Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

Uwe kibaraka au usiwe, ukweli ni kuwa huna cha kujivunia mbele ya mabeberu.Muulize kiranja wako atakuambia ukweli uliojificha.Hata Ndugai analijua hilo suala.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Strange
 
Uwe kibaraka au usiwe, ukweli ni kuwa huna cha kujivunia mbele ya mabeberu.Muulize kiranja wako atakuambia ukweli uliojificha.Hata Ndugai analijua hilo suala.

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Jamaa anahitaji kueleweshwa
 
Sio asili ya waafrica kufanya unyama wa hivyo
Lakini unyama wa kuuana sisi kwa sisi ndio tunauweza sio na unyama wa kuwaibia waafrika wenzetu maliasili zao na kujinufaisha wenyewe huku waafrika wenzetu wakifa kwa njaa
 
Daah umbwa wakubwa na washindwe kabisa hivo vichanjo vyao hatutaki wanakuja sambaza virusi mpango wao wa kutumaliza ume backfire wao ndio wanapukutika ogopa sana ngozi nyeusi ina baraka za mkono wa almighty God.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Binafsi napendekeza Viongozi wa Africa wakubali tu Chanjo zitakazo letwa na Wachina sio wazungu
 
Wazungu ndio wanatufunga kwenye viroba na kututupa baharini?

Wazungu ndio wanatupiga risasi hadharani?

Wazungu ndio wanatusakizia kesi zisizo na dhamana ili tuozee jela?

Wazungu ndio wanavunja mikono MP mwanamke??

Tunayofanyiana wenyewe kwa wenyewe ni zaidi ya wazungu wanayotufanyia
 
Mababu zetu (wale wa kale) walionewa na walipata tabu sana.

Mbali ya kuwatesa, ikiambatana na KAZI ngumu pia walikuwa wakiwanyonga.

Inauma, sema ndio tunachukulia poa
 
Majaribio yanafanyika kwa mda wa miezi 14 na unatakiwa ku attend Clinic angalau mara 11 na kila ukienda Clinic unalipwa .

Mataifa yaliyojitokeza kwa kufanyia majaribio chanjo zao yapo km matano na kila moja lina dau lake.
Nipe source ya ilotoa dau ulotaja wewe
 
Kwa maisha ya kiafrica wachache watakwepa hii, chezea hela wewe? Watatafutiwa mwanya wa kuingia tu, popote watapopata gap, bas kaz yao itakuwa imekamilika.
 
Kinacho tugharim ss ni viongozi wenye tamaa ya madaraka. Nawao ndipo wanapata mwanya wakuendelea kutugawa wakati wao kila siku wanataka kuungana ili waendelee kuwa na nguvu. Wakiona Kuna kiongozi Africa ana mawazo ya kushawishi tuungane wanamfanyia zengwe hadi wamuue exp.
Nkrumah
Sankara
Gaddafi NK.
Kama swala la kuungana Africa lingetimia bas leo tungekua mbali sana


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China supplies 2 million masks for Africa.
The most suspicious is that the WHO says that Africa must prepare for the worst.
My advice is as follows: Wherever you are (markets, hospitals, etc ...) if they distribute the masks, please do not take them.
These are infected brands.
Save lives.
Share to everyone.

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
 
IIsije kuwa kama makaburu walivyofanya wakati wa mapambano Msumbiji ni Angola walijidai kuwa wanawadunga watoto kinga kumbe ilikuwa ni virusi vya umeme. Niliwahi kuleta clip ya video inayohusu hili ila naona management ya JF haikuruhusu hilo.
 
Wewe guinea pig wao nenda basi wakakutumie watakavyo maana kwa mtazamo wako, hata kukuelewesha ni sawa na kutwanga maji kinuni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…