witzone2
JF-Expert Member
- Jan 14, 2022
- 797
- 1,739
Kwenye hii Dunia madhila huwa yanatupata wote. Unaweza kuwa na Hela ukakumbuna na madhila ya vita. Magonjwa na watoto wasioleweka.. hata manabii na mitume walipitia madhila makubwa Sana.Hufati maelekezo yake ndiyo maana unateseka.