mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Ndo maana mmempa Uenyekiti wa kudumu wa CHADEMA maana hakuna mwingine mwenye akili wa kukiongoza chamaWapinzani mko wabishi sana, Corona ya kwanza tumeishida wote nyinyi mashahidi, ya pili tupeni muda kidodo kama wiki mbili nayo itayeyuka.
Rais anaposema ni aibu kwa taifa kushindwa kutengeneza dawa zake yenyewe, yeye kama rais anaona mtu wa kwanza kulaumiwa kwa hili ni nani?Mbowe anaongea kama mtu aliyekata tamma na hawezi kwenda mbele mpaka apate msaada. Majuzi rais Magufuli alisema ni aibu kwa taifa kushindwa kutengeneza dawa zake zenyewe, leo tunaona mgawano wa chanjo ya Corona duniani, Afrika haitapata chanjo za kutosha mpaka 2023 pale wazungi watakapo maliza kuchanjana.View attachment 1688353
Sitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 1688331Duh kila mtu anakipimo chake, kama ulivyopima ukamuona ulivyomuona
Wataalam wetu wenye ma-PHD na ma_Profesa waliobobea katika fani ya utabibu na utafiti wako wapi? Watuletee basi chanjo za kwetu ili kuiepusha nchi yetu kusumbuliwa na wazungu/mabeberu kulazimisha tupewe chanjo zao.Mbowe anaongea kama mtu aliyekata tamma na hawezi kwenda mbele mpaka apate msaada. Majuzi rais Magufuli alisema ni aibu kwa taifa kushindwa kutengeneza dawa zake zenyewe, leo tunaona mgawano wa chanjo ya Corona duniani, Afrika haitapata chanjo za kutosha mpaka 2023 pale wazungi watakapo maliza kuchanjana.View attachment 1688353
😆😆😆Rais anaposemq ni aibu kwa taifa kushindwa kutengeneza dawa zake yenyewe, yeye kama rais anaina mtu wa kwanza kulaumiwa kwa hili ni nani?
Huyu rais anaelewa kazi yake?
Mbona na yeye kapewa uongozi analalamika kama wananchi wasio na dhamana ya uongozi?
Ndio maana walianza kututabiria maiti zetu tutaziokota mabarabarani lakini Mungu si John wao ndo imewageukiaWametengeneza ili wajiue halafu watafute kinga ili wasife! Kweli wanastahili kuitwa mabeberu.
Amandla...
Kwani hazikuokotwa?Ndio maana walianza kututabiria maiti zetu tutaziokota mabarabarani lakini Mungu si John wao ndo imewageukia
Hana tofauti na nabii tittoSitaongeza neno lolote , jionee mwenyewe .
View attachment 1688331
Kaa pemben angalia matokeo maana Tz siyo kenyos hatubabaishwi na keyboard worriors 😂😂mmeshindwa kutengeneza pamba ya kuoshea vidonda ambayo mnalima kanda ya ziwa , mtaweza dawa ya corona ?
Hakuna maiti iliyookotwaKwani hazikuokotwa?
Amandla...
Tunajitambua vipi wakat tuliowaamini na tukawapa kura, kuanzia breakfast, lunch na dinner wanakula kwa wazunguNdio maana mnaabiwa msifikiri wazungu wanaipenda kihivyo. Waafrika inabidi kujitambua kama atakaye tukimbilie pale tukiwa na matatizo yetu.
16% ya ubia + 50% ya faida + kodi, tena bila kutoa senti tano ya mtaji, unafikiri nani mwenye akili hapo?Tunajitambua vipi wakat tuliowaamini na tukawapa kura, kuanzia breakfast, lunch na dinner wanakula kwa wazungu
Baadae unaskia mkataba 16% tunachukua sisi iliyobaki kwa weupe
16% ya ubia + 50% ya faida + kodi, tena bila kutoa senti tano ya mtaji, unafikiri nani mwenye akili hapo?
Kampuni ikipata hasara, tutadhurika kwa 16% tu, ikipata faida tunalamba 50%. Kumbuka hujatoa senti tano ya mtaji au gharama yoyote.Una 16% ya ubia lakini unapata 50% ya faida? Kwa nini usiwe na 50%?
Amandla...
Mbowe anaongea kama mtu aliyekata tamma na hawezi kwenda mbele mpaka apate msaada. Majuzi rais Magufuli alisema ni aibu kwa taifa kushindwa kutengeneza dawa zake zenyewe, leo tunaona mgawano wa chanjo ya Corona duniani, Afrika haitapata chanjo za kutosha mpaka 2023 pale wazungi watakapo maliza kuchanjana.View attachment 1688353
Sawa kama unaamini hivyo.Kampuni ikipata hasara, tutadhurika kwa 16% tu, ikipata faida tunalamba 50%. Kumbuka hujatoa senti tano ya mtaji au gharama