Video: Fatma Karume Kwenye Mhadhara wa Kimataifa Asimulia Unyama wa "Kinyago Tulichokichonga Wenyewe"

HHahaaaa kaka kwa utawala ule vingi sana vilikua haviingii akilini km maiti kwenye viloba toka somalia awamu ya tano pkee kuonekana na si kabla wala baada,anyway nkibaki kwenye lako hli,me naona walishindwa ama waliona shida kwenda pekua kuchukua nyaraka fulani fulani nyeti dhidi ya utawala ule so wakaamua kuziteketeza kwa staili ile,ama walitaka kuwatia uoga tuu
 
Daah yaani
 
Hiyo sheria ya wapi unasoma? Au mnajifanya hatujuwi mnajuwa?
 
Simply she should looks on mirror and see what her father did to slaughtered innocent children and women Arabs , check on this youtube clip “Arabs massacres in Zanzibar” bahati mbaya sana aliyefanya mauaji ya baba yake alifanya kosa kubakiza ukoo huu angefutilia mbali wote. Lakini kwa baraka ya utawala huu wa kinafiki wanatumia kuumiza famialia ya magufuli for no reasons than nepotism and greed of power with no talents whatsoever
 
Hiyo sheria ya wapi unasoma? Au mnajifanya hatujuwi mnajuwa?
Leta unachojua wewe kuhusu nani ni Plaintiff na nani ni defendant kwenye criminal offence. Siyo una unaandika tu kama bata anakunya
 
You are quite wrong IWILL !! Madam Fatma has got nothing to do with wrong doings of her grandfather whatsoever. And it is out of this thread to be serious. She is expressing the atrocities of the late dictator who ruled this country ruthlessly.

If you are a cabal or proxy of the late despot, go to hell as well
 
Fatuma Naye unaenda international conference halafu unaongelea mtu badala ya issues..

Unafika unaanza kusema lengo lililonileta hapa ni kuongelea marehemu Magufuli!!!

Aiseeeee
 
Fatuma Naye unaenda international conference halafu unaongelea mtu badala ya issues..

Unafika unaanza kusema lengo lililonileta hapa ni kuongelea marehemu Magufuli!!!
Alaf anavyoongea sasa kwa unyenyekevu hata baba yake sidhan kama anaongeaga nae hivyo
 
Ni kweli aliyosema kuhusu marehemu magufuli....ila sasa kama yeye mwanaharakati amseme na marehemu babu yake MZEE KARUME aliyeongoza kwa mkono wa damu, kuongoza Zanzibar kwa matamko (decree) bila katiba wala uchaguzi(akiapa kutofanya uchaguzi zanzibar kwa miaka 50 ijayo akimaanisha 1964-2014), akiwaua kikatili watu 19 akiwemo waziri Abdallah Kassim Hanga, Salehe Saadallah Akida, Abdul Aziz Twala na makatibu wakuu wa wizara, Aboud Nadhif na Mdungi Ussi na baadaye Othman Sharrif na wengi aliotofautiana nao kimawazo.....inawezekana magufuli aliiga toka kwa Mzee Karume style ya uongozi
 
Wafuasi wa SHETANI Magufuli huwa wanafananisha NYAGO lao na Nyerere. Kweli?! Shenzi kabisa.
Mbona alipokuwa anatoka chumbani kwa bi mkubwa wako ulikuwa unamuamkia shikamoo
 
Alimuua nani?

Na aliua zaidi kulinganisha na nani?
 
Wewe tunakujua una stress za kwamba alikubutua kisha akakuacha!
 
Duuh kumbe kuna siri nyingi
 
unaandika kwa Bold ila haisaidii kumchafua Mwendazake ni chuma cha pua
Chuma cha pua vipi mzee baba, alikuwa lofa wa kupindukia. Tumeshaelewa sasa hatuleti rais asiyejua kuvaa shati, tulikosea sana. Chuma cha pua? Covid-19 ilimtandika au?
Alimuua nani?

Na aliua zaidi kulinganisha na nani?
Alimuua nani?

Na aliua zaidi kulinganisha na nani?
Aliua watu waliokuwa wakiokotwa kila siku maeneo ya Beach na kwenye mito. Hatumlinganishi na mtu yeyote bali aliharibu nchi yetu. Ina maana hujui wewe, inawezekana kwa sababu aliua wengi. Mtamsafisha lakini hatasafishika. Sasa hizi anaungua moto huko alipo. Ishi vizuri na watu ili upate baraka na uheshimike na kupendwa na watu wako. Mnajifanya hamjui alichofanya.....acha utani wewe msukuma.
 
huwa nasikia raha sana mtu akijibu hoja kwa facts, logic na vivid examples kama hivi ulivyofanya . kwa asili sipendi watu wenye akili ndogo wanaoropoka kwa mhemko na mipasho bila kufikiria kabla ya kusema!! in general sipendi watu wajinga sorry guys!!

Kumbe Karume ni mtesi mkubwa kama watesi wengine tu!!kwa mifano ya majina ya watu aliowaua!kama ni kweli aliwaua basi ndugu zao watamlaani Karume daima!!


Ilimpasa Fatma kubalansi stori kwa kusema hivi

"Magufuli and Karume regimes were alike and both dictators dragged their territories into the dark ages with countless atrocities and bloody human casualties"

Fatma atulie sasa aishie hapo hapo alipofikia asiendelee kumchafua mtu aliebeba maono ya kuijenga Tanzania flani ya level ya mbele!!

Mimi binafsi ameniboa sana Fatma because she is smart sasa sijui katelezea wapi kusema bila kufikiria. I believe Fatma ought to apologize to Tanzanians and Her Excellency Mama Samia.

Just curious , hivi Fatma anatumia passport ya nchi gani kusafiri? kama ana passport ya bongo ni vizuri aturudishie passport yetu achukue ya wazungu maana huwezi kupanda ndege kwenda nje kuichafua nchi yako!! uhamiaji mnamuogopa? masharti ya passport si mnayajua?Kumchafua Magufuli ni kuichafua Tanzania maana Waziri mkuu yule yule , Waziri wa fedha sasa ndie makamu na makamu wa Magufuli ndo Rais wa sasa, hapo Bimkubwa Samia anakuwaje msafi kwa mfano? kwa akili ya kizungu A na B = C !

mf Diarra + Sureboy + Mayele + Feisal = Goooooooooooal la kumchinja mnyama Simba CCM Kirumba stadium!! unasemaje tena eti Diarra ni mbaya halafu Mayele au Feisal awe mzuri? timu yao moja?!@
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…