Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

Sasa wewe mbona umekaa kaa hapa si uombe ufanywe sokwe wa majaribio
 
Iyo chanjo tayari inafanyiwa majaribio ulaya na Australia. Anachosema uyo doctor ni kwamba ijaribiwe na africa pia na ameelezea vizuri kwann. Skilizeni ushauri wa wataalamu, achana na uyo mtangazaji kwenye video ni mpuuzi tu hakuna anachoelewa. Kwanza yeye sio mwafrica ni mmarekani mweusi. Amezaliwa na kukulia marekani haujui chochote kuhusu africa. Eti hajui hata samuel etoo ni nani alaf anajiita mwafrica

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo mtengeneze dawa zenu, boresheni elimu zenu muwatoe ma technicians bora waweze kutengeneza dawa au chanjo, bila hivyo waafrica mtabaki kuwa guinee pigs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunalipa kodi matrilioni ya fedha tunasomesha watu wanaishia kuvaa makoti na vipima moyo tu!

Hizo fedha ni bora tungenunua magari ya kifahari tule nyama choma hapa mjini kuliko kupeleka ng'ombe shule!

Tuendelee kusubiri wazungu watupe dawa! Meanwhile wote mtulie msijifanye fanye wajuzi hapa!

"Ooh corona imetengenezwa na wazungu"! Well fine, go to a lab and make an antidote and save the world!

"Ooohh unajua nimesoma muhimbili nina masters nne, mimi ni bingwa wa kutibu vidonda!"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya, tanua mak*lio yako hao waume zako wakufokoe sasa...
 
Acha kukalili mkuumbn unakuwa Mjinga
Sent using Hapa Chadema tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…