VIDEO: Hili lilimshinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hata Magufuli. Rais Samia apongezwe

VIDEO: Hili lilimshinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hata Magufuli. Rais Samia apongezwe

Naweza kusahau marais wengine wote isipokuwa mmoja tu, naye si mwingine, Ni JPM

Kafanya kazi kwa muda mfupi na kwa wingi mno! Ni ujinga wa wapumbavu kumdogosha JPM

Naamini, asingelianzisha JKNHP sjui kama angekuja wa kujenga

Asingeanzisha tren mwendo kasi SGR, sielewi iwapo angetokea mwenye uthubutu huo

Asingelianzisha hizo barabara 8 Ubungo, mmmh! Sielewi!

Asingelianzisha daraja la busisi, tena hapo isingeliwezekana kabisa

Namna viongozi hawa legelege wanavyoacha ufisadi ushamiri, na kuruhusu kila mfanyakazi wa umma achezee sharubu zao, tungebaki nchi yenye kupanga bila kutenda

Kizazi kijacho, kitamuenzi JPM kama baba wa Uthubutu katika kulijenga Taifa kwa vitendo bila kuuza rasilimali kwa wageni
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
1.Umeme uko wapi wakati hakuna bwawa alilojenga?
2.Sgr Iko wapi wakati tumemzika hata kichwa Cha treni hakuna?
3.Bandari imeuzwa bei gani?
4.KIA imeuzwa bei gani?
5.Misitu imeuzwa bei gani?
6.Ngorongoro imeuzwa bei gani?
7.Ardhi ya Tanganyika imuuzwa bei gani.?

Kiufupi hakuna hata mmja kati ya waliotajwa akiwemo huyo unaemuabudu anaweza msigelea Samia kwenye nyanja za Uchumi sekta zote.

Mara zote porojo za Samia huwa ni haya mabilioni 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C8uX_61oFiK/?igsh=MXRkcDY1dmJnaWFlaw==
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Wewe umetaja mradi mmja ila Mimi nasema hakuna Rais anaweza msigelea Samia sio tuu kutekeleza ilani ila kumimina mabilioni ya miradi ya Maendeleo kuanzia mjini Hadi Vijijini,kidogo Mkapa.

Washabili wa Magufuli hawawezi kukubali tuweke namba ila wanaendelea kujifariji na propaganda walizokuwa nazo awamu ya 5 😆😆
 
Tukiacha upumbafu Samia ni Rais mzuri
Baadhi ya mambo aliyofanya Samia ambayo wengine walishindwa
-Amehamisha wamasai ambao walikuwa wanaharibu Hifadhi(sheria ipo Toka enzi za Nyerere ila wengine walijifanya vipofu)
1.-Ameleta Bima ya Afya Kwa wote na kuainisha vyanzo vya hela
2.-Amemwaga mamiradi ya maji sijawahi kuona,mfano mmja ni Ujenzi
wa bwawa la kidunda na Farkwa Dodoma
3.-Amenunus Mitambo ya kupima maji na mashine za kuchimba visima Kila Mkoa kasambaza.
4.-Ameleta Mageuzi ya Elimu Kwa kuunda upya sera ya Elimu, wengine walikuwa wanajivufa vita
5.-Anajenga Vyuo Vikuu kila mkoa,Veta Kila Wilaya,,mashule hayo sio ajenda tena.
6.-Sio tuu kaongeza Bajeti ya Kilimo la hasha anajenga hectare 500,000 za Umwagiliaji (Toka uhuru Kuna hectare 700k tuu).
7.-Sekta ya Afya huko amefanya mapinduzi makubwa ambayo yameifanya Tanzania kuwa kitovu Cha Afya Afrika.
8.-Miundombinu ,Kila Kijiji kimefikiwa na Barabara.

Kiufupi aliyofanya Samia ni makubwa jumlisha woote hakuna wa kumfikia.👇👇

View: https://youtu.be/crZ9hBrd86o?si=sgAAFjneByrp_uEe

View: https://youtu.be/NmDsIdTacXQ?si=eF7DpnRoo62fRb4Z
 
Kwenye 1&2, Samia alikuwepo kwenye vikao vya mradi huo, humtoi, aliachiwa mradi ukiwa 15% akamalizia 85%.
Kwenye 3 na kuendelea Unaweza kuthibitisha hilo?
Tuwekee sales agreement hapa tutakuamini!, huyo Lisu wenu kaombwa uthibitisho katimka!
-Kuna mikataba ya ku preserve mazingira asili.
-Kuna mikataba ya kibiashara ya kiubia kiuendeshaji, hakuna sales agreement hapo, mtafungwa bure!
Hao inawauma Kwa Samia kutekeleza hiyo miradi Kwa ustadi mkubwa.

Waliaminishwa na Mwendazake kwamba eti bila yeye hakuna mwingine wa kutekeleza miradi hivyo anatakiwa aongezewe mda Hadi amalize,akaishia Kufa 😁😁😁😁

Wivu ndio inawauma.Kwa taarifa Yao tuu sio tuu Sgr imefika Do. Kwa Sasa Bali bipande vyote vina wakandarasi
 
Kunenga ndo nini mkuu?

Unahisi mama Samia alikuwa na choice kwa hali ilivyokuwa na status ya mradi ulivyokuwa umefikia?

But sijui hata tunabishana nini wakuu, kwani akijenga JPM na akijenga Samia what is the difference kwa watanzania? Hii ndio shida ya nchi kutokuwa na vipaumbele kama Taifa, kila kitu kinafanywa kwa matakwa ya Rais aliyepo madarakani matokeo yake mnaona kama anawafanyia favour

Ujinga mtupu.
Ujinga huu Alianzisha Magufuli but huwezi kwepa ulinganifu wa viongozi au awamu.

Shida ni kwamba Magufuli Alianzisha mambo na kuya brand kana kwamba ni Mali binafsi na bila yeye hakuna kitu
 
Shida n kuanza. Mpka ujenz unaanza jua pesa ya Mradi yote ipo
Mbulula mkubwa,shule mlienda kufanya nini kama jambo dogo kama hili huelewi?

Unadhani Nchi inaendeshwa kama familia Yako kwmaba Kuna mtu anatunza hela zinasubiria ujenzi au? 😆😆

Kwamba ukiona Bajeti ya Nchi unajua kwmaba hela ipo tayari? 😁😁😁😁😁
 
Naweza kusahau marais wengine wote isipokuwa mmoja tu, naye si mwingine, Ni JPM

Kafanya kazi kwa muda mfupi na kwa wingi mno! Ni ujinga wa wapumbavu kumdogosha JPM

Naamini, asingelianzisha JKNHP sjui kama angekuja wa kujenga

Asingeanzisha tren mwendo kasi SGR, sielewi iwapo angetokea mwenye uthubutu huo

Asingelianzisha hizo barabara 8 Ubungo, mmmh! Sielewi!

Asingelianzisha daraja la busisi, tena hapo isingeliwezekana kabisa

Namna viongozi hawa legelege wanavyoacha ufisadi ushamiri, na kuruhusu kila mfanyakazi wa umma achezee sharubu zao, tungebaki nchi yenye kupanga bila kutenda

Kizazi kijacho, kitamuenzi JPM kama baba wa Uthubutu katika kulijenga Taifa kwa vitendo bila kuuza rasilimali kwa wageni
Hata yeye alishakwama
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Ulichoandika ni uzwazwa kwa kiasi kikubwa
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Kafulila ni chawa mchangamkaji
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
 
Back
Top Bottom