KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Unaye mwanasheria?Ile sio ya mauaji Ile yule Mwanamke tapeli kashtukiwa, huyu we unasemaje huyu kaiibia Mahakama kabisa kweupe huyu hii kesi inamhusu huyu Mama mwizi wa haki Mahakama imekula Pesa ikamwachia aende haijatenda haki
Hapa kinachofata ni kisasi labda wamwachie MunguAliyekua na Cash alishafariki, Cash imebaki kwa Mkewe ambaye alikua Mshtakiwa....!
Ndugu wa Marehemu Msuya hawana Pesa...!
Kuna familia unakuta Mzazi anawekeza kwa mtoto wake kama Marehemu Msuya, na ndugu wengine wanaomfatia wakakosa msaada sawa, kwa kigezo kwamba Kaka mkubwa akisaidika, atasaidia Wadogo zake, mwisho siku kinatokea kama kilichotokea....!!!
Mbaya zaidi mpaka Dada wa Kaka Mkubwa wa familia anapoteza Maisha kisa ni mdogo wa kike wa Kaka mkubwa Tajiri...!
Kaka mkubwa. Kaacha ukwasi kwa mke.... Maumivu yanakua mara 2 kwa familia ta Msuya.
Kawasaidie kufanya hivyoVitu vingine sio vya kumuachia Mungu
Kama kweli wachinje huyo mama na wao upande wa mke wakose Yaan wao wanakaa miaka na miaka kusubiria hukum Tz???
Hapo ilitakiwa ni kushika huyu unaua
Ndugu wa Marehem bilionea Msuya akilia mahakamani baada ya washtakiwa wa mauaji ya Aneth Msuya kuachia huru na Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam leo Februari 23.
Pia soma:
- Mke wa bilionea Msuya aachiwa huru, Mahakama haikumkuta na hatia
- Dar: Mke wa Bilionea Msuya akutwa na Kesi ya Kujibu mauaji ya wifi yake
Aliyekua na Cash alishafariki, Cash imebaki kwa Mkewe ambaye alikua Mshtakiwa....!
Ndugu wa Marehemu Msuya hawana Pesa...!
Kuna familia unakuta Mzazi anawekeza kwa mtoto wake kama Marehemu Msuya, na ndugu wengine wanaomfatia wakakosa msaada sawa, kwa kigezo kwamba Kaka mkubwa akisaidika, atasaidia Wadogo zake, mwisho siku kinatokea kama kilichotokea....!!!
Mbaya zaidi mpaka Dada wa Kaka Mkubwa wa familia anapoteza Maisha kisa ni mdogo wa kike wa Kaka mkubwa Tajiri...!
Kaka mkubwa. Kaacha ukwasi kwa mke.... Maumivu yanakua mara 2 kwa familia ta Msuya.
Ukisikia story kuhusu huyo jamaa... kama ni za kweli basi alikua na maadui kibao na ilikuwa lazima aishie kama alivyoishia..Muda mwingine tunaweza kulaumu na kukosoa sana ila Hiyo inaweza ikawa ni Karma kwa upande wa Familia ya Bilionea Msuya.....maana hatujui aliishi maisha ya namna gani aliumiza wangapi ? na hatujui pia alitenda wema kwa wangapi ?
Mfano, siku za mbeleni familia ya Mtu kama Mr Tall ( Rais wa nchi fulani ya kusadikika) ukiona watoto wake wanapitia Dhuluma au kunyanyasika yamkini kama hujui historia ya familia yao na matendo waliyoyatenda kwa wengne,
unaweza kudhani wanaonewa ila ukipitia Historia ya unyama uliofanywa na Labda Mzazi/wazazi wao unaweza kuhisi ni haki yao nao kupitia Matatizo kama walivyo wasababishia wengine.
Hitimisho : Kama familia imeonewa basi Karma inaweza ikaja kumludia huyo Mke wa Msuya mbeleni.
Uchawi hauvuki bahari wewe jamaa.....bado usingeweza kwendaUchawi haupo ni stori tu ambazo hata wazungu walikuwa nazo zama za middle age.
Kama uchawi ungekuwepo na una nguvu. Waafrica tusingeteseka kuomba viza za kwenda majuu, tungekuwa tunaenda marekani na Ungo na kuhamia huko
Unauliza au unajibuUnaye mwanasheria?
Ndio kwani anafanya kazi bure?Kibatala atakua amepiga mpunga mrefu sana kwa kufanimiwa kumchomoa huyu mama
😂😂😂 At last nimefanikiwa kuchekaVitu vingine sio vya kumuachia Mungu
Kama kweli wachinje huyo mama na wao upande wa mke wakose Yaan wao wanakaa miaka na miaka kusubiria hukum Tz???
Hapo ilitakiwa ni kushika huyu unaua
Hii ya Mosha huyu mke Si alifoji documents akashtukiwa hata ungekua wewe ungefanya nini?Davis Mosha na mkewe, mke amejikuta Hana mgao.
Bado haujarogwaUchawi haupo ni stori tu ambazo hata wazungu walikuwa nazo zama za middle age.
Kama uchawi ungekuwepo na una nguvu. Waafrica tusingeteseka kuomba viza za kwenda majuu, tungekuwa tunaenda marekani na Ungo na kuhamia huko
Kwahiyo wewe hauna utu ?Sikatai yaan sipingi
Inasikitisha wapi? Maigizo? Wanawake wa kaskazini ni hatari kwa kupenda mali kuliko utuInasikitisha sana
Ndio hivyo mkuuHayo ndio matokeo ya ndoa za mume kutoka ukoo tajiri kuoa mke kutoka ukoo maskini.
Mali zinahamishwa kinguvu kutoka kwenye ukoo kwa mauaji ya kutisha.
Maskini hawanaga utu.
Wahindi na waarabu wanayajua haya vizuri sana. Ndio maana hawaoi hovyo hovyo
Imagine LuLu alifungwa jela kwenye kesi ya Kanumba kwa ushahidi wa mazingira. Hakuna aliyemuona lulu akiua. Wala hakukiri kama amemuua kanumba. Ila huyu mama msuya anaambiwa hajaua hakuna aliyemuona akiua
Fact. Ni kwa hapa tuJela zimejengwa kwa ajili ya sisi kajamba nani na sio kwa wenye nazo..........
Magereza yote yamejaa wanyonge tu hali ya kuwa maboss wana makesi makubwa na wanashinda..........
Hata wakiua wanaambiwa hawakusudia.......ukikomaa utaambiwa wewe ndio umemchokoza tajiri......
Wananihusu?Kawasaidie kufanya hivyo