VIDEO: Hili lilimshinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hata Magufuli. Rais Samia apongezwe

VIDEO: Hili lilimshinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hata Magufuli. Rais Samia apongezwe

Rais Samia, watanzania wote wakiwemo walioasisi wazo hilo wanastahili pongezi.
Haya mabishano ya nani ni nani katika miradi inayotumia kodi (jasho la watanzania wote) ni ujuha tu.
Kila mmoja amechangia kwenye nafasi yake.
Tunahitaji watu waondokane na utumwa wa fikra, wawe huru kwa mustakabali mwema wa taifa.
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
😂 😂 😂 Sijui huyu mama kafanya nn cha maana
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Shida akili yako ni ya darasa la saba ndo maama wakenya wanawacheka. Shule hamna hata kingereza hamjui
 
Kwenye 1&2, Samia alikuwepo kwenye vikao vya mradi huo, humtoi, aliachiwa mradi ukiwa 15% akamalizia 85%.
Kwenye 3 na kuendelea Unaweza kuthibitisha hilo?
Tuwekee sales agreement hapa tutakuamini!, huyo Lisu wenu kaombwa uthibitisho katimka!
-Kuna mikataba ya ku preserve mazingira asili.
-Kuna mikataba ya kibiashara ya kiubia kiuendeshaji, hakuna sales agreement hapo, mtafungwa bure!
Acha umaviccm wewe
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Kinachoniuma ni kuwafukuza Wamasai Serengeti na kuwapa watu maeneo yao wajenge hoteli. Kuwauzia Dubai bandari wakati hawana mafuta wao wenyewe wanategemea utalii na kukopa kutoka emirati zingine.
 
Uongo mbaya, Samia kajitahidi sana kukamilisha miradi ya kimkakati ya Magufuli. Kama asingekomaa vya kutosha bwawa la Umeme la Stieglers lisingekamilika na Reli ya SGR isingepata push ya kutosha.

Hata ndege ameendelea kuleta nyingi tu!

Apewe maua yake!

Bi Mkubwa popote ulipo pokea pongezi kutoka kwangu ( Missile of the Nation) ila sasa:

1. Acha kuingia mikataba mibovu ya kugawa rasilimali za nchi kama vile ardhi, bandari, misitu etc

2. Punguza safari
3. Zuia mara moja mambo ya wasiojulikana yaliyoanza kurejea, yanakuchafua.
4. Tuletee katiba nzuri ili iwe ni legacy yako bora

Pia Mawaziri wake wa CCM wanaiba sana
 
View attachment 3028726

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Bila ya Mjomba kuanzia, Mama Asingeweza kumalizia
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Japo wengi walimtukana na kumuita Dikteta, lakini bila maamuzi magumu na ya kijasiri ya Magufuri hii miradi usingeiona huyu Mama Abdul asingefanya lolote kwasababu amejipambanua kutokuwa na uwezo huo

Magufuri aliponzwa na ubabe wake tu kwa kila mtu lakini alikuwa na nia njema na nchi hii.

Hata kama wanasema alikuwa anaiba hela nyingi lakini afadhali ya mke anayemuibia mume wake hela na kuwanunulia watoto wake mahitaji muhimu kuliko mke anayeiba kwa mumewe na kwenda kumuhonga hawala. Huyu hana faida

Chini ya Mama Abdul tumeshuhudia:-
1. Bandari akiwagawia waarabu wa Dubai
2. KIA akiwapa wageni
3. Bahari akiwapa wakorea
4. Ngorongoro - Waarabu
5. Mwendokasi inakufa
6. Ushoga unashamiri kwa kasi
7.
8.
9.
 
Ni Kweli kabisa,

KAZI ya kuhonga pikipiki Nchi nzima zenye picha yake imefanikiwa vizuri kabisa.
 
Japo wengi walimtukana na kumuita Dikteta, lakini bila maamuzi magumu na ya kijasiri ya Magufuri hii miradi usingeiona huyu Mama Abdul asingefanya lolote kwasababu amejipambanua kutokuwa na uwezo huo

Magufuri aliponzwa na ubabe wake tu kwa kila mtu lakini alikuwa na nia njema na nchi hii.

Hata kama wanasema alikuwa anaiba hela nyingi lakini afadhali ya mke anayemuibia mume wake hela na kuwanunulia watoto wake mahitaji muhimu kuliko mke anayeiba kwa mumewe na kwenda kumuhonga hawala. Huyu hana faida

Chini ya Mama Abdul tumeshuhudia:-
1. Bandari akiwagawia waarabu wa Dubai
2. KIA akiwapa wageni
3. Bahari akiwapa wakorea
4. Ngorongoro - Waarabu
5. Mwendokasi inakufa
6. Ushoga unashamiri kwa kasi
7.
8.
9.
Lakini Samia haibi kabisa swala la uwekezaji au Ubia ni swala la Kisheria
 
Hakuna mradi wowote ulioanzisha na Miss Deaf Frog, kila alichokimalizia kilishawekewa misingi na Magu.

Alivyoasisi Frog ni kuuza vitu, kupandisha gharama za maisha na kuhudhuria kila mualiko duniani kama Mc wa shughuli.

Bila ya miradi iliyoanzishwa na Magu Chura angebakiwa na nakala ya Movie yake ya wanyama pori kama Tarzan.
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Samia aongoze mpaka atakapochoka
 
Back
Top Bottom