Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Kumbuka wewe ni maskini na juzi tu umeomba msaada wa kupamba na korona alafu leo unasema hawata thubutu kukanyaga tz daah.Sio Gwajima, hii issue inajulikana kabla hata Gwajima hajasema chochote, Mh. Rais wetu Magufuli anajua kila kitu kuhusu hawa wazungu, na Tanzania hawatadhubutu kukanyaga.
Sent using Jamii Forums mobile app