Kwenye hii Dunia madhila huwa yanatupata wote. Unaweza kuwa na Hela ukakumbuna na madhila ya vita. Magonjwa na watoto wasioleweka.. hata manabii na mitume walipitia madhila makubwa Sana.Hufati maelekezo yake ndiyo maana unateseka.
Ni nini kinyume cha "madhila"?Kwenye hii Dunia madhila huwa yanatupata wote. Unaweza kuwa na Hela ukakumbuna na madhila ya vita. Magonjwa na watoto wasioleweka.. hata manabii na mitume walipitia madhila makubwa Sana.
Naona kama wa kwanza ungeanza kuwalaumu wazazi wako, unawafahamu? Au ni mtoto wa bahati mbaya?Kwa kuwa tumejikuta tu Duniani bila idhini yetu kuwa tuzaliwe na tuishi humu au lah ila tunapitia changamoto sana za kuwa duniani. Basi tu kwa kuwa tumejikuta tupo tu ila sio sehemu salama kabisa kwetu wanadamu kuishi. Mateso ni mengi sana katika gereza hili la Roho zetu yaani Duniani.
Ulijuwaje?Hili swali linafikirisha ,mtu fulani yupo mahali anapanga kuzaa ila atambue hao binadamu (watoto) anawakaribisha kweny ulimwengu wa shida .
Furaha. Kwani huko uarabuni kinachoendelea hakuna watu wanaoufata dini sawa sawa. Lakini madhila anapokuja yanawakuta. Chukukia mfano wa tetemeko la ardhi uturuki. Vita inayoendelea huko Palestine.Ni nini kinyume cha "madhila"?
Tunaishi katika ulimwengu uliathiriwa na dhambi ukubali ukatae. Tunakutana na mateso na madhila makubwa Sana na yanatupata wote. Uwe ni muumini wa dini au la. Utakutana nayo tu. Wenye nguvu wanaonea Sana maskini Tena sana.Ulijuwaje?
Mwenye nguvu ni yupi na masikini ni yupi?Tunaishi katika ulimwengu uliathiriwa na dhambi ukubali ukatae. Tunakutana na mateso na madhila makubwa Sana na yanatupata wote. Uwe ni muumini wa dini au la. Utakutana nayo tu. Wenye nguvu wanaonea Sana maskini Tena sana.
Ninawaza ninavyoishi Kwa mateso.ninyopitia ni makubwa Sana Watoto zinaozaa wataishije? Wanakuja jehanamu yenyeweMwenye nguvu ni yupi na masikini ni yupi?
Inahusiana nanini na watoto watakaozaliwa?
Ànza kuwalaumu wazazi wako kwa kutokufata utaratibu wa maisha waliowekewa na muumba wao, unawafahamu?Ninawaza ninavyoishi Kwa mateso.ninyopitia ni makubwa Sana Watoto zinaozaa wataishije? Wanakuja jehanamu yenyewe
Haya hongera mwa kucomentNaona kama wa kwanza ungeanza kuwalaumu wazazi wako, unawafahamu? Au ni mtoto wa bahati mbaya?
Hamna maelekezo yeyote zaidi ya Pumba.Hufati maelekezo yake ndiyo maana unateseka.
Nakwambia hivi 👇Hapo umethibitisha kuwa Mungu yupo tena huna cha kufanya bila yeye.
Wewe upo?Nakwambia hivi 👇
Huyo Allah Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Hapo ukute dili zote za siku zimekataa, nyumbani kuna familia inasubiri kula ikiwa yeye mwenyewe hajala, mwenye nyumba anadai kodi yake na hana dira yeyote ikizingatiwa siku imeisha.
Hii dunia haipo fair kabisa. Unaweza kuta kuna mtu anakula mpaka kusaza na mwingine hajui mlo wake wa siku anaupatia wapi.
Japo kuna utapeli na ulaghai mwingi, kuna wakati ukiombwa msaada na una uwezo wa kutoa ni bora kuutoa. Unaweza kuta kwa kidogo utakachotoa itakuwa umeokoa familia nzima.
TISS wa wakati wa ujamaa ila wa Sasa wako kwenye Bar na ma Restaurants makubwa maana huko ndio mipango inapangwaUna jicho kali la mwewe.
NI Wewe (feat. Godfrey Steven) by Mathias Walichupa ShazamKwa kuwa tumejikuta tu Duniani bila idhini yetu kuwa tuzaliwe na tuishi humu au lah ila tunapitia changamoto sana za kuwa duniani. Basi tu kwa kuwa tumejikuta tupo tu ila sio sehemu salama kabisa kwetu wanadamu kuishi. Mateso ni mengi sana katika gereza hili la Roho zetu yaani Duniani.
View attachment 2837220