Video: Freeman Mbowe ni miongoni mwa watu wachache wenye akili kubwa ambao Tanzania imebarikiwa kuwa nao , Asante Mungu kwa zawadi hii

Mkuu huyu mwamba, binafsi nilisha mpa jina Kama baba wa taifa wa pili,Kama anamadini,huwa sio ya dunia hii,viwango vyake ni vya juu Sana, hakuna prof atatia mguu KWA mwamba mbowe,ujengaji wa hoja zake sio wa kitoto,
Alafu utasikia kuongoza ni elim kubwa dhubutu nani kamwambia,
Mh lissu sio prof wa sheria ila maprof wa fani yake wakimsikia wanatetemeka, mungu ibariki chadema Sana ,viongozi, na wanachama wote ,wapo sehem sahii
Sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 1688331
 
Eti ndiyo awe kiongozi wa kitaifa! Badala ya kufikiria utatuzi ulio ndani ya uwezo wetu, anasema tupige kelele ili mataifa ya nje yaje yatusaidie!

Mataifa hayo yameshindwa kujisaidia yenyewe katika hili janga watakusaidia wewe?
 
jf inaheshimu mawazo ya kila mmoja
 
Nashindwa kumtukana mbiwe kwa sababu ya heshima niliyonayo kwake.
Anasema tupige kelele ili mataifa ya nje yaje yatusaidie, hivi ni kwamba hajui kuwa hayo mataifa ndio waathirika wakubwa wa hiyo Corona? Ana brain kweli huyu?
 
Sisi nyungu tuu. Acha wachanjane mpaka waone raha. Tanzania hatutaki chanjo. Tunatumia dawa za asili. Mbona mabeberu wanatulazimishia hawa machanjo. Yana nini? Mbona hatulazimishii teknologia???????? Hawa makuku meupe yana shida.
 
Mkuu wafe wangapi ndio tustuke
 
Siku tukianza kuanguka kama kuku nitaanza kumuinga mkono mbowe.ila kwa Sasa nipo upanda wa magufuli [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847].
Changamoto ZINAKUBALIWA.
 
Hao unaowaita wazungu ndio wamechangia gharama za utafiti uliopelekea hizi chanjo zipatikane. Wao ndio waliweka oda mapema hata chanjo haijapatikana. Na pamoja na juhudi zao, kiasi cha chanjo hakitoshelezi mahitaji yao. Kama hautaki kuwa wa mwisho ungechangia gharama au ungetafuta chanjo yako mwenyewe.

Amandla...
 
Sasa mzee nchi za dunia ya 3 mnataka mpewe 1st priority kwenye dawa hivi iyo kitu inaingia akilini .
 
Ugonjwa wameutengeneze wenyewe kwa maslahi yao hata hizo chanjo ndio ilikuwa target yao ndo maana baada ya mda mfupi wameanza hiyo biashara
 
Banae siasa za Corona achana nazo Mr. Mbowe hazitakusaidia chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…