Video: Hamza Hassan Mohamed akimzungumzia Hayati Dkt. Magufuli
Shujaa huyo. Wasomali wengi wanahitajika Tanzania ili heshima kwa wananchi irudi.

Huyu ndio shujaa wa kweli. Yule mwingine alikufa kwa corona nashangaa watu wakamwita eti shujaa wa Afrika!!
[emoji3]
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.

Mkuu watu humu kwenye Keyboard wanaandika tu. Hawana lolote. Risasi moja tu wanajikojolea mpaka puani. Just let them ejaculate their frustrations. It will help their Ego.
 
1630067206130.png
 
Rest in peace,yawezekana ulifanyiwa maovu ukaona njia ni kufa tuu ila kwa kulipiza naimani kuna wengi wanapitia magumu kwa kutendewa visivyo ila pia natamani kuona njia mmbadala ikitumika kuokoa roho zote ,swali itawezekanaje?
 
Hamza ni mtu na nusu,ccm wanajua hilo kua kada wao kindakindaki ni gaidi kma isis au islamic state,ccm oyeer
 
Back
Top Bottom