This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Ila elewa miaka 5 tu ya ubunge imempa maisha ,usimbeze,hutamfikia hata chembe.Lini wew utalipwa mshahara milioni 12 na posho kibao.Yule siyo mwenzio.Watu kwa ufinyu wa kufikiri mnajidanganya sana.Hivi sasa hivi anafanyashughuli gani au amerudi kwenye kazi yake ya kuimba!!