welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
vichaa wa hivyo wapo wengi sanaHata kama umenifumania ila huwezi kufanya upuuzi huu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vichaa wa hivyo wapo wengi sanaHata kama umenifumania ila huwezi kufanya upuuzi huu!!
anaharibu kwa kuwa ni vyake inawezekana kuna vingi alikuwa anamnyanyasa mwanaume nyuma ya paziaYaan mke, kakuta mume wake kachepuka ndani wanapoishi. Sijui kakuta sperm,, sasa kanuna kakata godoro, na sofa.
Bora kikoba kuna faida, ndoa ni kausha damu, ndoa ni kama mkopo wa chup* mkononi 😹Ndoa ni kama forex, wanaofaidika ni wanaofungisha ndoa na wanaotoa mafunzo. Nyie mwili mmoja mnabaki mnaviziana miaka yote 😅😅😅
Ndoa ni saccos, ndoa ni kikoba
Kwa ufupi, ndoa ni upatu. Ndoa ni kama mkopo wa OYA 😅😅Bora kikoba kuna faida, ndoa ni kausha damu, ndoa ni kama mkopo wa chup* mkononi 😹
Kwakweli🤣Thread ilitakiwa iwe na "tanzia" 😹
Wengine wanavumiliana!Hakunaga ndoa yenye usaliti ikadumu
Maelezo Yako yapo sahihi isipokua hapo kwenye neno miezi badili iwe miaka au hatusahau kabisa.Taratibu tunasahaugi baada ya miezi 15😄
Ni vile hatuna uwezo wa kuwaadhibu unadhani huyo mwanamke angekuwa na nguvu ya kumchinja huyo mume asingemchinja? Au ingekuwa mwanaume ndo kamfuma mkewe ndani mwake angefanyaje kama sio kuwachinja km kuku nyumba nzima, ni kwa vile mnazo nguvu, sie tunatamanigi hata kuwatafuna ila ndo hata kifinyo hatuezi kuwapa ndo hapo tunaishia kuchepuka au kuwamaliza kimyakimya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaah wee kuwezaaa? LOLMi yamenishinda nimeona niunguze MB tu [emoji28]
Mke wa Covax
MichewenHamis wa Geza Ulole ndiyo dawa ya hao viumbe, Gunia la Mkaa
Majivu tunazika Mkurangaaa
CovaxMke wa Covax
Si huyo mumewe anampiga picha tu, afanye nini zaidi na yeye ndiye mwenye makosa?