VIDEO: Hili lilimshinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hata Magufuli. Rais Samia apongezwe

VIDEO: Hili lilimshinda Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete hata Magufuli. Rais Samia apongezwe

Me sidhani kama liliwashinda labda uniambie kila awamu hutekeleza jambo kutokana na umuhimu wake wa kipindi hiko.


Kuna maisha walio kuwa wanaishi wazee wetu ambayo kwa asilimia kubwa sisi hatuishi, kila awamu itafanya jambo kutokana na uhitaji wa jambo hilo kwa saa hiyo.

Kadiri awamu iliyopita ikifanya vizuri ndivyo awamu inayofuata hufanya vizuri zaidi, chukulia mfano awamu iliyopita ilifanikisha kuleta maji kwa asilimia kubwa katika eneo unaloishi, tatizo la maji litakuwa limetatuliwa, ikija awamu nyingine huanza kutatua umeme, kwahiyo awamu hii ya pili haita fikiria tena tatizo la maji labda kuboresha zaidi, hivyo ukumbuke muda na gharama nyingi ulizokuwa ukiangaikia katika maji awamu ya kwanza hutoangaikia katika awamu nyingine, hivyo hizo gharama utaelekeza katika ishu nyingine.

Pia ukumbuke watu wanaongezeka kila siku, biashara zinakuwa nazo mzunguko wa fedha unakuwa nao ndiyo maana uwezi ukakuta miaka mitano ya nyuma ni sawa na sasa.
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Nowadays, umeme haukatiki.
Pongezi kwa Samia.
#Kazi iendelee.
 
Lakini hebu tuwe wakweli mtu kachukua mradi ukiwa 35%,

Hivi unajua hii hata nusu ya Mradi ilikuwa bado?
Plan zote na michoro vikishakua mezani kazi yako inakua ni kusimamia tu...

Jiwe ndio aliplan kila kitu, hata ungekua wewe ni Rais ungesimamia tu, Very simple ..!!
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Ukapimwe akili. Si bure, unavtaahira ya akili.
 
Kusifiana ujinga tu ndio maana bado tunagaika na matunda ya vyoo ila ukisikia hizo sifa utafikiri labda Tanzania inaikaribia Afrika kusini kwa maendeleo.
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Nilifikiri ni video ya bonge akiyegoma kutekwa Kiluvya
 
Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?
Watanzania tuache upumbavu! Huu mradi ni wa JPM Kizimkazi hana mtadi alioubuni yeye! Yote anayotelekeza ni kazi za Chuma kutoka Usukumani!
 

Tunaweza kubishana juu ya mambo mengi ila hatuwezi kubishana juu ya utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo unaofanywa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

Mtakubaliana na Mimi kuwa Mradi huu uliwashinda akina Mzee Julius Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Benjamini Mkapa, Jakaya Kikwete hata John Pombe Magufuli wakati anafariki akiwa madarakani kwa miaka zaidi ya mitano aliutekeleza kwa 35% tu,

Maajabu ni haya, Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndani ya miaka mitatu tu kazi IMEKWISHA mnadhani kwanini Watanzania tusimpongeze Mama na kumtia moyo kuelekea 2030?​
Uzuri Tanzania ya leo sio ya mwaka 47
 
1. Umeme ni Magufuli
2. SGR ni Magufuli
3. Kuuza Bandari Samia
4. Kuuza KIA Samia
5. Kuuza Misitu Samia
6. Kuuza Ngorongoro Samia
7. Kuuza Ardhi ya Tanganyika Samia.

Mengine yote porojo.
Huyu mzanzibari ashtakiwe
 
Back
Top Bottom