DSM.

Miongoni mwa waliopinga huu mradi ni pamoja na Kipara ambaye akaja kuapishwa kwa mfumo wa kufutana machozi. Na huyo ambaye anautamani sana ukuu wa nchi hii hakuona kama ni busara kusimamia huu mradi kwa ufanisi na alichokifanya huko hakina tofauti na alichokifanya kwenye miundombinu ya TANESCO. Unapofikia mahala mtu halali akafanya mambo haramu halafu anaendelea kulindwa na kuheshimishwa maana yake ni kwamba serikali inawafitini wananchi.

Kipara na mabeans wawekwe chini ya uangalizi kwa haya matokeo waliyoyatengeneza. Waliingia kuharibu ndo maana wakaondolewa baada ya kugundulika uhuni wao. Huwezi ukafanya vizuri kisha ukaondolewa eneo hilo.

Waendelee kulindana lakini ikumbukwe KARMA haina rufaa
Tu address real issues tuache witch hunting zisizo na tija. Huyo unayemwita Kipara na Mabeans hawakuwa na uwezo wowote wa kuingilia mambo ya kiufundi yahusuyo ujenzi wa Bwawa. Hata mimi siwakubali hao watu wawili kwa namna walivyoisimamia TANESCO na namna Kipara anavyotaka urais wa Tanzania. Lakini MAPUNGUFU yeyote ya JNHEP ni Magufuli tu. Let the truth be told
 
Acha chuki,at the beginning hata nchi zilizoendelea hivi vitu vinatokea,ni swala la kuweka mambo vizuri na baada ya muda kila kitu kitakua sawa.Hivi umeshajiuliza,leo hii uchumi wa nchi ulipofikia kusingekuwa na hili bwawa hali ingekuaje,waasisi waliona mbali sio unabeza kila kitu.Soma hii-(In total, China's domestic dams are reported to have displaced 23 million people as well as significantly affected water availability and environmental quality (International Rivers, 2012).
Key point ambayo ndiyo subject matter ni kuhamisha watu, hayo mengine hatubishanii
 
Maji ni matulivu sana yakiwa yametwama, ila balaa lake linaanza pale unapotengeneza mazingira yaanze kwenda kasi. Nguvu zake ni balaa ona ulichofanya bwawa umeme huko Russia.
 

Attachments

  • images (1) (27).jpeg
    images (1) (27).jpeg
    13.9 KB · Views: 2
Mambo ya legacy hayo.Unachimba bwawa linazalisha mbu.Malaria inawagonga wananchi na vifo vinatamalaki.Ujinga plusplus!
Kwahiyo nchi iendelee kuwa gizani sababu kuna raia hapo watakufa kwa mbu?

Kwanini mamaenu asiwahamishe? Mbona ngorongoro wameihamishia?
 
Wewe ndiye mburura japo hujijui. Wala hujui nini kinaendela huko Rufiji
Ninakijua kinachoendelea Rufiji, kinahusiana kijiografia, lakini hakihusiani kisayansi.
Mwisho wa sakata hili utakuwa umejifunza na utakuja kukubaliama na mimi.
 
Mwanzoni mlisema bwawa halitojaa, baadae mmekuja na kauli nyingine chadema ni janga la kitaifa

Kosa kubwa wazazi wako walifanya NI KUTO-KUTUMIA MPIRA WA KIUME kuzuia mimba isiyo tarajiwa!
Kwamba Madhara yakionekana yasisemwe?
Wanaokufa Rufiji ni CHADEMA?
Una utapiamlo wa ubongo na hujielewi?
 
Wamesema wao mafuriko wamezoea serikali iwape mbegu tu..
 
Back
Top Bottom