macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wewe unamwamini Mange?Wewe unamwamini Mange?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unamwamini Mange?Wewe unamwamini Mange?
Wewe ni kinda kwenye siasa ndiyo maana huelewi. Hivi unajuwa Mange Kimambi alichangia kiasi gani kum destabilise Magufuri kisaikolojia na kiafya?Sasa ngoja nikufundishe. Kwa nini Mange aliposema bibi Kisimkazi anapenda ule mchezo, mwitiko wa chawa na viongozi wengine ulikuwa wa panic sana? Hivi tuhuma kama zile kama ni uzushi tu zina athari gani?
Usiniite BAVICHA nina umri ambao ningeweza kulala na mama yako na kumtia mimba na nikazaa mtoto bwege kama weweBAVICHA unaropoka sana
Asamehewe tuHuenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Pia soma > Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
Sahihi kabisa ili maisha yaendeleeAsamehewe tu
Wanasiasa pia wanatafutana sana lo!
Siasa ni mchezo wa hatari zaidi kuliko unavyofahamuWanasiasa pia wanatafutana sana lo!
Siasa ni mapigano ukikaa vibaya unatolewa knock out
January alijichanganya
You are rightHuenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Pia soma > Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
Daah hii mitandao nomaHuenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Pia soma > Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
hii speech yake ilikua haina mantiki na ilimdharau Mh. Rais sanaHuenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Pia soma > Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
Ngoja tuonehii speech yake ilikua haina mantiki na ilimdharau Mh. Rais sana
January alikosea kidogo hapaKumbe wanajua hakubaliki? Sasa kwanini kura zisimuondoe?
Daaah uko sahihi kabisaUnataka kutuambia kuwa Mange hajui matusi mpaka atengenezewe na January halafu ampe dada yake ayapeleke?
Asamehewe maisha yaendeleeIla kwa hapa alibugi sana step .... Tatizo naona arrogance ilikuwa inaanza kupitiliza. Alifikiri yeye ni untouchable. Sasa naona Mwigulu ndiye anayecheza game yake poa. Wanaojidai wa Mjini niyo hao wanapitiwa.
Asamehewe maisha yaendelee