Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Mtera hydro power Contract for the worksAchana na Picha, nilifunga safari 1999 kwenda kupaona hapo Mtera na nnafaham cranes za Mtera zilivyo.
Ulimsikiliza Waziri maelezo yake aliposema cranes hazipo hapa nchini kwetu inabidi wazikodi? Kwenye maelezo tumeambiwa ni za kusaidia ujenzi wa hiyo milango ya ku divert maji, ndio sababu kuu maji hayajaanza kujazwa kama tulivyoahidiwa. Kuna mawili hapo, aidha hatuambiwi ukweli wa nini kinaendelea au mradi una tatizo...napo itaangukia pale pale hatuambiwi ukweli.
Ipeleke iyo crane ikashushe containers kwenye meli. Tonnage ni jambo moja, ila uwezo wa mazingira wa crane kufanyia kazi ni jambo lingine.Ya Tani 26 si itakuwa kama bajaji? Ona video mwenyewe
Tanzania yote hii hakuna?!
Ni kweli kwamba hizo crane sio maalumu kwa ajili ya geti za dam site ila makamba nae katoa ushuzi ambao hauna mfano makamba ndiye aliye bolonga zaidi bora huyo jamaa kachanganya faili tu,makamba kaonyesha hana anachokijua kuhusu hizo crane au ni ujambazi uliozoeleka kwa kuwafanya watanzania wajinga kumbe mjinga yeye.Ipeleke iyo crane ikashushe containers kwenye meli. Tonnage ni jambo moja, ila uwezo wa mazingira wa crane kufanyia kazi ni jambo lingine.
Hii crane iko designed kwaajili ya kuinua na kupakia mizigo katika sehem zenye elevation ya kawaida. Mfano toka ardhini kwenda kwende lorry..na lazima iwe katika sehemu tambarale ili ifanye kazi. Na ndio maana haiwezi kutumika hata kwenye ujenzi wa magorofa kwa vile its not designed kufanya task za aina iyo.
Semvuse kwenye bwawa ambalo structure yake iko very complex? Kijana acha kujitia mjuaji, acha wataalam wafanye kazi yao.
January hana baya kwenye hili, ametumia lugha rahisi na ya jumla ili mwananchi wa kawaida aelewe ni nini anachokizungumzia. Sisi wenye incomplete knowledge ndio tumeanzisha mjadala huu, na kuufikisha hapa ulipo. Kauli ya Makamba iko sawa kabisa kuelezea picha halisi ya hali iliyopo.Ni kweli kwamba hizo crane sio maalumu kwa ajili ya geti za dam site ila makamba nae katoa ushuzi ambao hauna mfano makamba ndiye aliye bolonga zaidi bora huyo jamaa kachanganya faili tu,makamba kaonyesha hana anachokijua kuhusu hizo crane au ni ujambazi uliozoeleka kwa kuwafanya watanzania wajinga kumbe mjinga yeye.
Hiyo contract for the works kidatu hydro power hao wanaousika na ujenzi wa mageti ndio wanahusika na crane yeye anaenda kukodi wapi?January hana baya kwenye hili, ametumia lugha rahisi na ya jumla ili mwananchi wa kawaida aelewe ni nini anachokizungumzia. Sisi wenye incomplete knowledge ndio tumeanzisha mjadala huu, na kuufikisha hapa ulipo. Kauli ya Makamba iko sawa kabisa kuelezea picha halisi ya hali iliyopo.
Nyingine hiziJanuary hana baya kwenye hili, ametumia lugha rahisi na ya jumla ili mwananchi wa kawaida aelewe ni nini anachokizungumzia. Sisi wenye incomplete knowledge ndio tumeanzisha mjadala huu, na kuufikisha hapa ulipo. Kauli ya Makamba iko sawa kabisa kuelezea picha halisi ya hali iliyopo.
