Ndio demu wa januali?Hamna makombora ambayo mama hajapewa. Huyu Januari kupitia dada yake Mwamvita ndiyo alikuwa anatengeneza yale matusi na kumpa yule dada wa California arushe kwenye ukurasa wake wa Mange Kimambi
View attachment 3048532
Hakubariki wapi?Hajakosea kusema, ni kweli Mama wa Kizimkazi hakubaliki lakini tatizo ni mama mwenyewe kutokuamini na kuvimbishwa kichwa na chawa wake!
Huenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Nimesema hakubaliki! Hakubariki kwani yeye ni mungu?Hakubariki wapi?
Kigogo
Nanukuu "Hata kama hatumkubali ni wetu"Huenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Sio kweliKigogo
Ni bora umeanza na "Huenda"; kwa maana huna lolote unalojuwa.Huenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
Matusi gani?ILA WATU MNA MATUSI AISEE.NDO NINI HII
Makamba afanye hivyo kwa kukosa nini huko Serikalini.? Siyo kweli.Hamna makombora ambayo mama hajapewa. Huyu Januari kupitia dada yake Mwamvita ndiyo alikuwa anatengeneza yale matusi na kumpa yule dada wa California arushe kwenye ukurasa wake wa Mange Kimambi
View attachment 3048532
Punguza maumivu, wapo wanaotenguliwa unafurahiMakamba na Nape watulie tu, maana kama ni pesa wamevuna za kutosha. Wanapiga kelele ni wivu tu unaowasumbua.
Duuh sijui kama ni kweliM
Makamba afanye hivyo kwa kukosa nini huko Serikalini.? Siyo kweli.
Mange nii rafiki wa familia ya akina MakambaNdio demu wa januali?
Bro hujui kitu, tuliza makalio soma tu. Kama huamini shauri yako, ila sisi tunafahamu wasifu wa Januari kuanzia anaiba mitihani wa Form IV Galanos. Achana na sisiM
Makamba afanye hivyo kwa kukosa nini huko Serikalini.? Siyo kweli.
Kwa hiyo leo unakubaliana na Makonda kwamba kuna mawaziri wa namtumia Mange kumtukana chura kiziwi?Hamna makombora ambayo mama hajapewa. Huyu Januari kupitia dada yake Mwamvita ndiyo alikuwa anatengeneza yale matusi na kumpa yule dada wa California arushe kwenye ukurasa wake wa Mange Kimambi
View attachment 3048532
Nani anakudanganya?Hajakosea kusema, ni kweli Mama wa Kizimkazi hakubaliki lakini tatizo ni mama mwenyewe kutokuamini na kuvimbishwa kichwa na chawa wake!
Ngoja tuendelee kusubiri kama kweli hajaonewaKwa hiyo leo unakubaliana na Makonda kwamba kuna mawaziri wa namtumia Mange kumtukana chura kiziwi?