Dawa na wewe mwanamke kuwa na mtu wako pembeni kimyaaa, Mume atashangaa unanunua godoro jipya, sofa jipya wala humuulizi chochote. Wewe mambo yako sirini afu huulizi wala huonyeshi hasira maisha yanaendelea.Unamuacha tu Mana ni tahaira uyo
Mjinga ni huyo kidume kwanza katomba demu kwenye makochi Cha pili kaamua kujidhalilisha kabisa kwa kuleta clip mtandaoni
Kabisa. Si waachane tu? Kwani wamezaliwa pamoja? Bado mnaishi kabisa pamoja? Kazi kweli.Matatizo ya akili haya
Mhh za bongo zingekuwa zimevunjika zote.Hakunaga ndoa yenye usaliti ikadumu
Si ndio hapo? Yaani kuliko kuwa na ukichaa kama huuu bora nianze maisha upya.Hahahahaha huyu mwenzetu kichaa kimezidiii
Si umuache tu aendeelee na umalayaaa wake kama amekushinda
😂😂😂😂Kwani vitu si kanunua yeye mwenyewe........ hapo hana kosa ni anaharibu alichokinunuaHata kama umenifumania ila huwezi kufanya upuuzi huu!!
🤣🤣🤣huu ujinga sio kabisaaSi ndio hapo? Yaani kuliko kuwa na ukichaa kama huuu bora nianze maisha upya.
Unakuwa na ujasiri wa kushika panga na kuchana vitu ila huna ujasiri wa kuishi bila yeye. Kazi kwelikweli.
Hawajui hawa, unafia ndoa ili upate nini kwa mfano. Ukiona hakuna maelewano au dharau zimezidi mpishe, mapenzi yameisha. Mwishowe kuuana au kujiua. Tujifunze kwamba ,sio kila ndoa au mapenzi ni mpaka kifoNi basi tu wanawake hawajui
Waachane na mindset za kufia ndoa na kuwamiliki wanaume as if Wao ni watoto Wao.
Mfupa ukikushinda kula Hadi kufikia haya dawa ni kuupotezea kusepa na yako.
Hakuna adhabu kubwa kama hyo ni basi tu hawajui
Kesi nyepesi...naondoa sauti kwenye video kisha namtumia mzazi wake. Atakuja kumchukua mwenyewe nyumbani kwangu. Ila pia wanaume teaches u marioo. Mwanamke ananunuaje kila kitu ndani??
Wanafosi mwayaHawajui hawa, unafia ndoa ili upate nini kwa mfano. Ukiona hakuna maelewano au dharau zimezidi mpishe, mapenzi yameisha. Mwishowe kuuana au kujiua. Tujifunze kwamba ,sio kila ndoa au mapenzi ni mpaka kifo
Huyo ni zaidi ya hasira.
Wanawake wanajua wakifungq ndoa ndio wana hati miliki ya mtu. Huwezi kumiliki binadamu as if ni mfugo. Hata mfugo unaweza kuzingua. Tujifunze kuwaacha waende, itasaidia kuondokana na matatizo ya akili baadae🤣🤣🤣huu ujinga sio kabisaa
Hawawezi kuelewa Ila kuna nguvu kubwa na ushindi kwenye kuachilia.Wanawake wanajua wakifungq ndoa ndio wana hati miliki ya mtu. Huwezi kumiliki binadamu as if ni mfugo. Hata mfugo unaweza kuzingua. Tujifunze kuwaacha waende, itasaidia kuondokana na matatizo ya akili baadae
.
Wanawake wanajua wakifungq ndoa ndio wana hati miliki ya mtu. Huwezi kumiliki binadamu as if ni mfugo. Hata mfugo unaweza kuzingua. Tujifunze kuwaacha waende, itasaidia kuondokana na matatizo ya akili baadae🤣🤣🤣huu ujinga sio kabisaa
Ndoa nyingi zilishakufa kitambo ni kuishi kwa mazoea. Wanawake wengi sura hazina matumaini kabisa, wamefubaa kisa ndoa.Wanafosi mwaya
Hawajui sio kila jambo ni la kufosiii
Mengine wayapishe yapite au watoe break upepo upite then km yamepangwa yawe yatakuwa tu
Saana. Kujiamini ni jambo muhimu sanaHawawezi kuelewa Ila kuna nguvu kubwa na ushindi kwenye kuachilia.
Tafuta helaHakunaga ndoa yenye usaliti ikadumu
Noma sana!Na bado watu wanauliza inakuwaje wanapigwa
Noma sana!Nihadithie hiyo video coca.
AahhaaaaWanawake wanajua wakifungq ndoa ndio wana hati miliki ya mtu. Huwezi kumiliki binadamu as if ni mfugo. Hata mfugo unaweza kuzingua. Tujifunze kuwaacha waende, itasaidia kuondokana na matatizo ya akili baadae
.