Inaweza ikawa ni biashara ama maafa kweli tym will tell " nakwenda zimbabwe "shilawadu soudy brown amenyapianyapia
Dagaa mchele (samaki)Hiyo ni kiki tu ya video mpya, tangu lini mchele ukauzwa kwenye kikapu? Kalaghabaho[emoji53]
Ili si la kutetea.Kambi popote, mbaya kuiba kama kaona ni line inayomfaa hamna mbaya
Kwenye maisha kuna kupanda na kushuka,so ni kawaida tu.
Umenifanya nitafakar mara mbili mbili.Maisha ni kama kioo ukicheka nayo yanacheka.
Hakuna kitu kibaya hapa Duniani kama shida.
Maisha kupambana.
Maisha ni kitendawili,Maisha ni fumbo.
Tuendelee kupambana na changomoto za Maisha.Amina
Alikuwa na mawazo ya kujiweka vizur kuliko haya, but life sio hadithi ya kutunga, let pray sana tusipitie wanayopitia wengineIli si la kutetea.
Hela zake za muziki kapeleka wapi?.
Ilo ni funzo fainali uzeeni.
Tujifunze kuweka akiba.