VIDEO: Hili lilimshinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hata Magufuli. Rais Samia apongezwe

VIDEO: Hili lilimshinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hata Magufuli. Rais Samia apongezwe

Hii ID nilikuwa na tentative guess..

Ila sasa najipa imani nilichokuwa nakihisi ndio chenyewe.
 
Mbulula mkubwa,shule mlienda kufanya nini kama jambo dogo kama hili huelewi?

Unadhani Nchi inaendeshwa kama familia Yako kwmaba Kuna mtu anatunza hela zinasubiria ujenzi au? 😆😆

Kwamba ukiona Bajeti ya Nchi unajua kwmaba hela ipo tayari? 😁😁😁😁😁
Ww Elimu unesomea wap mkuu....?
Mbona ww n mpuuzi sana.
 
Bila Magu Kuanzisha Mama Asingeweza hata kusubutu kuanzisha.
Na kama kwel anaweza aanzishe mradi wake mwenyewe.
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
We kweli POPOMA mkuu.
Huu mradi aliuanzisha nani kama sio MAREHEMU JOHN POMBE MAGUFULI!?
Kwanini umpe sifa Samia!?
Punguza uchawa.
 
Tz inaviraza wengi ww

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Tz inavizara wengi ww kenya huwezi ishi Jiulize kipindi cha nyerenyere alibinaifisha Migodi, Gesi, Mbuga na Bandari? Nyerere kwa watu wema nizaidi ya ujuavo huo mradi na pesa iliyokopwa hauendani hata kidogo kwa kuwa upo upo endelea hivyo na sijui umri wako basi tu
 
Tz inaviraza wengi ww

Tz inavizara wengi ww kenya huwezi ishi Jiulize kipindi cha nyerenyere alibinaifisha Migodi, Gesi, Mbuga na Bandari? Nyerere kwa watu wema nizaidi ya ujuavo huo mradi na pesa iliyokopwa hauendani hata kidogo kwa kuwa upo upo endelea hivyo na sijui umri wako basi tu
Ubia unafaida zaidi kuliko hasara
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Mama mitano tena
 
Hawa ndo wale wanaohongwa sukaro ¼ ili wapige kura
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Unafungua kwa uongo unafunga kwa uongo
 
Uongo mbaya, Samia kajitahidi sana kukamilisha miradi ya kimkakati ya Magufuli. Kama asingekomaa vya kutosha bwawa la Umeme la Stieglers lisingekamilika na Reli ya SGR isingepata push ya kutosha.

Hata ndege ameendelea kuleta nyingi tu!

Apewe maua yake!

Bi Mkubwa popote ulipo pokea pongezi kutoka kwangu ( Missile of the Nation) ila sasa:

1. Acha kuingia mikataba mibovu ya kugawa rasilimali za nchi kama vile ardhi, bandari, misitu etc

2. Punguza safari
3. Zuia mara moja mambo ya wasiojulikana yaliyoanza kurejea, yanakuchafua.
4. Tuletee katiba nzuri ili iwe ni legacy yako bora
Kukopa je?
 
Hii nchi ina vijana wa hovyo sana, anaorambaramba matako ya Wanawake waliozeeka vibaya.
 
Ningesifia ingekuwa kwa hela zetu wenyewe, au kwa teknolojia yetu wenyewe. Vyoote ni mikopo. Kila mtu aweza kuchukua mkopo akimwahidi mkopeshaji kitu anachopenda!
 
Acheni uongo, Miradi ya bwawa la umeme ilijumuisha mashine, na Ndege ziliishalipiwa Magufuli aliisha lipa zilikuwa zinasubiliwa kutengenezwa na kuletwa.
Machwa mtatumbuliwa na mtakufa bure.
 
Uongo mbaya, Samia kajitahidi sana kukamilisha miradi ya kimkakati ya Magufuli. Kama asingekomaa vya kutosha bwawa la Umeme la Stieglers lisingekamilika na Reli ya SGR isingepata push ya kutosha.

Hata ndege ameendelea kuleta nyingi tu!

Apewe maua yake!

Bi Mkubwa popote ulipo pokea pongezi kutoka kwangu ( Missile of the Nation) ila sasa:

1. Acha kuingia mikataba mibovu ya kugawa rasilimali za nchi kama vile ardhi, bandari, misitu etc

2. Punguza safari
3. Zuia mara moja mambo ya wasiojulikana yaliyoanza kurejea, yanakuchafua.
4. Tuletee katiba nzuri ili iwe ni legacy yako bora
Mfano wa Mkataba mbovu ni Upi?
 
Back
Top Bottom