Video: Hii ndio Crane aina ya XCMG yenye uwezo wa kubeba Tonne 100, imagine ya 26 Tonnes ikoje

Video: Hii ndio Crane aina ya XCMG yenye uwezo wa kubeba Tonne 100, imagine ya 26 Tonnes ikoje

Dona kantri


Masikini watoto wapo kwenye mitihani yao ya kidato cha 4,wanasomaje huko?


Ccm wana dhambi sn
Mi ilinikuta 2006 wakati najiandaa na NECTA , ngeleja sitamsahau yule jamaa, daaah, halafu kumbe ni ishu ya kusuka tu ili waingia mikataba ya kukodi jenereta, kuna watu wana ujasiri nyie, aaaghh
 
View attachment 2015602aina hii ndizo zinazoinua milango ya hydro power sio hizo.

Si zinainua wakati wanajenga hayo mageti kisha wanaziondoa winchi ama zinabaki hapo moja kwa moja?

Naomba nifahamishwe vizuri. Hizi winchi tunaongelea hapa si zinatakiwa wakati wa ujenzi tu na sio kwamba zitakua pale moja kwa moja si ndio?

Na hapo ndio swali langu la kila siku linajirudia, kwamba kwenye mpango wa utekelezaji wa huo ujenzi hawakuweza kabisa kuligusia hilo hitaji hadi sasa hivi ndio imeibuka kama jambo la dharura hadi licheleweshe maendeleo ya mradi?
 
Si zinainua wakati wanajenga hayo mageti kisha wanaziondoa winchi ama zinabaki hapo moja kwa moja?

Naomba nifahamishwe vizuri. Hizi winchi tunaongelea hapa si zinatakiwa wakati wa ujenzi tu na sio kwamba zitakua pale moja kwa moja si ndio?

Na hapo ndio swali langu la kila siku linajirudia, kwamba kwenye mpango wa utekelezaji wa huo ujenzi hawakuweza kabisa kuligusia hilo hitaji hadi sasa hivi ndio imeibuka kama jambo la dharura hadi licheleweshe maendeleo ya mradi?
Kama ni kitu kinachohitajika kilitakiwa kiwe kimewekwa kwenye mpango kazi, na hiyo winch iwe hapo tayari, yaani ni kama kitu wameshtukizwa, hata sielewi
 
Kama huyu wa nishati Sio muongo tu, hata yeye hajui anachokiongea!
Sasa anafikiri watz wote hawajui maana ya ton 26!
Atajua kama hakuna anachojua!
Hahahaha, tupate wadhamini kidogo 😂😂😂

 
Si zinainua wakati wanajenga hayo mageti kisha wanaziondoa winchi ama zinabaki hapo moja kwa moja?

Naomba nifahamishwe vizuri. Hizi winchi tunaongelea hapa si zinatakiwa wakati wa ujenzi tu na sio kwamba zitakua pale moja kwa moja si ndio?

Na hapo ndio swali langu la kila siku linajirudia, kwamba kwenye mpango wa utekelezaji wa huo ujenzi hawakuweza kabisa kuligusia hilo hitaji hadi sasa hivi ndio imeibuka kama jambo la dharura hadi licheleweshe maendeleo ya mradi?
1636876306523_1.jpg

Mkuu hizo zikishawekwa hapo ndo moja kwa moja hiyo hapo ni mtera dam site(mtera hydro power plant ipo hapo tangu 1981 alizindua jk nyerere kazi ya hiyo kreni ni kuinua milango ya daraja(mageti),kwa kawaida uwekwa mageti kwanza kazi ya hayo mageti ni kuzuia maji kupita,kuna muda dam level maji upitiliza(kujaa) hivyo hiyo milango uinuliwa kupunguza maji kupata dam level.
 
View attachment 2015849
Mkuu hizo zikishawekwa hapo ndo moja kwa moja hiyo hapo ni mtera dam site(mtera hydro power plant ipo hapo tangu 1981 alizindua jk nyerere kazi ya hiyo kreni ni kuinua milango ya daraja(mageti)

Achana na Picha, nilifunga safari 1999 kwenda kupaona hapo Mtera na nnafaham cranes za Mtera zilivyo.

Ulimsikiliza Waziri maelezo yake aliposema cranes hazipo hapa nchini kwetu inabidi wazikodi? Kwenye maelezo tumeambiwa ni za kusaidia ujenzi wa hiyo milango ya ku divert maji, ndio sababu kuu maji hayajaanza kujazwa kama tulivyoahidiwa. Kuna mawili hapo, aidha hatuambiwi ukweli wa nini kinaendelea au mradi una tatizo...napo itaangukia pale pale hatuambiwi ukweli.
 
Si zinainua wakati wanajenga hayo mageti kisha wanaziondoa winchi ama zinabaki hapo moja kwa moja?

Naomba nifahamishwe vizuri. Hizi winchi tunaongelea hapa si zinatakiwa wakati wa ujenzi tu na sio kwamba zitakua pale moja kwa moja si ndio?

Na hapo ndio swali langu la kila siku linajirudia, kwamba kwenye mpango wa utekelezaji wa huo ujenzi hawakuweza kabisa kuligusia hilo hitaji hadi sasa hivi ndio imeibuka kama jambo la dharura hadi licheleweshe maendeleo ya mradi?

Achana na Picha, nilifunga safari 1999 kwenda kupaona hapo Mtera na nnafaham cranes za Mtera zilivyo.

Ulimsikiliza Waziri maelezo yake aliposema cranes hazipo hapa nchini kwetu inabidi wazikodi? Kwenye maelezo tumeambiwa ni za kusaidia ujenzi wa hiyo milango ya ku divert maji, ndio sababu kuu maji hayajaanza kujazwa kama tulivyoahidiwa. Kuna mawili hapo, aidha hatuambiwi ukweli wa nini kinaendelea au mradi una tatizo...napo itaangukia pale pale hatuambiwi ukweli.
Nilichogundua makamba anaongea kitu ambacho hakifahamu aidha kwa MAKUSUDI au bahati mbaya hizo kreni huwezi kukodi kwasababu ni za kudumu hapo zikisha wekwa ndio mojakwa moja hapo kabla bwawa la mtera halijajazwa maji enzi hizo,yaani unajenga nyumba yako unakwenda kwa fundi wa milango badala ya kuinunua wewe unamwambia fundi utaikodisha ni uhuni wa kishamba.pembeni hapo kushoto ni geti la akiba(mlango)unaiona hapo kreni juu unapoleta shida mmojawapo mlango Kati ya hiyo minne hiyo kreni inaubeba huo wa akiba unapachikwa hapo service inaendelea,na mfumo wa dam site zote hupo hivyo nimeshiriki ujenzi kidatu na mtera alinipeleka nyerere siwezi danganywa na makamba hata mlango wa kuchepusha pale maji yanaposukuma tabani za kufua umeme mfumo ni huohuo ni pembeni kidogo upande wa pili.
1637291106314.jpg
 
Ya Tani 26 si itakuwa kama bajaji? Ona video mwenyewe



Tanzania yote hii hakuna?!
Mama anamuogopa Manyuzi. Akimtumbua tu anarudia jina lake (kipanse cha mti) na kuanza kumshambulia kwenye mitandao.

Manyuzi anatuona watanzania wote ni mazuzu. Eti anasema awamu iliyopita ilizuia matengenezo ya mitambo ya umeme na ndiyo CHANZO cha tatizo la mgao wa umeme. Jinga sana manyuzi
 
Back
Top Bottom