kweli watu wa Mungu waangamia kwa kukosa maarifa.MWAMBA AMESIMAMA...! Lumumba watanunaa leo watahaha humu...
Pole Kiongozi wangu mhe, Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli watu wa Mungu waangamia kwa kukosa maarifa.MWAMBA AMESIMAMA...! Lumumba watanunaa leo watahaha humu...
Pole Kiongozi wangu mhe, Mbowe.
Kamtafute lijualikali... kiukweli ifike mahali Mbowe akabidhi kijiti kwa mtu mwingine! Ni kweli ni mhimili wa chama na amekitoa mbali ila ataendelea kuwa yeye tu hadi lini?
Mtoto aliyezaliwa anamaliza chuo kikuu ngazi ya masters hamjui mwenyekiti mwingine wa chadema sio dalili nzuri sana na ni poor succession plan. Ushauri wa bure tu lakini.
@SkyEclat usicomment tu ovyo kwa sababu tu ya ushabiki ebu uwe unafikiria unaweza ukakuta Ni kweli mbowe alidondoka kwa sababu ya ulevi je hiyo kauli Nani atakuwa inamuhusu?Shetani anaishia kuona aibu sikuzote
Mlevi anatoa wapi utukufu wa Mungu?Hakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
View attachment 1480497
Na alipodondoka alipata hallucinations kwa kusikia maneno kama “ tuone utafanyaje kampeni na uache kabisa kumsema fundenge”.@SkyEclat usicomment tu ovyo kwa sababu tu ya ushabiki ebu uwe unafikiria unaweza ukakuta Ni kweli mbowe alidondoka kwa sababu ya ulevi je hiyo kauli Nani atakuwa inamuhusu?
Unatema uongo uliomezeshwa@SkyEclat usicomment tu ovyo kwa sababu tu ya ushabiki ebu uwe unafikiria unaweza ukakuta Ni kweli mbowe alidondoka kwa sababu ya ulevi je hiyo kauli Nani atakuwa inamuhusu?
Kwani dose ya Nyagi haikutosha mpaka wa mpe dawa nyingine?? Ile aliokuja nayo hospital ilitosha kwa usiku ile, amasivyo wange muu-overdoseMtu anakunywa konyagi then anaenda hospital anapewa dawa...
Hivi si wanasema ukilewa uwez kupewa dawa au
,🤣🤣🤣🤣🤣Eti amevunjwavunjwa 😂😂😂 , mbowe bhana,ni comedian zaidi ya joti
Ukweli upi tena? Mbona ukweli ulishaelezwa na mpaka leo mmeshindwa kutoka hadharani kuukana.Siku ukija kuambiwa ukweli utakimbia kwa aibu
Hakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
View attachment 1480497
... ifike mahali abaki kuwa mshauri wa chama. Mikiki mikiki ya majukwaani awaachie vijana.Ikiwa haamini mtu mwingine hilo nalo tatizo kubwa.
Chadema ina hazina ya uongozi ndio maana ccm imewaamini na kuwapa uwaziri na ukuu wa wilaya
Sent using Jamii Forums mobile app
... sawa mkuu.Kama katiba yao ya chama inawaruhusu haina ubaya,Ubaya unakuja katika katiba ya nchi ndio hairuhusu kuvunjwa
... ana mkataba na Mungu kwamba ataendelea kuwepo hadi lini? Viongozi wa aina hii ndio wale wakiondoka (kwa lazima) taasisi inasambaratika kwa sababu waliamini wao ndio taasisi na taasisi ndio wao. Mbowe abadilike.Sasa atoke amwachie nani? Nafikiri kila akihisi kuachia hakuna wakumpokea kijiti
Kwani dose ya Nyagi haikutosha mpaka wa mpe dawa nyingine?? Ile aliokuja nayo hospital ilitosha kwa usiku ile, amasivyo wange muu-overdose