Video: Inasemekana msanii wa muziki Ferouz hali ngumu akiuza Samaki Mchele kitaa

Video: Inasemekana msanii wa muziki Ferouz hali ngumu akiuza Samaki Mchele kitaa

Kuuza samaki ni kazi kama nyingine, ninachomshauri mimi afue nguo na kuoga maji maana joto la Dar anaweza kupata ukurutu.
 
DUNIANI KUNA MAMBO

HUWEZI KUJUA KAMA KUNA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO

USIWE MWEPESI WA KUWAHUKUMU WATU KAMA HUYAJUI YA MTU

ANAYEJUA UZITO WA MKONGA NI TEMBO MWENYEWE ANAYEUBEBA

USIONE UKADHANI

3b01dc93bd35d47e68209abacb59fafb.jpg



NB
KAMA NI KWELI HUYO KWENYE VIDEOCLIP NDIO HUYO KIJANA
Hata kama ni yeye bora kuliko kuikaa vichochoroni na kupora watu afya yenyewe magharibi imeisha ingia hata nguvu za kutoka mkuu upepo umekata hana. Kuhusu kuhukumu ndio zetu binadamu wengi.
 
Hivi ferooz akienda chato hawezi fanya shoo! mpaka afikie hatua ya kutembeza dagaa...NITAKUWA WA MWISHO KUAMINI katika hili.
 
Video inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa.
Hapo awali inasemekana maisha yake yalikuwa magumu na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya!


huyu msanii inaonekana hii ilikuwa kazi yake na inampendeza sasa ukimwangalia sura yake na mdomo wake tu utajua muuza hao na kikapu chake kama kwenye kitabu vile aweke na kibagharashia itakaa mwake sana
 
DUNIANI KUNA MAMBO

HUWEZI KUJUA KAMA KUNA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO

USIWE MWEPESI WA KUWAHUKUMU WATU KAMA HUYAJUI YA MTU

ANAYEJUA UZITO WA MKONGA NI TEMBO MWENYEWE ANAYEUBEBA

USIONE UKADHANI

3b01dc93bd35d47e68209abacb59fafb.jpg



NB
KAMA NI KWELI HUYO KWENYE VIDEOCLIP NDIO HUYO KIJANA
true mkuu
 
Hiyo ni kiki tu ya video mpya, tangu lini mchele ukauzwa kwenye kikapu? Kalaghabaho[emoji53]

Nasikia anasema dagaa mchele na sio samaki!!!

Kiki za bongo zinajulikana tuu
 
Hiyo ni kiki tu ya video mpya, tangu lini mchele ukauzwa kwenye kikapu? Kalaghabaho[emoji53]
teh..teh... watakucheka! watakujua kuwa wewe ni wa mkoani! ndo mana kalumanzila alivyofika mjini akajiita brother K ili wasimtilai!
 
Video inayosambaa ikimuonyesha Ferouz wa Daz Nundaz msanii aliyetikisa na wimbo uitwao wa Starehe uliofanya vizuri mpaka akapewa zawadi na mh rais wa zamani mkapa.
Hapo awali inasemekana maisha yake yalikuwa magumu na pia ni mtumiaji wa madawa ya kulevya!


Sio ferouz huyu ni mtu wamefanana nae
 
Back
Top Bottom