Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Kwenye 1&2, Samia alikuwepo kwenye vikao vya mradi huo, humtoi, aliachiwa mradi ukiwa 15% akamalizia 85%.1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.
Mengine yote porojo.
Acheni ujinga wenu enyi watanzania!!! Hata wewe na ujinga wako ukiwa rais leo unafikiri miradi ya Taifa itakufa?Lakini hebu tuwe wakweli mtu kachukua mradi ukiwa 35%,
Hivi unajua hii hata nusu ya Mradi ilikuwa bado?
Ila mkuu nakushauri Ondoa mashaka kwa MamaKama hukuyaona sina namna ya kukusaidia
Hivi huu uchawa mtauacha lini?View attachment 3028726
Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Nahisi wewe ndio Chawa,Sijaona jambo baya kwenye hii habariHivi huu uchawa mtauacha lini?
Lakini hebu tuwe wakweli mtu kachukua mradi ukiwa 35%,
Hivi unajua hii hata nusu ya Mradi ilikuwa
Mwenzio kasema 35% wewe unasema 15% kweli uchawa ni shidaKwenye 1&2, Samia alikuwepo kwenye vikao vya mradi huo, humtoi, aliachiwa mradi ukiwa 15% akamalizia 85%.
Kwenye 3 na kuendelea Unaweza kuthibitisha hilo?
Tuwekee sales agreement hapa tutakuamini!, huyo Lisu wenu kaombwa uthibitisho katimka!
-Kuna mikataba ya ku preserve mazingira asili.
-Kuna mikataba ya kibiashara ya kiubia kiuendeshaji, hakuna sales agreement hapo, mtafungwa bure!
Ok, kunguni za Chadema!Mwenzio kasema 35% wewe unasema 15% kweli uchawa ni shida
Safi sana,Mama piga kaziView attachment 3028726
Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Nitaondoa mashaka akiwaondoa watu wachache wanaomzunguka. Ambao ni walafi, wabinafsi na majizi. Hawa watakuja kumuacha kwenye mataa amezubaa asijue avukeje.Ila mkuu nakushauri Ondoa mashaka kwa Mama
Wewe utakuwa mtu mjinga sana kwa asili.Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe
Kwanini awe mjinga kwa asili?Wewe utakuwa mtu mjinga sana kwa asili.
Mama atafanya hivyo kabla 2025Nitaondoa mashaka akiwaondoa watu wachache wanaomzunguka. Ambao ni walafi, wabinafsi na majizi. Hawa watakuja kumuacha kwenye mataa amezubaa asijue avukeje.
.Kwanini awe mjinga kwa asili?
Mkuu, bila shaka wewe ni mwanaume, inakuaje unalia sana kisa ka video ka propaganda kalikoandaliwa na kina lucas mwashamba ?Baada ya kutazama hii video nimelia sana, Mama Samia nakuombea kwa Mungu wangu ninayemtumikia
View attachment 3028726
Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Acha kununa nuna Jenga hoja.Kama hukuyaona sina namna ya kukusaidia