Iwe permanent ya kukodi na itarudishwa😂😂😂😂apa tumepigwa na kitu kizito kichwani
Ni wapi ambapo waziri amekwambia serikali ndiyo inayokwenda kukodi izo cranes. Serikali tayari imetoa mkataba kwa constructor kujenga bwawa..na constructor ndie anaejua cranes atazitoa wapi na kwa utaratibu gani kama alivyojua atapata wapi excavators na malorry ya kubebea mchanga . Serikali inachotaka ni kukabidhiwa bwawa likiwa limekamilikaHiyo contract for the works kidatu hydro power hao wanaousika na ujenzi wa mageti ndio wanahusika na crane yeye anaenda kukodi wapi?View attachment 2015924
Mnabadilisha gia angani mafi nyie,mlijua watanzania wote mapimbi kama nyie.Ni wapi ambapo waziri amekwambia serikali ndiyo inayokwenda kukodi izo cranes. Serikali tayari imetoa mkataba kwa constructor kujenga bwawa..na constructor ndie anaejua cranes atazitoa wapi na kwa utaratibu gani kama alivyojua atapata wapi excavators na malorry ya kubebea mchanga . Serikali inachotaka ni kukabidhiwa bwawa likiwa limekamilika
Alichofanya Makamba ni kutoa general report kwa wananchi juu ya maendeleo ya mradi kutokana na taarifa za constructor, na kwa nini kuna delays kwenye kujaza maji. Sababu ya delay umeshapewa, milango ya kuzuia maji imekwama kuwa placed kwa sababu mkandarasi anahitaji special cranes ambazo kwa sasa hazipo.
Paragraph ya mwisho hapo we ni mpumbavu unaejaribu kupulizia kinyesi pafyumu.Ni wapi ambapo waziri amekwambia serikali ndiyo inayokwenda kukodi izo cranes. Serikali tayari imetoa mkataba kwa constructor kujenga bwawa..na constructor ndie anaejua cranes atazitoa wapi na kwa utaratibu gani kama alivyojua atapata wapi excavators na malorry ya kubebea mchanga . Serikali inachotaka ni kukabidhiwa bwawa likiwa limekamilika
Alichofanya Makamba ni kutoa general report kwa wananchi juu ya maendeleo ya mradi kutokana na taarifa za constructor, na kwa nini kuna delays kwenye kujaza maji. Sababu ya delay umeshapewa, milango ya kuzuia maji imekwama kuwa placed kwa sababu mkandarasi anahitaji special cranes ambazo kwa sasa hazipo.
Kwahiyo ndio tunakodisha toka nje ya nchi kitu ambacho ni part ya dam? Seriously? Hapana aiseeView attachment 2015849
Mkuu hizo zikishawekwa hapo ndo moja kwa moja hiyo hapo ni mtera dam site(mtera hydro power plant ipo hapo tangu 1981 alizindua jk nyerere kazi ya hiyo kreni ni kuinua milango ya daraja(mageti),kwa kawaida uwekwa mageti kwanza kazi ya hayo mageti ni kuzuia maji kupita,kuna muda dam level maji upitiliza(kujaa) hivyo hiyo milango uinuliwa kupunguza maji kupata dam level.
Wewe jama unachanganya kati ya ‘Installation Crane’ na ‘Operational crane’, aliyotaka kwenda kukodi ni ‘Installation crane’ ya kuweka milango, hiyo crane ya kuoperate milango ni sehemu ya mradi na huwezi kukodi, maana hata hiyo ‘Operational crane’ nayo inahitaji kubebwa na kuwa installed hapo kama jinsi milango nayo inavyohitaji kubebwa na kuwa installed hapo. Au hiyo operational crane inajibeba yenyewe?Nilichogundua makamba anaongea kitu ambacho hakifahamu aidha kwa MAKUSUDI au bahati mbaya hizo kreni huwezi kukodi kwasababu ni za kudumu hapo zikisha wekwa ndio mojakwa moja hapo kabla bwawa la mtera halijajazwa maji enzi hizo,yaani unajenga nyumba yako unakwenda kwa fundi wa milango badala ya kuinunua wewe unamwambia fundi utaikodisha ni uhuni wa kishamba.pembeni hapo kushoto ni geti la akiba(mlango)unaiona hapo kreni juu unapoleta shida mmojawapo mlango Kati ya hiyo minne hiyo kreni inaubeba huo wa akiba unapachikwa hapo service inaendelea,na mfumo wa dam site zote hupo hivyo nimeshiriki ujenzi kidatu na mtera alinipeleka nyerere siwezi danganywa na makamba hata mlango wa kuchepusha pale maji yanaposukuma tabani za kufua umeme mfumo ni huohuo ni pembeni kidogo upande wa pili.View attachment 2015856
Hiyo crane inayoweza kufika kwenye hayo mazingira complex inashushwa kwa helicopter au inafikaje hapo? Tuelimishane sisi wengine ni wajingaIpeleke iyo crane ikashushe containers kwenye meli. Tonnage ni jambo moja, ila uwezo wa mazingira wa crane kufanyia kazi ni jambo lingine.
