LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Sisi tulio zaliwa miaka ya themanini katikati, themanini mwishoni na tisini pamoja na kaka zetu wa themanini mwanzoni na wale wa miaka ya sabini, tuache kushobokea issues za watoto wa elfu2 coz wana dunia Yao ya peke Yao. And they don't like us wanasema sisi washamba.
Watoto wa tisini tu wenyewe wanawaitaga " Mijitu ya Tisini"
Huyu jamaa kashoboka kumpeperusha ndege wa huyu Dogo wa tisini, kilicho fuata baada ya hapo hakukipenda.
Watoto wa tisini tu wenyewe wanawaitaga " Mijitu ya Tisini"
Huyu jamaa kashoboka kumpeperusha ndege wa huyu Dogo wa tisini, kilicho fuata baada ya hapo hakukipenda.