Video: Hamza Hassan Mohamed akimzungumzia Hayati Dkt. Magufuli
Ile movie ya Hamza naifananisha na ile liwaya ya msako wa mwehu
 
..Vyombo vya habari vimetuangusha Watanzania.

..Inashangaza na kusikitisha kwamba coverage kubwa amepewa muuaji Hamza, badala ya askari waliopoteza maisha ktk tukio la mauaji.

..Tusiwasingizie wapinzani hapa kwani wao hawamiliki vyombo vya habari. Tuna tatizo la ueledi ktk vyombo vyetu vya habari.

Cc Pascal Mayalla
 
..Vyombo vya habari vimetuangusha Watanzania.

..Inashangaza na kusikitisha kwamba coverage kubwa amepewa muuaji Hamza, badala ya askari waliopoteza maisha ktk tukio la mauaji.

..Tusiwasingizie wapinzani hapa kwani wao hawamiliki vyombo vya habari. Tuna tatizo la ueledi ktk vyombo vyetu vya habari.

Cc Pascal Mayalla
Wewe naye ni tatizo kubwa.

Tukio la namna ile unataka coverage apewe nani?

Hakuna media ya kipumbavu itaacha kufuatilia undani wa Hamza na kuanza kuwapa watu wengine coverage.
 
Hii ni wakati wa maombolezo ya Magufuli.
View attachment 1911130
Ngoja nami niseme tu ,KWa jamaa Huyu, pitia video hii ambayo naiona japo simfaham ila Mungu kanipa KIBALI kupitia uso wa mtu ,Basi naweza kumtafakarisha mlengwa,so mnao mfaham vizuri mtanirekaebisha


1. Huyu bwana kwanza ni mpole na moyo wake waonesha sio mkorofi
2. Huyu pamoja na upole wake ila yupo na imani KWa kile anakiamini, kuanzia kwake, kazini kwake ,akisema yes ni yesi na no ni no, mnao mfaham mtanijibu

Thanks nakaribisha wanaomjua, kaka ,ndugu nk mnishushue nilicho kisema kwamba kweli au nadanganya
 
Ugaidi hauna rangi kumwongelea hayati hakuondoi ugaidi na uhalifu wake
 
Wewe naye ni tatizo kubwa.

Tukio la namna ile unataka coverage apewe nani?

Hakuna media ya kipumbavu itaacha kufuatilia undani wa Hamza na kuanza kuwapa watu wengine coverage.

..kwenye matukio kama haya victims ndio hupewa coverage kubwa na kuenziwa kuliko muuaji.

..hio ndio kawaida ktk nchi za wenzetu, nashangaa hapa Tanzania tunakwenda kinyume.

..tukio hili lingetokea Kenya au Rwanda sidhani kama muuaji angetangazwa na kukwezwa na vyombo vya habari kama inavyofanyika Tanzania.
 
Angeua hata jeshi zima la polisi ingependeza vijana wapo wa kutosha wa kuwaajiri
 
..kwenye matukio kama haya victims ndio hupewa coverage kubwa na kuenziwa kuliko muuaji.

..hio ndio kawaida ktk nchi za wenzetu, nashangaa hapa Tanzania tunakwenda kinyume.

..tukio hili lingetokea Kenya au Rwanda sidhani kama muuaji angetangazwa na kukwezwa na vyombo vya habari kama inavyofanyika Tanzania.
Tatizo litakua ni utendaji wa jeshi letu la polisi. Hamza huyo anayeitwa muuaji, alikua anawaasa wananchi waondoke na kukaa mbali na eneo la tukio ili wasidhurike. Yeye alikua na POLISI tu. Think big.
 
..Vyombo vya habari vimetuangusha Watanzania.

..Inashangaza na kusikitisha kwamba coverage kubwa amepewa muuaji Hamza, badala ya askari waliopoteza maisha ktk tukio la mauaji.

..Tusiwasingizie wapinzani hapa kwani wao hawamiliki vyombo vya habari. Tuna tatizo la ueledi ktk vyombo vyetu vya habari.

Cc Pascal Mayalla
Mkuu JokaKuu, pamoja na ukweli kuwa media yetu ina matatizo lukuki, lakini kwenye hili tukio, what is news is Hamza!. Kati ya watu 5 waliokufa kwenye tukio hilo, the big news ni mtenda tukio, muuaji na sio watendewa, walio uliwa!. Maswali ya kujiuliza besides who, what, when and how, wameisha kuibiwa, the biggest question is why, what is the motive behind, what is the causative agents, what are the underlying facts?. Je mhusika ni gaidi?, ni kichaa, alipata wazimu?, kwanini akawalenga polisi tuu?. Inawezekana miongoni mwa waliokufa kuna wengine wameuliwa na friendly fires.
P
 
Hao watu ni restrained. Hawasemi,"Hamza jambazi? Wacheni utani!" Inakuwa kama wamekuwa coached jinsi ya kuzungumza?
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.
sio wafuasi wa mbowe, askari wenu ni waonevu kila siku watu wanapiga kelele kuhusu uonevu wao lakini kimya, sasa hayo ndo matokeo yake kama ya kina hamza.

Hata ccm ikiendelea na upuuzi wanaofanya nayo ipo siku yake, maana kila ubaya una mwisho wake.

Kuna uvumilivu mwingine mtu inamfika mwisho anaona sasa liwalo na liwe, maana ukiendekeza utashikwa pabaya au kupakatwa kabisa.
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.
Hamza anaonewa huruma kutokana na rekodi yake ya maisha. Inaonekana alikuwa mtu muungwana sana, tofauti sana na polisi wetu ambao wamejaa uonevu. Jambo la pili, ni ukweli ambao haujathibitishwa kuwa Hamza alidhulumiwa na polisi madini yake.

Tatu, Hamza ni muislam, na kwa muislam, kama alidhulumiwa, kwa kadiri ya mafundisho ya imani yake, kulipiza kisasi ni halali.

Kusema kuwa ni wafuasi wa Mbowe, ndiyo wamehuzunishwa na kifo cha Hamza ni ni uwongo na uwendawazimu.

Viongozi wa CCM, serikali na wananchi kule Chunya alikokuwa anafanyia shughuli zake Hamza, wote wametamka kuwa wamesikitishwa sana na kifo cha Hamza kwa sababu alikuwa ni mtu mzuri. Sikumsikia hata mmoja akisema amesikitishwa na vifo vya askari!! Nimeshangaa sana. Kama kuna wenye akili ndani ya jeshi la polisi, wajitafakari sana. Kwa ufupi inaonekana polisi hawapendwi wala hawaaminiki. Ni kwa nini?
 
Jamaa ameishi miaka mitano ya Magufuli vizuri tu na akaenda kuhani msiba, ila miezi minne ya maza imemshinda.
 
Hamza Kama Alikuwa Mtu Wa Kawaida Kajulia Wapi Matumizi Ya Silaha? Kuna Kitu Nyuma Ya Pazia Nadhani Hapa
 
Back
Top Bottom