Uchaguzi 2020 Video: Gwajima ukiwa muongo usiwe msahaulifu, alisema Kuutaka Ubunge ni kujishusha chini

Kwa hakika akiingia mjengoni hawezi kutetea haki ukizingatia upande unaomuingiza huko.
 
Ukigeu geu kwa wanadamu ni kawaida

Mbona CHADEMA walituamisha kuwa LOWASA hafai lakini baadae wakasema anafaa na akawa mgombea wao kiti cha uraisi!

Maisha bila unafiki hayaendi
 
Ukigeu geu kwa wanadamu ni kawaida

Mbona CHADEMA walituamisha kuwa LOWASA hafai lakini baadae wakasema anafaa na akawa mgombea wao kiti cha uraisi!

Maisha bila unafiki hayaendi
Na walisema kinana anamaliza tembo wetu na wakadai wanao ushahidi, mwisho kinana aliombwa radhi kwa hiyo hakuna kipya kwa gwajima
 
Jamani mwenye kale ka clip ka huyu mtumishi wa bwana akila ka tunda ka mti wa kati hebu atupiepo tujikumbushe!!
 
Mtawatambua kwa matendo yao; chemichemi moja haitoi maji matamu na machungu.
 
Kwa hivyo wenye misimamo wote ni fools!!??
rephrase your qn,
Acha nu rephrase namna hii.
Kwa mfano wewe ni BOSI na una mamlaka ya ku hire an ku fire wafanya kazi wako jinsi upendavyo.
Then ukaletewa maneno ya UONGO yaliwekewa chumvi dhidi ya mfanya kazi wako ambaye unamwaminini sana. Halafu UKAKURUPUKA na kusema "if indeed he did that he should go home' Na hasira ziko juu.

Baadaye ukamwita huyo mfanyakazi wako ukamwambia yale uliyoyasikia na kumwambia kwa nini akifanya hivi na vile.
Then akaanza kujieleza.'
"Bosi haya ni majungu tu hapa kazini wewe unifahamu siwezi kufanya jambo kama hilo" Na wewe unamkatisha na kusema "NO! NO! itabidi uache kazi ...."
Then Ukiwa pekee yako devoid of emotions unaanza kutafakari yale majungu uliyoletewa na yale ya huyo alivyokujibu.
Unapoanza kufikiria hatua kwa hatua na kuanza kunganisha dots una kuja kwa conclusion kuwa KUMBE ilikuwa ni UONGO ili afukuzwe kazi.
Then in your WISDOM
YOU CHANGE YOUR MIND . That's what I meant.
Unless you do have personal beef with that person,it is then none of my business.
Shukrani.
 
Waumini wake wasitegemee ibada Sasa hivi,atakuwa anapiga siasa mwanzo mwisho madhabahuni,na bahati nzuri sana kawakamata kwelikweli watakuwa wanamshangilia kwa shangwe na vigelegele
 
Ogopa sana technology Mkuu. Matapeli waongo etc hawakawii kuumbuliwa na technology.
tutaendelea na uzalendo wa kuwaumbua hadharani bila huruma
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…