Hii crane iko designed kwaajili ya kuinua na kupakia mizigo katika sehem zenye elevation ya kawaida. Mfano toka ardhini kwenda kwende lorry..na lazima iwe katika sehemu tambarale ili ifanye kazi. Na ndio maana haiwezi kutumika hata kwenye ujenzi wa magorofa kwa vile its not designed kufanya task za aina iyo.
Semvuse kwenye bwawa ambalo structure yake iko very complex? Kijana acha kujitia mjuaji, acha wataalam wafanye kazi yao.
Sasa asipokodi atakula wapi? Ni kama unaenda kukodi madirisha ya nyumba sio? 🤣🤣Hiyo contract for the works kidatu hydro power hao wanaousika na ujenzi wa mageti ndio wanahusika na crane yeye anaenda kukodi wapi?View attachment 2015924
Kwani vifaa vingine kwenye mradi vimetoka ndani ya nchi? Si vimetoka nje ya nchi? Na iweje wakakodi, hata kama ni mkandarasi, kwanini anakodi kitu kinachofungwa permanently, Na hiyo crane inafikaje kwenye hayo mazingira complex, kwa helicopter? Na vifaa vingine vimefikaje hapo? tuelimishwe, sisi wengine ni wajinga katika hiliNi wapi ambapo waziri amekwambia serikali ndiyo inayokwenda kukodi izo cranes. Serikali tayari imetoa mkataba kwa constructor kujenga bwawa..na constructor ndie anaejua cranes atazitoa wapi na kwa utaratibu gani kama alivyojua atapata wapi excavators na malorry ya kubebea mchanga . Serikali inachotaka ni kukabidhiwa bwawa likiwa limekamilika
Alichofanya Makamba ni kutoa general report kwa wananchi juu ya maendeleo ya mradi kutokana na taarifa za constructor, na kwa nini kuna delays kwenye kujaza maji. Sababu ya delay umeshapewa, milango ya kuzuia maji imekwama kuwa placed kwa sababu mkandarasi anahitaji special cranes ambazo kwa sasa hazipo.
Ujanja ujanja wa kiboya watoto wa juzi wamefundishwa wizi na ccmSasa asipokodi atakula wapi? Ni kama unaenda kukodi madirisha ya nyumba sio? 🤣🤣
Mkuu ingekuwa ni installation crane asingethubu kuongea maana anajua zipo hata hapa mimi nipo hapa rufiji kiongozi mwache hivohivo kabugi.Wewe jama unachanganya kati ya ‘Installation Crane’ na ‘Operational crane’, aliyotaka kwenda kukodi ni ‘Installation crane’ ya kuweka milango, hiyo crane ya kuoperate milango ni sehemu ya mradi na huwezi kukodi, maana hata hiyo ‘Operational crane’ nayo inahitaji kubebwa na kuwa installed hapo kama jinsi milango nayo inavyohitaji kubebwa na kuwa installed hapo. Au hiyo operational crane inajibeba yenyewe?
Alichotushangaza ni kusema kuwa hatuna crane ya kubeba milango ya tani 26
Kuna kafactor ka immovable na movable hujakazingatia wwYa Tani 26 si itakuwa kama bajaji? Ona video mwenyewe
Tanzania yote hii hakuna?!
Inakuja ikiwa vipande inaungwa hapo hapoHiyo crane inayoweza kufika kwenye hayo mazingira complex inashushwa kwa helicopter au inafikaje hapo? Tuelimishane sisi wengine ni wajinga
Kwamba ikiwa movable uwezo wake wa kubeba unaondoka?Kuna kafactor ka immovable na movable hujakazingatia ww