Pigo kubwa kwa ccm na haki lazima itendeke tuu.Hakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pigo kubwa kwa ccm na haki lazima itendeke tuu.Hakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
Mwamba umeanza kuchechemea.😀😃😄Hakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
View attachment 1480497
Faku johnHakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
View attachment 1480497
malipo ni hapa hapaPigo kubwa kwa ccm na haki lazima itendeke tuu.
Mgao wa bil 8 lazima ulipata. Huwezi ukawa unafagilia mafisadi burebure.Hakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
View attachment 1480497
Tunataka maendeleo ya watanzania sio kutafuta sympathy. Kati ya wote leo Mh ndio ame recognize uchapa kazi wa Silinde. wengine mnafanya nini
Sasa atoke amwachie nani? Nafikiri kila akihisi kuachia hakuna wakumpokea kijiti... kiukweli ifike mahali Mbowe akabidhi kijiti kwa mtu mwingine! Ni kweli ni mhimili wa chama na amekitoa mbali ila ataendelea kuwa yeye tu hadi lini? Mtoto aliyezaliwa anamaliza chuo kikuu ngazi ya masters hamjui mwenyekiti mwingine wa chadema sio dalili nzuri sana na ni poor succession plan. Ushauri wa bure tu lakini.
Mwamba wa nini?Hakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
View attachment 1480497
Kama katiba yao ya chama inawaruhusu haina ubaya,Ubaya unakuja katika katiba ya nchi ndio hairuhusu kuvunjwa... kiukweli ifike mahali Mbowe akabidhi kijiti kwa mtu mwingine! Ni kweli ni mhimili wa chama na amekitoa mbali ila ataendelea kuwa yeye tu hadi lini? Mtoto aliyezaliwa anamaliza chuo kikuu ngazi ya masters hamjui mwenyekiti mwingine wa chadema sio dalili nzuri sana na ni poor succession plan. Ushauri wa bure tu lakini.
Nimekustahi pakubwa sanaShetani konyagi kubwa kashibdwa nakubali ila mwambieni Mbowe aachane na huyo shetani Kuna siku atamfanya vibaya akianguka kwa kumnywa
Hajaumia bali alikuwa location kutengeneza movie ya Lissu na kuua so la Nyumba kubwa na huku anataka kushiriki sherehe ya kuvunja BungeHakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
View attachment 1480497