Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Kumbe mwamba anagonga na fegi!!!! Ha ha ha mwamba ulijimaliza.Alisikika mlevi mmoja akisemaView attachment 1480583
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mwamba anagonga na fegi!!!! Ha ha ha mwamba ulijimaliza.Alisikika mlevi mmoja akisemaView attachment 1480583
imetoka kutoka wapi ?Mwamba kasikia pesa imetoka kainuka. Ha ha ha ha...mwamba!!!
Vizuri ni vipi ?Unalitumiaga jina la Mungu vibaya sana.
Huu ndio ulafi wa madaraka,hawana tofauti na sisiemu hawa,ukiwapa nchi watabadili mpaka katiba... kiukweli ifike mahali Mbowe akabidhi kijiti kwa mtu mwingine! Ni kweli ni mhimili wa chama na amekitoa mbali ila ataendelea kuwa yeye tu hadi lini?
Mtoto aliyezaliwa anamaliza chuo kikuu ngazi ya masters hamjui mwenyekiti mwingine wa chadema sio dalili nzuri sana na ni poor succession plan. Ushauri wa bure tu lakini.
Shetani konyagi kubwa kashindwa nakubali ila mwambieni Mbowe aachane na huyo shetani Kuna siku atamfanya vibaya akianguka kwa kumnywa
Huu ndio ulafi wa madaraka,hawana tofauti na sisiemu hawa,ukiwapa nchi watabadili mpaka katiba
Unapewa bila shida .Dawa za kuondoa ulevi huwa zipo pia wanaondoa wanakupa Kama Ni jeraha unatibiwa tu na. Pombe zakoMtu anakunywa konyagi then anaenda hospital anapewa dawa...
Hivi si wanasema ukilewa uwez kupewa dawa au
Ni kweli,tena leo tunaona amekitunga bunge kwa kufungua vyuo na shule zote.Shetani konyagi kubwa kashindwa nakubali ila mwambieni Mbowe aachane na huyo shetani Kuna siku atamfanya vibaya akianguka kwa kumnywa
Ikiwa haamini mtu mwingine hilo nalo tatizo kubwa.... kiukweli ifike mahali Mbowe akabidhi kijiti kwa mtu mwingine! Ni kweli ni mhimili wa chama na amekitoa mbali ila ataendelea kuwa yeye tu hadi lini?
Mtoto aliyezaliwa anamaliza chuo kikuu ngazi ya masters hamjui mwenyekiti mwingine wa chadema sio dalili nzuri sana na ni poor succession plan. Ushauri wa bure tu lakini.
Pombe huwa haiachi Walevi SalamaHakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
View attachment 1480497
Shetani nyumbani kwake ni Chako ni Chako!Shetani anaishia kuona aibu sikuzote
Kimya kina mshindo, so wait! Na kwa taarifa yako, Mungu hadhihakiwi, kusema anadhihakiwa unakosea! Labda umekosea lugha tu, lakini Mungu hadhihakiwi!Kweli Mungu anadhihakiwa. Mlevi chakari anashindwa kupanda ngazi anaanguka anaumia halafu anawadanganya watu na kusingizia kaumizwa na watu yote hayo yakiwa machukizo kwa Mungu na kumbe alitoka kwa kimada yakiwa ni machukizo mengine halafu leo mnasema kama si Mungu. Jamani Mungu yupi?? Tuache dhihaka wandugu
Dah...Kuna wakati shetani mnamuonea kwa kweli [emoji2960]Shetani anaishia kuona aibu sikuzote
Mara nyingi majeraha ya mlevi hupona harakaHakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
View attachment 1480497