Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wana roho ngumu sana kumbe mda wote walikua wana mchora tu ila nahisi yule mwanamke kamponzaRudi tu baba huko nako hakufai
Let pray[emoji777]Alikuwa na mawazo ya kujiweka vizur kuliko haya, but life sio hadithi ya kutunga, let pray sana tusipitie wanayopitia wengine
Hiyo ni kiki tu ya video mpya, tangu lini mchele ukauzwa kwenye kikapu? Kalaghabaho[emoji53]
Hata kama ni yeye bora kuliko kuikaa vichochoroni na kupora watu afya yenyewe magharibi imeisha ingia hata nguvu za kutoka mkuu upepo umekata hana. Kuhusu kuhukumu ndio zetu binadamu wengi.DUNIANI KUNA MAMBO
HUWEZI KUJUA KAMA KUNA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO
USIWE MWEPESI WA KUWAHUKUMU WATU KAMA HUYAJUI YA MTU
ANAYEJUA UZITO WA MKONGA NI TEMBO MWENYEWE ANAYEUBEBA
USIONE UKADHANI
![]()
NB
KAMA NI KWELI HUYO KWENYE VIDEOCLIP NDIO HUYO KIJANA
Video inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa.
Hapo awali inasemekana maisha yake yalikuwa magumu na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya!
mwenyewe huyo live si teja huyo siku hizMbona huyo muuza samaki sio Feruzi?
Tazameni kwa makini siyo yeye japo wamefanana mtindo wa kunyoa na usoni.
true mkuuDUNIANI KUNA MAMBO
HUWEZI KUJUA KAMA KUNA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO
USIWE MWEPESI WA KUWAHUKUMU WATU KAMA HUYAJUI YA MTU
ANAYEJUA UZITO WA MKONGA NI TEMBO MWENYEWE ANAYEUBEBA
USIONE UKADHANI
![]()
NB
KAMA NI KWELI HUYO KWENYE VIDEOCLIP NDIO HUYO KIJANA
Hiyo ni kiki tu ya video mpya, tangu lini mchele ukauzwa kwenye kikapu? Kalaghabaho[emoji53]
teh..teh... watakucheka! watakujua kuwa wewe ni wa mkoani! ndo mana kalumanzila alivyofika mjini akajiita brother K ili wasimtilai!Hiyo ni kiki tu ya video mpya, tangu lini mchele ukauzwa kwenye kikapu? Kalaghabaho[emoji53]
Video inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa.
Hapo awali inasemekana maisha yake yalikuwa magumu na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya!