Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Wakati mnaandika huwa mnakimbizwa?Utueleze wewe muntu ya wapi?.. hivi bidii yako ya nyuma kwa kudonoa.. inakupiga hadi unamuandika Kiongozi wako mpendwa kihivi!!!.. kaa tu chini uendelee kulia.. acheni kutafuta kisingiziwo.. huku mukijua kwamba.. chama yenu ni mupo ndani ya futi sita.. siku ingine weka fuli sio kipande..
Nambie utakubwa na uchaguzi huu au ndio watakupita.. kisa kazi ya humu tu umeshindwa?😊 pole
Wakati mnaandika huwa mnakimbizwa?
Aisee...eti naye huyu ni kada wa kijani...na analipwa buku Saba.
Zile "whoyeee" zetu zimepotelea wapi mpendwa?Hapwana
Hayo si maneno ya Polepole hayo ni maneno ya MBOWE,Aliyatamka wazi kabisa kwenye tume ya Warioba
Zile "whoyeee" zetu zimepotelea wapi mpendwa?
Hakika "woyeeeee!!" Mshamlia fedha mnadhihaki sasa...Makonda Oyeeeeeeee
Hakika "woyeeeee!!" Mshamlia fedha mnadhihaki sasa...
Mmemtoa relini mazima... itamchukua muda kujijenga upya labda itendeke hisani...
😆😆😆Hayo si maneno ya Polepole hayo ni maneno ya MBOWE,
Kuweka kumbukumbu sawa ni kwamba POLEPOLE alikuwa akimuonya Mbowe pamoja na NAPE kwa kutumia maneno ya kichochozi na uvunjifu wa amani kwenye kampeni......
Maneno hayo ama CLIP HIYO "imekatwa" na kuondoa kipengele cha maonyo......
TUPATE CLIP NDEFU ili tutoe uchambuzi makini usio HILA
Woyeee..... ni kwa miujiza ya Bwana tu na huruma ya Mzee vinginevyo khalaas habibiDuh!!!
Acha kuniandika na yakwo.. uyapendayo.. kutamani yawe..
Hiyo ndio CCM ambayo tunatakiwa eti TUIAMINI!! WAMEAHIDI "WAMETELEKEZA" AU NIMEKOSEA HAPO?Hivi ni kweli aliyasema hayo kwa kinywa chake mwenyewe au amelishwa maneno hayo? Amewahi kuyakanusha hayo au ameamua kumezea maana hiyo clip nimeiona mara nyingi humu! Kuna watu wana bahati bwana, nyota zao zinang'aa hata wakifanya madudu huonekana dhahabu. Alikiponda chama chetu lakini leo ni boss wetu!
Ingia youtube ipo yote mkuu acha uvivu kisha lete kanusho...Red Blood Cell(RBC) mbona kana kwamba umemquote KATIKATI ya maneno.......
Alikuwa anafafanua KUHUSU TUME YA UCHAGUZI NA MAMBO YAKE....
Usipojua NENO huambiwi Maana,JIBASHITEGE.tatizo ni nini hapo?
Chuk binafsiii mnatesekaaa sanaa na PPiiiNi aibu kubwa sana kwake binafsi na kwa familia yake na ni doa la milele .
Ifike mahali watu kama hawa wakipita mitaani wazomewe, hawa ni hasara kwa Taifa
View attachment 1502321
Hawa mapacha huwa wananichanganya sana, mwenzake yupo CCMNi aibu kubwa sana kwake binafsi na kwa familia yake na ni doa la milele .
Ifike mahali watu kama hawa wakipita mitaani wazomewe, hawa ni hasara kwa Taifa
View attachment 1502321
Alikuwa sahihi kwa wakati huo na mazingira ya kisiasa. Upiinzani haukujjipanga kuing'oa CCM. Kilichotokea, upinzani ulifanikiwa kuongeza tu Majimbo na Kata za uchaguzi hadi kufanikiwa kuongoza Halmashsuri za majiji nchini. Waliridhika? Watajibu wenyeweHivi ni kweli aliyasema hayo kwa kinywa chake mwenyewe au amelishwa maneno hayo? Amewahi kuyakanusha hayo au ameamua kumezea maana hiyo clip nimeiona mara nyingi humu! Kuna watu wana bahati bwana, nyota zao zinang'aa hata wakifanya madudu huonekana dhahabu. Alikiponda chama chetu lakini leo ni boss wetu!
Kwani katiba ya nchi inasema tuwazomee?Ni aibu kubwa sana kwake binafsi na kwa familia yake na ni doa la milele .
Ifike mahali watu kama hawa wakipita mitaani wazomewe, hawa ni hasara kwa Taifa
View attachment 1502321
Rudi kwenu Rwanda au jifunze kuandikaUtueleze wewe muntu ya wapi?.. hivi bidii yako ya nyuma kwa kudonoa.. inakupiga hadi unamuandika Kiongozi wako mpendwa kihivi!!!.. kaa tu chini uendelee kulia.. acheni kutafuta kisingiziwo.. huku mukijua kwamba.. chama yenu ni mupo ndani ya futi sita.. siku ingine weka fuli sio kipande..
Nambie utakubwa na uchaguzi huu au ndio watakupita.. kisa kazi ya humu tu umeshindwa?[emoji4] pole