macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Unataka kutuambia kuwa Mange hajui matusi mpaka atengenezewe na January halafu ampe dada yake ayapeleke?Hamna makombora ambayo mama hajapewa. Huyu Januari kupitia dada yake Mwamvita ndiyo alikuwa anatengeneza yale matusi na kumpa yule dada wa California arushe kwenye ukurasa wake wa Mange Kimambi
View attachment 3048532
Chagua ku ignore au kwenda na mimi. Hata kama mange anajuwa kutukana ila paymaster alikuwa Januari. Usipotaka wachaUnataka kutuambia kuwa Mange hajui matusi mpaka atengenezewe na January halafu ampe dada yake ayapeleke?
Jamaa kajiponza kwa hii kauliHuenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Pia soma > Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
Mama anapendwa sana hasa baraHajakosea kusema, ni kweli Mama wa Kizimkazi hakubaliki lakini tatizo ni mama mwenyewe kutokuamini na kuvimbishwa kichwa na chawa wake!
BAVICHA unaropoka sanaChagua ku ignore au kwenda na mimi. Hata kama mange anajuwa kutukana ila paymaster alikuwa Januari. Usipotaka wacha
Wapi hapo?Amesema mama ni rais halali wa nchi.
What are you complaining about?
Meza ya chakula?Boya kanya mezani
Haya ni maisha ya kawaida tuPunguza maumivu, wapo wanaotenguliwa unafurahi
Na wale unaowapenda sana wakitenguliwa hupaswi kupata maumivu
Hata hivyo baada ya muda huko mbeleni wanaweza kuteuliwa tena, walipoteleza watasamehewa. Punguza maumivu, huenda hata wenyewe hawajaumia kama ww ulivyoumia
SawaHuenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Pia soma > Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
Hizi ni ajali za kisiasa tuHuenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Pia soma > Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
Mbona kafunika macho anaona kweli?Hamna makombora ambayo mama hajapewa. Huyu Januari kupitia dada yake Mwamvita ndiyo alikuwa anatengeneza yale matusi na kumpa yule dada wa California arushe kwenye ukurasa wake wa Mange Kimambi kwa malipo
View attachment 3048532
Alipitiwa tuDuh jamaa aliongea hovyo sanaa
Sasa ngoja nikufundishe. Kwa nini Mange aliposema bibi Kisimkazi anapenda ule mchezo, mwitiko wa chawa na viongozi wengine ulikuwa wa panic sana? Hivi tuhuma kama zile kama ni uzushi tu zina athari gani?Chagua ku ignore au kwenda na mimi. Hata kama mange anajuwa kutukana ila paymaster alikuwa Januari. Usipotaka wacha
January asameheweHuenda huu ndio ulikuwa mwanzo wa mwisho wa safari ya kisiasa ya mwanasiasa machacha wa Chama tawala nchini Tanzania Cde January Yusuph Makamba.
View attachment 3048525
Pia soma > Kuelekea 2025 - Makamba: Hata kama hatumkubali Rais Samia, ni wetu
Wewe unamwamini Mange?Sasa ngoja nikufundishe. Kwa nini Mange aliposema bibi Kisimkazi anapenda ule mchezo, mwitiko wa chawa na viongozi wengine ulikuwa wa panic sana? Hivi tuhuma kama zile kama ni uzushi tu zina athari gani?