Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Amza ni shujaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3]Shujaa huyo. Wasomali wengi wanahitajika Tanzania ili heshima kwa wananchi irudi.
Huyu ndio shujaa wa kweli. Yule mwingine alikufa kwa corona nashangaa watu wakamwita eti shujaa wa Afrika!!
Google exchange rateGram moja ya dhahabu ni kiasi gani?.
Hapa bange umeisingiziaHuenda alivuta bangi asubuhi
Bila Shaka ,mpole Kabisa. Hili dhabi litawatafuna polisi hadi vijukuu vyao.Huyu alikuwa MTU mzito ndan ya ccm, wamemdhulumu tu na anaonekana kijana safi kabisa
Mbowe si gaidi,ccm ndiyo magaidi! Mifano:MHii ni wakati wa maombolezo ya Magufuli.
View attachment 1911130
Shujaa huyo. Wasomali wengi wanahitajika Tanzania ili heshima kwa wananchi irudi.
Huyu ndio shujaa wa kweli. Yule mwingine alikufa kwa corona nashangaa watu wakamwita eti shujaa wa Afrika!!
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.
ni kweliHuyu mtu amedhulumiwa nafsi na mali