Video: Huyu kama ni mkeo utamfanyaje?

Video: Huyu kama ni mkeo utamfanyaje?

Ni basi tu wanawake hawajui
Waachane na mindset za kufia ndoa na kuwamiliki wanaume as if Wao ni watoto Wao.
Mfupa ukikushinda kula Hadi kufikia haya dawa ni kuupotezea kusepa na yako.
Hakuna adhabu kubwa kama hyo ni basi tu hawajui
Hawajui hawa, unafia ndoa ili upate nini kwa mfano. Ukiona hakuna maelewano au dharau zimezidi mpishe, mapenzi yameisha. Mwishowe kuuana au kujiua. Tujifunze kwamba ,sio kila ndoa au mapenzi ni mpaka kifo
Huyo ni zaidi ya hasira.
 
Hawajui hawa, unafia ndoa ili upate nini kwa mfano. Ukiona hakuna maelewano au dharau zimezidi mpishe, mapenzi yameisha. Mwishowe kuuana au kujiua. Tujifunze kwamba ,sio kila ndoa au mapenzi ni mpaka kifo
Huyo ni zaidi ya hasira.
Wanafosi mwaya
Hawajui sio kila jambo ni la kufosiii
Mengine wayapishe yapite au watoe break upepo upite then km yamepangwa yawe yatakuwa tu
 
🤣🤣🤣huu ujinga sio kabisaa
Wanawake wanajua wakifungq ndoa ndio wana hati miliki ya mtu. Huwezi kumiliki binadamu as if ni mfugo. Hata mfugo unaweza kuzingua. Tujifunze kuwaacha waende, itasaidia kuondokana na matatizo ya akili baadae
Wanafosi mwaya
Hawajui sio kila jambo ni la kufosiii
Mengine wayapishe yapite au watoe break upepo upite then km yamepangwa yawe yatakuwa tu
Ndoa nyingi zilishakufa kitambo ni kuishi kwa mazoea. Wanawake wengi sura hazina matumaini kabisa, wamefubaa kisa ndoa.
 
Back
Top Bottom