Video: Inasemekana msanii wa muziki Ferouz hali ngumu akiuza Samaki Mchele kitaa

Video: Inasemekana msanii wa muziki Ferouz hali ngumu akiuza Samaki Mchele kitaa

Kwanini mastaa wakipigika huwa wanataka privacy katika maisha yao wakati wakiwa juu hawajali sana zaidi wanapenda kujionyesha
 
HIVI KUUZA MCHELE NA SAMAKI NI KAZI NGUMU AU UJASIRIAMALI? BADALA YA KUMPONGEZA NA KUMPA MOYO SISI TUNAMKATISHA TAMAA
 
HIVI KUUZA MCHELE NA SAMAKI NI KAZI NGUMU AU UJASIRIAMALI? BADALA YA KUMPONGEZA NA KUMPA MOYO SISI TUNAMKATISHA TAMAA
Hivi leo wewe una chumba kimoja....lakini miaka ya nyuma ulikuwa tajiri mkubwa wa kumiliki majumba na magari kadhaa mjini...sasa tutaacha kukusikitikia?au tukupo moyo kwa lipi?
 
Naendelea kuamini katika maisha hakuna kuwai wala kuchelewa
 
Hivi leo wewe una chumba kimoja....lakini miaka ya nyuma ulikuwa tajiri mkubwa wa kumiliki majumba na magari kadhaa mjini...sasa tutaacha kukusikitikia?au tukupo moyo kwa lipi?
SI AJABU WEWE HATA KULA YAKO YA KUBAHATISHA LAKINI UMEKALIA YA WENZAKO, KWA VILE TU UMEJIFICHA NYUMA YA KEYBOARD
 
Ni kweli mkuu nina maisha magumu.....ila hayajafikia ya FERUZI....naomba MUNGU anipe mwisho mwema...AMEEN
PAMBANA NA HALI YAKO, MWENZAKO ANAPAMBANA NA HALI YAKE NA HAJAONA KAMA MAISHA MABAYA
 
Ama kweli maisha ni KOMBOLELA ...akomae tu atatoka kiana
 
PAMBANA NA HALI YAKO, MWENZAKO ANAPAMBANA NA HALI YAKE NA HAJAONA KAMA MAISHA MABAYA
Kupambana hali yako kwa style ya kuvuta madawa ya kulevya ndy maisha?badala ya kumsikitikia mwenzenu mnampamba upuuzi...
 
Bali usiibe tu ila shuhul yoyote halali unafanya ukiwa na vitu vya msingi vya kufanyia hio biashara halali
 
Mnakaa kujadili kitu ambacho mshaambiwa ni kiki ya nyimbo ni bora kufanya reseach kuliko kujadili tu
 
Msipende kutukana mamba wakati hamjavuka mto.....we unamcheka mwenzako wakati we mwenyewe una safari ndefu bado

Ova
 
Back
Top Bottom