Video: Inasemekana msanii wa muziki Ferouz hali ngumu akiuza Samaki Mchele kitaa

Video: Inasemekana msanii wa muziki Ferouz hali ngumu akiuza Samaki Mchele kitaa

Mbona huyo muuza samaki sio Feruzi?
Tazameni kwa makini siyo yeye japo wamefanana mtindo wa kunyoa na usoni.
 
Video inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa.
Hapo awali inasemekana maisha yake yalikuwa magumu na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya!


Huyo si feruz. Ni ujinga kumsingizia hivyo na ili upate nini
 
Ili si la kutetea.
Hela zake za muziki kapeleka wapi?.
Ilo ni funzo fainali uzeeni.
Tujifunze kuweka akiba.
Sijatetea ndio halisi, kama hela zake alitumia zikaisha ndio hawezi kuzitegemea tema, hii ndio hali aliyonayo acha apambane nayo kuliko kutegemea yaliyopita
 
Huyo si feruz. Ni ujinga kumsingizia hivyo na ili upate nini
Yeye mwenyewe kapigiwa simu kakubari ndiyo yeye kalalamika kwanini wanrekodi wasanbaze video yake akiwa kwenye mishe zake wakati anaishi maisha yake?
Sasa wewe unabisha siyo yeye..:
Any way ila mimi nadhani ni video in the making
 
Sio kweli.
Hiyo ni Kick kupitia video ya kuigiza.
Kuna ngoma anataka kuiachia hivi karibuni.
 
safi sana ferooz hii marketing stratergy mpya uliyoitumia imefanikiwa kuwafikia walengwa 80% subiri baada ya week ndo uitoe hiyo video.
 
Back
Top Bottom